Surah Qiyamah aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بَلَىٰ قَادِرِينَ عَلَىٰ أَن نُّسَوِّيَ بَنَانَهُ﴾
[ القيامة: 4]
Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
Surah Al-Qiyamah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Yes. [We are] Able [even] to proportion his fingertips.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
Hasha! Sisi tuna uweza wa kuviweka sawa hata vifupa vya vidole vyake vilivyo vurugika, wachilia mbali mafupa yake makubwa makubwa ya mwili wake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wale ambao Ishara za Mola wao Mlezi wanaziamini,
- Na katika Ishara zake hukuonyesheni umeme kwa kukutieni khofu na tamaa. Na hukuteremshieni maji kutoka
- Yatawekwa juu yao mat'abaka ya moto, na chini yao mat'abaka. Kwa hayo Mwenyezi Mungu anawakhofisha
- Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
- Ikiwa mnayo hila, nifanyieni hila Mimi!
- Na uwape khabari za wageni wa Ibrahim.
- Ee Ole wangu! Laiti nisingeli mfanya fulani kuwa rafiki!
- Hakika katika haya ipo Ishara, lakini si wengi wao walio kuwa Waumini.
- Na akasema mtu mmoja Muumini, aliye kuwa mmoja katika watu wa Firauni aliye ficha Imani
- Sema: Kweli imefika, na uwongo haujitokezi, wala haurudi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qiyamah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qiyamah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qiyamah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers