Surah Qiyamah aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بَلَىٰ قَادِرِينَ عَلَىٰ أَن نُّسَوِّيَ بَنَانَهُ﴾
[ القيامة: 4]
Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
Surah Al-Qiyamah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Yes. [We are] Able [even] to proportion his fingertips.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
Hasha! Sisi tuna uweza wa kuviweka sawa hata vifupa vya vidole vyake vilivyo vurugika, wachilia mbali mafupa yake makubwa makubwa ya mwili wake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wale ambao tukiwapa madaraka katika nchi husimamisha Sala, na wakatoa Zaka, na wakaamrisha mema, na
- Basi wao kwa hakika siku hiyo watashirikiana katika adhabu pamoja.
- Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu.
- Na angalia pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Kwa hakika Mwenyezi Mungu amekuteuwa, na akakutakasa,
- Na wale walio amini na wakatenda mema, hao ndio watu wa Peponi, humo watadumu.
- Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
- Na lau ungeli ona watavyo simamishwa mbele ya Mola wao Mlezi, akawaambia: Je, si kweli
- Wito wao humo utakuwa: Subhanaka Llahumma "Umetakasika Ee Mwenyezi Mungu!" Na maamkio yao humo ni
- Wakasema watukufu wa wale walio kufuru katika kaumu yake: Sisi tunakuona umo katika upumbavu, na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qiyamah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qiyamah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qiyamah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers