🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (227 Aya)
0/227
26:1
🔁 0/5
طسٓمٓ ١
Taa-Seeen-Meeem
T'aa Siin Miim. (T'. S. M.)
🎤 Rekodi yako:
26:2
🔁 0/5
تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡمُبِينِ ٢
Tilka Aayaatul Kitaabil Mubeen
Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
🎤 Rekodi yako:
26:3
🔁 0/5
لَعَلَّكَ بَٰخِعٌ نَّفۡسَكَ أَلَّا يَكُونُواْ مُؤۡمِنِينَ ٣
La`allaka baakhi`un nafsaka allaa yakoonoo mu`mineen
Huenda labda ukajikera nafsi yako kwa kuwa hawawi Waumini.
🎤 Rekodi yako:
26:4
🔁 0/5
إِن نَّشَأۡ نُنَزِّلۡ عَلَيۡهِم مِّنَ ٱلسَّمَآءِ ءَايَةً فَظَلَّتۡ أَعۡنَٰقُهُمۡ لَهَا خَٰضِعِينَ ٤
In nashaa nunazzil `alaihim minas samaaa`i Aayatan fazallat a`naaquhum lahaa khaadi`een
Tunge penda tungeli wateremshia kutoka mbinguni Ishara zikanyenyekea shingo zao.
🎤 Rekodi yako:
26:5
🔁 0/5
وَمَا يَأۡتِيهِم مِّن ذِكۡرٍ مِّنَ ٱلرَّحۡمَٰنِ مُحۡدَثٍ إِلَّا كَانُواْ عَنۡهُ مُعۡرِضِينَ ٥
Wa maa yaateehim min zikrim minar Rahmaani muhdasin illaa kaanoo `anhu mu`rideen
Wala hauwafikii ukumbusho mpya kutoka kwa Arrahman ila wao hujitenga nao.
🎤 Rekodi yako:
26:6
🔁 0/5
فَقَدۡ كَذَّبُواْ فَسَيَأۡتِيهِمۡ أَنۢبَٰٓؤُاْ مَا كَانُواْ بِهِۦ يَسۡتَهۡزِءُونَ ٦
Faqad kazzaboo fasa yaateehim ambaaa`u maa kaanoo bihee yastahzi`oon
Kwa yakini wamekanusha; kwa hivyo zitakuja wafikia khabari za yale waliyo kuwa wakiyafanyia mzaha.
🎤 Rekodi yako:
26:7
🔁 0/5
أَوَلَمۡ يَرَوۡاْ إِلَى ٱلۡأَرۡضِ كَمۡ أَنۢبَتۡنَا فِيهَا مِن كُلِّ زَوۡجٍ كَرِيمٍ ٧
Awa lam yaraw ilal ardi kam ambatnaa feehaa min kulli zawjin kareem
Je! Hawakuiona ardhi, mimea mingapi tumeiotesha humo, ya kila namna nzuri?
🎤 Rekodi yako:
26:8
🔁 0/5
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةًۖ وَمَا كَانَ أَكۡثَرُهُم مُّؤۡمِنِينَ ٨
Inn fee zaalika la Aayah; wa maa kaana aksaruhum mu`mineen
Hakika katika haya zipo Ishara. Lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.
🎤 Rekodi yako:
26:9
🔁 0/5
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ ٩
Wa inna Rabbaka la Huwal `Azeezur Raheem
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
🎤 Rekodi yako:
26:10
🔁 0/5
وَإِذۡ نَادَىٰ رَبُّكَ مُوسَىٰٓ أَنِ ٱئۡتِ ٱلۡقَوۡمَ ٱلظَّٰلِمِينَ ١٠
Wa iz naadaa Rabbuka Moosaaa ani`-til qawmaz zaalimeen
Na Mola wako Mlezi, alipo mwita Musa, akamwambia: Fika kwa watu madhaalimu,
🎤 Rekodi yako:
26:11
🔁 0/5
قَوۡمَ فِرۡعَوۡنَۚ أَلَا يَتَّقُونَ ١١
Qawma Fir`awn; alaa yattaqoon
Watu wa Firauni. Hawaogopi?
🎤 Rekodi yako:
26:12
🔁 0/5
قَالَ رَبِّ إِنِّيٓ أَخَافُ أَن يُكَذِّبُونِ ١٢
Qaala Rabbi inneee akhaafu ai yukazziboon
Akasema: Hakika mimi nachelea wasinikanushe.
🎤 Rekodi yako:
26:13
🔁 0/5
وَيَضِيقُ صَدۡرِي وَلَا يَنطَلِقُ لِسَانِي فَأَرۡسِلۡ إِلَىٰ هَٰرُونَ ١٣
Wa yadeequ sadree wa laa yantaliqu lisaanee fa arsil ilaa Haaroon
Na kifua changu kina dhiki, na ulimi wangu haukunjuki vyema. Basi mtumie ujumbe Harun.
🎤 Rekodi yako:
26:14
🔁 0/5
وَلَهُمۡ عَلَيَّ ذَنۢبٌ فَأَخَافُ أَن يَقۡتُلُونِ ١٤
Wa lahum `alaiya zambun fa akhaafu ai yaqtuloon
Na wao wana kisasi juu yangu, kwa hivyo naogopa wasije kuniuwa.
🎤 Rekodi yako:
26:15
🔁 0/5
قَالَ كـَلَّاۖ فَٱذۡهَبَا بِـَٔايَٰتِنَآۖ إِنَّا مَعَكُم مُّسۡتَمِعُونَ ١٥
Qaala kallaa fazhabaa bi Aayaatinaaa innaa ma`akum mustami`oon
Akasema: Siyo hivyo kabisa! Nendeni na miujiza yetu. Hakika Sisi tu pamoja nanyi, tunasikiliza.
🎤 Rekodi yako:
26:16
🔁 0/5
فَأۡتِيَا فِرۡعَوۡنَ فَقُولَآ إِنَّا رَسُولُ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ١٦
Faatiyaa Fir`awna faqoolaaa innaa Rasoolu Rabbil `aalameen
Basi mfikieni Firauni na mwambieni: Hakika sisi ni Mitume wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
26:17
🔁 0/5
أَنۡ أَرۡسِلۡ مَعَنَا بَنِيٓ إِسۡرَٰٓءِيلَ ١٧
An arsil ma`anaa Baneee Israaa`eel
Waachilie Wana wa Israili wende nasi.
🎤 Rekodi yako:
26:18
🔁 0/5
قَالَ أَلَمۡ نُرَبِّكَ فِينَا وَلِيدًا وَلَبِثۡتَ فِينَا مِنۡ عُمُرِكَ سِنِينَ ١٨
Qaala alam nurabbika feenaa waleedanw wa labista feenaa min `umurika sineen
(Firauni) akasema: Sisi hatukukulea wewe utotoni, na ukakaa kwetu katika umri wako miaka mingi?
🎤 Rekodi yako:
26:19
🔁 0/5
وَفَعَلۡتَ فَعۡلَتَكَ ٱلَّتِي فَعَلۡتَ وَأَنتَ مِنَ ٱلۡكَٰفِرِينَ ١٩
Wa fa`alta fa`latakal latee fa`alta wa anta minal kaafireen
Na ukatenda kitendo chako ulicho tenda, nawe ukawa miongoni mwa wasio na shukrani?
🎤 Rekodi yako:
26:20
🔁 0/5
قَالَ فَعَلۡتُهَآ إِذًا وَأَنَا۠ مِنَ ٱلضَّآلِّينَ ٢٠
Qaala fa`altuhaaa izanw wa ana minad daaaleen
(Musa) akasema: Nilitenda hayo hapo nilipo kuwa miongoni mwa wale walio potea.
🎤 Rekodi yako:
26:21
🔁 0/5
فَفَرَرۡتُ مِنكُمۡ لَمَّا خِفۡتُكُمۡ فَوَهَبَ لِي رَبِّي حُكۡمًا وَجَعَلَنِي مِنَ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ٢١
Fafarartu minkum lam maa khiftukum fawahaba lee Rabbee hukmanw wa ja`alanee minal mursaleen
Basi nikakukimbieni nilipo kuogopeni, tena Mola wangu Mlezi akanitunukia hukumu, na akanijaalia niwe miongoni mwa Mitume.
🎤 Rekodi yako:
26:22
🔁 0/5
وَتِلۡكَ نِعۡمَةٌ تَمُنُّهَا عَلَيَّ أَنۡ عَبَّدتَّ بَنِيٓ إِسۡرَٰٓءِيلَ ٢٢
Wa tilka ni`matun tamun nuhaa `alaiya an `abbatta Baneee Israaa`eel
Na hiyo ndiyo neema ya kunisumbulia, na wewe umewatia utumwani Wana wa Israili?
🎤 Rekodi yako:
26:23
🔁 0/5
قَالَ فِرۡعَوۡنُ وَمَا رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ٢٣
Qaala Fir`awnu wa maa Rabbul `aalameen
Firauni akasema: Na nani huyo Mola Mlezi wa walimwengu wote?
🎤 Rekodi yako:
26:24
🔁 0/5
قَالَ رَبُّ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِ وَمَا بَيۡنَهُمَآۖ إِن كُنتُم مُّوقِنِينَ ٢٤
Qaala Rabbus samaawaati wal ardi wa maa bainahumaa in kuntum mooqineen
Akasema: Ndiye Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na viliomo baina yao, ikiwa nyinyi ni wenye yakini.
🎤 Rekodi yako:
26:25
🔁 0/5
قَالَ لِمَنۡ حَوۡلَهُۥٓ أَلَا تَسۡتَمِعُونَ ٢٥
Qaala liman hawlahooo alaa tastami`oon
(Firauni) akawaambia walio mzunguka: Hamsikilizi?
🎤 Rekodi yako:
26:26
🔁 0/5
قَالَ رَبُّكُمۡ وَرَبُّ ءَابَآئِكُمُ ٱلۡأَوَّلِينَ ٢٦
Qaala Rabbukum wa Rabbu aabaaa`ikumul awwaleen
(Musa) akasema: Ndiye Mola wenu Mlezi, na Mola Mlezi wa baba zenu wa kwanza.
🎤 Rekodi yako:
26:27
🔁 0/5
قَالَ إِنَّ رَسُولَكُمُ ٱلَّذِيٓ أُرۡسِلَ إِلَيۡكُمۡ لَمَجۡنُونٌ ٢٧
Qaala inna Rasoolakumul lazee ursila ilaikum lamajnoon
(Firauni) akasema: Hakika huyu Mtume wenu aliye tumwa kwenu ni mwendawazimu.
🎤 Rekodi yako:
26:28
🔁 0/5
قَالَ رَبُّ ٱلۡمَشۡرِقِ وَٱلۡمَغۡرِبِ وَمَا بَيۡنَهُمَآۖ إِن كُنتُمۡ تَعۡقِلُونَ ٢٨
Qaala Rabbul mashriqi wal maghribi wa maa baina humaa in kuntum ta`qiloon
(Musa) akasema: Ndiye Mola Mlezi wa Mashariki na Magharibi na viliomo baina yao, ikiwa nyinyi mnatia akilini.
🎤 Rekodi yako:
26:29
🔁 0/5
قَالَ لَئِنِ ٱتَّخَذۡتَ إِلَٰهًا غَيۡرِي لَأَجۡعَلَنَّكَ مِنَ ٱلۡمَسۡجُونِينَ ٢٩
Qaala la`init takhazta ilaahan ghairee la aj`alannaka minal masjooneen
(Firauni) akasema: Ukimfuata mungu mwengine asiye kuwa mimi, basi bila ya shaka nitakufunga gerezani.
🎤 Rekodi yako:
26:30
🔁 0/5
قَالَ أَوَلَوۡ جِئۡتُكَ بِشَيۡءٍ مُّبِينٍ ٣٠
Qaala awalw ji`tuka bishai`im mubeen
Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?
🎤 Rekodi yako:
26:31
🔁 0/5
قَالَ فَأۡتِ بِهِۦٓ إِن كُنتَ مِنَ ٱلصَّٰدِقِينَ ٣١
Qaala faati biheee in kunta minas saadiqeen
Akasema: Kilete basi, kama wewe ni katika wasemao kweli.
🎤 Rekodi yako:
26:32
🔁 0/5
فَأَلۡقَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِيَ ثُعۡبَانٌ مُّبِينٌ ٣٢
Fa alqaa `asaahu fa izaaa hiya su`baanum mubeen
Basi akaitupa fimbo yake, mara ikawa nyoka wa kuonekana dhaahiri.
🎤 Rekodi yako:
26:33
🔁 0/5
وَنَزَعَ يَدَهُۥ فَإِذَا هِيَ بَيۡضَآءُ لِلنَّٰظِرِينَ ٣٣
Wa naza`a yadahoo faizaa hiya baidaaa`u linnaa zireen
Na akautoa mkono wake, na mara ukawa mweupe kwa watazamao.
🎤 Rekodi yako:
26:34
🔁 0/5
قَالَ لِلۡمَلَإِ حَوۡلَهُۥٓ إِنَّ هَٰذَا لَسَٰحِرٌ عَلِيمٌ ٣٤
Qaala lilmala-i hawlahooo inna haazaa lasaahirun `aleem
(Firauni) akawaambia waheshimiwa walio mzunguka: Hakika huyu ni mchawi mtaalamu.
🎤 Rekodi yako:
26:35
🔁 0/5
يُرِيدُ أَن يُخۡرِجَكُم مِّنۡ أَرۡضِكُم بِسِحۡرِهِۦ فَمَاذَا تَأۡمُرُونَ ٣٥
Yureedu ai yukhrijakum min ardikum bisihrihee famaazaa taamuroon
Anataka kukutoeni katika nchi yenu kwa uchawi wake. Basi mna shauri gani?
🎤 Rekodi yako:
26:36
🔁 0/5
قَالُوٓاْ أَرۡجِهۡ وَأَخَاهُ وَٱبۡعَثۡ فِي ٱلۡمَدَآئِنِ حَٰشِرِينَ ٣٦
Qaalooo arjih wa akhaahu wab`as filmadaaa`ini haashireen
Wakasema: Mpe muda yeye na nduguye na uwatume mijini wapigao mbiu ya mgambo.
🎤 Rekodi yako:
26:37
🔁 0/5
يَأۡتُوكَ بِكُلِّ سَحَّارٍ عَلِيمٍ ٣٧
Yaatooka bikulli sah haarin `aleem
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.
🎤 Rekodi yako:
26:38
🔁 0/5
فَجُمِعَ ٱلسَّحَرَةُ لِمِيقَٰتِ يَوۡمٍ مَّعۡلُومٍ ٣٨
Fa jumi`as saharatu limeeqaati Yawmim ma`loom
Basi wakakusanywa wachawi wakati na siku maalumu.
🎤 Rekodi yako:
26:39
🔁 0/5
وَقِيلَ لِلنَّاسِ هَلۡ أَنتُم مُّجۡتَمِعُونَ ٣٩
Wa qeela linnaasi hal antum mujtami`oon
Na watu wakaambiwa: Je! Mtakusanyika?
🎤 Rekodi yako:
26:40
🔁 0/5
لَعَلَّنَا نَتَّبِعُ ٱلسَّحَرَةَ إِن كَانُواْ هُمُ ٱلۡغَٰلِبِينَ ٤٠
La`allanaa nattabi`us saharata in kaanoo humul ghaalibeen
Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.
🎤 Rekodi yako:
26:41
🔁 0/5
فَلَمَّا جَآءَ ٱلسَّحَرَةُ قَالُواْ لِفِرۡعَوۡنَ أَئِنَّ لَنَا لَأَجۡرًا إِن كُنَّا نَحۡنُ ٱلۡغَٰلِبِينَ ٤١
Falammaa jaaa`as saharatu qaaloo li Fir`awna a`inna lanaa la ajjran in kunnaa nahnul ghaalibeen
Basi walipo kuja wachawi wakamwambia Firauni: Je! Tutapata ujira tukiwa sisi ndio tulio shinda?
🎤 Rekodi yako:
26:42
🔁 0/5
قَالَ نَعَمۡ وَإِنَّكُمۡ إِذًا لَّمِنَ ٱلۡمُقَرَّبِينَ ٤٢
Qaala na`am wa innakum izal laminal muqarrabeen
Naam! Na hakika mtakuwa katika watu wa mbele.
🎤 Rekodi yako:
26:43
🔁 0/5
قَالَ لَهُم مُّوسَىٰٓ أَلۡقُواْ مَآ أَنتُم مُّلۡقُونَ ٤٣
Qaala lahum Moosaaa alqoo maaa antum mulqoon
Musa akwaambia: Tupeni mnavyo taka kutupa.
🎤 Rekodi yako:
26:44
🔁 0/5
فَأَلۡقَوۡاْ حِبَالَهُمۡ وَعِصِيَّهُمۡ وَقَالُواْ بِعِزَّةِ فِرۡعَوۡنَ إِنَّا لَنَحۡنُ ٱلۡغَٰلِبُونَ ٤٤
Fa alqaw hibaalahum wa `isiyyahum wa qaaloo bi`izzati Fir`awna innaa lanahnul ghaaliboon
Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa nguvu za Firauni hakika sisi hapana shaka ni wenye kushinda.
🎤 Rekodi yako:
26:45
🔁 0/5
فَأَلۡقَىٰ مُوسَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِيَ تَلۡقَفُ مَا يَأۡفِكُونَ ٤٥
Fa alqaa Moosaa `asaahu fa izaa hiya talqafu maa yaafikoon
Musa tena akatupa fimbo yake, nayo mara ikavimeza walivyo vizua.
🎤 Rekodi yako:
26:46
🔁 0/5
فَأُلۡقِيَ ٱلسَّحَرَةُ سَٰجِدِينَ ٤٦
Fa ulqiyas saharatu saajideen
Hapo wachawi walipinduka wakasujudu.
🎤 Rekodi yako:
26:47
🔁 0/5
قَالُوٓاْ ءَامَنَّا بِرَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ٤٧
Qaalooo aamannaa bi Rabbil `aalameen
Wakasema: Tunamuamini Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
26:48
🔁 0/5
رَبِّ مُوسَىٰ وَهَٰرُونَ ٤٨
Rabbi Moosaa wa Haaroon
Mola Mlezi wa Musa na Harun.
🎤 Rekodi yako:
26:49
🔁 0/5
قَالَ ءَامَنتُمۡ لَهُۥ قَبۡلَ أَنۡ ءَاذَنَ لَكُمۡۖ إِنَّهُۥ لَكَبِيرُكُمُ ٱلَّذِي عَلَّمَكُمُ ٱلسِّحۡرَ فَلَسَوۡفَ تَعۡلَمُونَۚ لَأُقَطِّعَنَّ أَيۡدِيَكُمۡ وَأَرۡجُلَكُم مِّنۡ خِلَٰفٍ وَلَأُصَلِّبَنَّكُمۡ أَجۡمَعِينَ ٤٩
Qaala aamantum lahoo qabla an aazana lakum innahoo lakabeerukumul lazee `alla makumus sihra falasawfa ta`lamoon; la uqatti`anna aidiyakum wa arjulakum min khilaafinw wa la usallibanna kum ajma`een
(Firauni) akasema: Je! Mmemuamini kabla sijakuruhusuni? Bila ya shaka yeye basi ndiye mkubwa wenu aliye kufunzeni uchawi. Basi mtakuja jua! Nitakata mikono yenu na miguu yenu kwa kutafautisha. Na nitakubandikeni misalabani nyote.
🎤 Rekodi yako:
26:50
🔁 0/5
قَالُواْ لَا ضَيۡرَۖ إِنَّآ إِلَىٰ رَبِّنَا مُنقَلِبُونَ ٥٠
Qaaloo la daira innaaa ilaa Rabbinaa munqalliboon
Wakasema: Haidhuru, kwani sisi ni wenye kurejea kwa Mola wetu Mlezi.
🎤 Rekodi yako:
26:51
🔁 0/5
إِنَّا نَطۡمَعُ أَن يَغۡفِرَ لَنَا رَبُّنَا خَطَٰيَٰنَآ أَن كُنَّآ أَوَّلَ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ ٥١
Innaa natma`u ai yaghfira lanaa Rabbunna khataa yaanaaa an kunnaaa awwalal mu`mineen
Hakika sisi tunatumai Mola wetu Mlezi atatusamehe makosa yetu, kwa kuwa ndio wa kwanza wa kuamini.
🎤 Rekodi yako:
26:52
🔁 0/5
۞ وَأَوۡحَيۡنَآ إِلَىٰ مُوسَىٰٓ أَنۡ أَسۡرِ بِعِبَادِيٓ إِنَّكُم مُّتَّبَعُونَ ٥٢
Wa awhainaaa ilaa Moosaaa an asri bi`ibaadeee innakum muttaba`oon
Na tulimuamrisha Musa kwa wahyi: Nenda na waja wangu wakati wa usiku. Kwa hakika mtafuatwa.
🎤 Rekodi yako:
26:53
🔁 0/5
فَأَرۡسَلَ فِرۡعَوۡنُ فِي ٱلۡمَدَآئِنِ حَٰشِرِينَ ٥٣
Fa arsala Fir`awnu filmadaaa`ini haashireen
Basi Firauni akawatuma mijini wapiga mbiu za mgambo.
🎤 Rekodi yako:
26:54
🔁 0/5
إِنَّ هَٰٓؤُلَآءِ لَشِرۡذِمَةٌ قَلِيلُونَ ٥٤
Inna haaa`ulaaa`i lashir zimatun qaleeloon
(Wakieneza): Hakika hawa ni kikundi kidogo.
🎤 Rekodi yako:
26:55
🔁 0/5
وَإِنَّهُمۡ لَنَا لَغَآئِظُونَ ٥٥
Wa innahum lanaa laghaaa`izoon
Nao wanatuudhi.
🎤 Rekodi yako:
26:56
🔁 0/5
وَإِنَّا لَجَمِيعٌ حَٰذِرُونَ ٥٦
Wa innaa lajamee`un haaziroon
Na sisi ni wengi, wenye kuchukua hadhari.
🎤 Rekodi yako:
26:57
🔁 0/5
فَأَخۡرَجۡنَٰهُم مِّن جَنَّٰتٍ وَعُيُونٍ ٥٧
Fa akhrajnaahum min Jannaatinw wa `uyoon
Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,
🎤 Rekodi yako:
26:58
🔁 0/5
وَكُنُوزٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ ٥٨
Wa kunoozinw wa ma qaamin kareem
Na makhazina, na vyeo vya hishima,
🎤 Rekodi yako:
26:59
🔁 0/5
كَذَٰلِكَۖ وَأَوۡرَثۡنَٰهَا بَنِيٓ إِسۡرَٰٓءِيلَ ٥٩
Kazaalika wa awrasnaahaa Baneee Israaa`eel
Kadhaalika; na tukawarithisha hayo Wana wa Israili.
🎤 Rekodi yako:
26:60
🔁 0/5
فَأَتۡبَعُوهُم مُّشۡرِقِينَ ٦٠
Fa atba`oohum mushriqeen
Basi wakawafuata lilipo chomoza jua.
🎤 Rekodi yako:
26:61
🔁 0/5
فَلَمَّا تَرَٰٓءَا ٱلۡجَمۡعَانِ قَالَ أَصۡحَٰبُ مُوسَىٰٓ إِنَّا لَمُدۡرَكُونَ ٦١
Falammaa taraaa`al jam`aani qaala as haabu Moosaaa innaa lamudrakoon
Na yalipo onana majeshi mawili haya, watu wa Musa wakasema: Hakika sisi bila ya shaka tumepatikana!
🎤 Rekodi yako:
26:62
🔁 0/5
قَالَ كـَلَّآۖ إِنَّ مَعِيَ رَبِّي سَيَهۡدِينِ ٦٢
Qaala kallaaa inna ma`iya Rabbee sa yahdeen
(Musa) akasema: Hasha! Hakika yu pamoja nami Mola wangu Mlezi. Yeye ataniongoa!
🎤 Rekodi yako:
26:63
🔁 0/5
فَأَوۡحَيۡنَآ إِلَىٰ مُوسَىٰٓ أَنِ ٱضۡرِب بِّعَصَاكَ ٱلۡبَحۡرَۖ فَٱنفَلَقَ فَكَانَ كُلُّ فِرۡقٍ كَٱلطَّوۡدِ ٱلۡعَظِيمِ ٦٣
Fa awhainaaa ilaa Moosaaa anidrib bi`asaakal bahra fanfalaqa fakaana kullu firqin kattawdil `azeem
Tulimletea wahyi Musa tukamwambia: Piga bahari kwa fimbo yako. Basi ikatengana, na kila sehemu ikawa kama mlima mkubwa.
🎤 Rekodi yako:
26:64
🔁 0/5
وَأَزۡلَفۡنَا ثَمَّ ٱلۡأٓخَرِينَ ٦٤
Wa azlafnaa sammal aakhareen
Na tukawajongeza hapo wale wengine.
🎤 Rekodi yako:
26:65
🔁 0/5
وَأَنجَيۡنَا مُوسَىٰ وَمَن مَّعَهُۥٓ أَجۡمَعِينَ ٦٥
Wa anjainaa Moosaa wa mam ma`ahooo ajma`een
Tukawaokoa Musa na walio kuwa pamoja naye wote.
🎤 Rekodi yako:
26:66
🔁 0/5
ثُمَّ أَغۡرَقۡنَا ٱلۡأٓخَرِينَ ٦٦
Summa aghraqnal aakhareen
Kisha tukawazamisha hao wengine.
🎤 Rekodi yako:
26:67
🔁 0/5
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةًۖ وَمَا كَانَ أَكۡثَرُهُم مُّؤۡمِنِينَ ٦٧
Inna fee zaalika la Aayaah; wa maa kaana aksaru hu mu`mineen
Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini.
🎤 Rekodi yako:
26:68
🔁 0/5
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ ٦٨
Wa inna Rabbaka la Huwal `Azeezur Raheem
Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
🎤 Rekodi yako:
26:69
🔁 0/5
وَٱتۡلُ عَلَيۡهِمۡ نَبَأَ إِبۡرَٰهِيمَ ٦٩
Watlu `alaihim naba-a Ibraaheem
Na wasomee khabari za Ibrahim.
🎤 Rekodi yako:
26:70
🔁 0/5
إِذۡ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوۡمِهِۦ مَا تَعۡبُدُونَ ٧٠
Iz qaala li abeehi wa qawmihee maa ta`budoon
Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?
🎤 Rekodi yako:
26:71
🔁 0/5
قَالُواْ نَعۡبُدُ أَصۡنَامًا فَنَظَلُّ لَهَا عَٰكِفِينَ ٧١
Qaaloo na`budu asnaaman fanazallu lahaa `aakifeen
Wakasema: Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea.
🎤 Rekodi yako:
26:72
🔁 0/5
قَالَ هَلۡ يَسۡمَعُونَكُمۡ إِذۡ تَدۡعُونَ ٧٢
Qaala hal yasma`oona kum iz tad`oon
Akasema: Je! Yanakusikieni mnapo yaita?
🎤 Rekodi yako:
26:73
🔁 0/5
أَوۡ يَنفَعُونَكُمۡ أَوۡ يَضُرُّونَ ٧٣
Aw yanfa`oonakum aw yadurroon
Au yanakufaeni, au yanakudhuruni?
🎤 Rekodi yako:
26:74
🔁 0/5
قَالُواْ بَلۡ وَجَدۡنَآ ءَابَآءَنَا كَذَٰلِكَ يَفۡعَلُونَ ٧٤
Qaaloo bal wajadnaaa aabaaa `anaa kazaalika yaf`aloon
Wakasema: Bali tumewakuta baba zetu wakifanya hivyo hivyo.
🎤 Rekodi yako:
26:75
🔁 0/5
قَالَ أَفَرَءَيۡتُم مَّا كُنتُمۡ تَعۡبُدُونَ ٧٥
Qaala afara `aitum maa kuntum ta`budoon
Je! Mmewaona hawa mnao waabudu-
🎤 Rekodi yako:
26:76
🔁 0/5
أَنتُمۡ وَءَابَآؤُكُمُ ٱلۡأَقۡدَمُونَ ٧٦
Antum wa aabaaa`ukumul aqdamoon
Nyinyi na baba zenu wa zamani?
🎤 Rekodi yako:
26:77
🔁 0/5
فَإِنَّهُمۡ عَدُوٌّ لِّيٓ إِلَّا رَبَّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ٧٧
Fa innahum `aduwwwul leee illaa Rabbal `aalameen
Kwani hakika hao ni adui zangu, isipo kuwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
26:78
🔁 0/5
ٱلَّذِي خَلَقَنِي فَهُوَ يَهۡدِينِ ٧٨
Allazee khalaqanee fa Huwa yahdeen
Ambaye ndiye aliye niumba, na Yeye ndiye ananiongoa,
🎤 Rekodi yako:
26:79
🔁 0/5
وَٱلَّذِي هُوَ يُطۡعِمُنِي وَيَسۡقِينِ ٧٩
Wallazee Huwa yut`imunee wa yasqeen
Na ambaye ndiye ananilisha na kuninywesha.
🎤 Rekodi yako:
26:80
🔁 0/5
وَإِذَا مَرِضۡتُ فَهُوَ يَشۡفِينِ ٨٠
Wa izaa mardtu fahuwa yashfeen
Na ninapo ugua ni Yeye ndiye anaye niponesha.
🎤 Rekodi yako:
26:81
🔁 0/5
وَٱلَّذِي يُمِيتُنِي ثُمَّ يُحۡيِينِ ٨١
Wallazee yumeetunee summa yuhyeen
Na ambaye atanifisha, na kisha atanihuisha.
🎤 Rekodi yako:
26:82
🔁 0/5
وَٱلَّذِيٓ أَطۡمَعُ أَن يَغۡفِرَ لِي خَطِيٓـَٔتِي يَوۡمَ ٱلدِّينِ ٨٢
Wallazeee atma`u ai yaghfira lee khateee` atee Yawmad Deen
Na ambaye ndiye ninaye mtumai kunisamehe makosa yangu Siku ya Malipo.
🎤 Rekodi yako:
26:83
🔁 0/5
رَبِّ هَبۡ لِي حُكۡمًا وَأَلۡحِقۡنِي بِٱلصَّٰلِحِينَ ٨٣
Rabbi hab lee hukmanw wa alhiqnee bis saaliheen
Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.
🎤 Rekodi yako:
26:84
🔁 0/5
وَٱجۡعَل لِّي لِسَانَ صِدۡقٍ فِي ٱلۡأٓخِرِينَ ٨٤
Waj`al lee lisaana sidqin fil aakhireen
Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye.
🎤 Rekodi yako:
26:85
🔁 0/5
وَٱجۡعَلۡنِي مِن وَرَثَةِ جَنَّةِ ٱلنَّعِيمِ ٨٥
Waj`alnee minw warasati Jannnatin Na`eem
Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.
🎤 Rekodi yako:
26:86
🔁 0/5
وَٱغۡفِرۡ لِأَبِيٓ إِنَّهُۥ كَانَ مِنَ ٱلضَّآلِّينَ ٨٦
Waghfir li abeee innahoo kaana mind daalleen
Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.
🎤 Rekodi yako:
26:87
🔁 0/5
وَلَا تُخۡزِنِي يَوۡمَ يُبۡعَثُونَ ٨٧
Wa laa tukhzinee Yawma yub`asoon
Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
🎤 Rekodi yako:
26:88
🔁 0/5
يَوۡمَ لَا يَنفَعُ مَالٌ وَلَا بَنُونَ ٨٨
Yawma laa yanfa`u maalunw wa laa banoon
Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.
🎤 Rekodi yako:
26:89
🔁 0/5
إِلَّا مَنۡ أَتَى ٱللَّهَ بِقَلۡبٍ سَلِيمٍ ٨٩
Illaa man atal laaha biqalbin saleem
Isipo kuwa mwenye kumjia Mwenyezi Mungu na moyo safi.
🎤 Rekodi yako:
26:90
🔁 0/5
وَأُزۡلِفَتِ ٱلۡجَنَّةُ لِلۡمُتَّقِينَ ٩٠
Wa uzlifatil Jannatu lilmuttaqeen
Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.
🎤 Rekodi yako:
26:91
🔁 0/5
وَبُرِّزَتِ ٱلۡجَحِيمُ لِلۡغَاوِينَ ٩١
Wa burrizatil Jaheemu lilghaaween
Na Jahannamu itadhihirishwa kwa wapotovu.
🎤 Rekodi yako:
26:92
🔁 0/5
وَقِيلَ لَهُمۡ أَيۡنَ مَا كُنتُمۡ تَعۡبُدُونَ ٩٢
Wa qeela lahum aina maa kuntum ta`budoon
Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu
🎤 Rekodi yako:
26:93
🔁 0/5
مِن دُونِ ٱللَّهِ هَلۡ يَنصُرُونَكُمۡ أَوۡ يَنتَصِرُونَ ٩٣
Min doonil laahi hal yansuroonakum aw yantasiroon
Badala ya Mwenyezi Mungu? Je! Wanakusaidieni, au wanajisaidia wenyewe?
🎤 Rekodi yako:
26:94
🔁 0/5
فَكُبۡكِبُواْ فِيهَا هُمۡ وَٱلۡغَاوُۥنَ ٩٤
Fakubkiboo feehaa hum walghaawoon
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,
🎤 Rekodi yako:
26:95
🔁 0/5
وَجُنُودُ إِبۡلِيسَ أَجۡمَعُونَ ٩٥
Wa junoodu Ibleesa ajma`oon
Na majeshi ya Ibilisi yote.
🎤 Rekodi yako:
26:96
🔁 0/5
قَالُواْ وَهُمۡ فِيهَا يَخۡتَصِمُونَ ٩٦
Qaaloo wa hum feehaa yakkhtasimoon
Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo:
🎤 Rekodi yako:
26:97
🔁 0/5
تَٱللَّهِ إِن كُنَّا لَفِي ضَلَٰلٍ مُّبِينٍ ٩٧
Tallaahi in kunnaa lafee dalaalim mubeen
Wallahi! Kwa yakini tulikuwa katika upotovu ulio dhaahiri,
🎤 Rekodi yako:
26:98
🔁 0/5
إِذۡ نُسَوِّيكُم بِرَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ٩٨
Iz nusawweekum bi Rabbil `aalameen
Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
26:99
🔁 0/5
وَمَآ أَضَلَّنَآ إِلَّا ٱلۡمُجۡرِمُونَ ٩٩
Wa maaa adallanaaa illal mujrimoon
Na hawakutupoteza ila wale wakosefu.
🎤 Rekodi yako:
26:100
🔁 0/5
فَمَا لَنَا مِن شَٰفِعِينَ ١٠٠
Famaa lanaa min shaa fi`een
Basi hatuna waombezi.
🎤 Rekodi yako:
26:101
🔁 0/5
وَلَا صَدِيقٍ حَمِيمٍ ١٠١
Wa laa sadeeqin hameem
Wala rafiki wa dhati.
🎤 Rekodi yako:
26:102
🔁 0/5
فَلَوۡ أَنَّ لَنَا كَرَّةً فَنَكُونَ مِنَ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ ١٠٢
Falaw anna lanaa karratan fanakoona minal mu`mineen
Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini.
🎤 Rekodi yako:
26:103
🔁 0/5
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةًۖ وَمَا كَانَ أَكۡثَرُهُم مُّؤۡمِنِينَ ١٠٣
Inna fee zaalika la Aayatanw wa maa kaana aksaruhum mu`mineen
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.
🎤 Rekodi yako:
26:104
🔁 0/5
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ ١٠٤
Wa inna Rabbaka la Huwal `Azeezur Raheem
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
🎤 Rekodi yako:
26:105
🔁 0/5
كَذَّبَتۡ قَوۡمُ نُوحٍ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ١٠٥
Kazzabat qawmu Noohinil Mursaleen
Kaumu ya Nuhu waliwakadhibisha Mitume.
🎤 Rekodi yako:
26:106
🔁 0/5
إِذۡ قَالَ لَهُمۡ أَخُوهُمۡ نُوحٌ أَلَا تَتَّقُونَ ١٠٦
Iz qaala lahum akhoohum Noohun alaa tattaqoon
Alipo waambia ndugu yao, Nuhu: Je! Hamchimngu?
🎤 Rekodi yako:
26:107
🔁 0/5
إِنِّي لَكُمۡ رَسُولٌ أَمِينٌ ١٠٧
Innee lakum Rasoolun ameen
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
🎤 Rekodi yako:
26:108
🔁 0/5
فَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ ١٠٨
Fattaqullaaha wa atee`oon
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
🎤 Rekodi yako:
26:109
🔁 0/5
وَمَآ أَسۡـَٔلُكُمۡ عَلَيۡهِ مِنۡ أَجۡرٍۖ إِنۡ أَجۡرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ١٠٩
Wa maaa as`alukum `alaihi min ajrin in ajriya illaa `alaa Rabbil `aalameen
Na sikutakini juu yake ujira, kwani ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
26:110
🔁 0/5
فَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ ١١٠
Fattaqul laaha wa atee`oon
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
🎤 Rekodi yako:
26:111
🔁 0/5
۞ قَالُوٓاْ أَنُؤۡمِنُ لَكَ وَٱتَّبَعَكَ ٱلۡأَرۡذَلُونَ ١١١
Qaalooo anu`minu laka wattaba `akal arzaloon
Wakasema: Je! Tukuamini wewe, hali wanao kufuata ni watu wa chini?
🎤 Rekodi yako:
26:112
🔁 0/5
قَالَ وَمَا عِلۡمِي بِمَا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ ١١٢
Qaala wa maa `ilmee bimaa kaanoo ya`maloon
Akasema: Nayajuaje waliyo kuwa wakiyafanya?
🎤 Rekodi yako:
26:113
🔁 0/5
إِنۡ حِسَابُهُمۡ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّيۖ لَوۡ تَشۡعُرُونَ ١١٣
In hisaabuhum illaa `alaa Rabbee law tash`uroon
Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!
🎤 Rekodi yako:
26:114
🔁 0/5
وَمَآ أَنَا۠ بِطَارِدِ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ ١١٤
Wa maaa ana bitaaridil mu`mineen
Wala mimi si wa kuwafukuza Waumini.
🎤 Rekodi yako:
26:115
🔁 0/5
إِنۡ أَنَا۠ إِلَّا نَذِيرٌ مُّبِينٌ ١١٥
In ana illaa nazeerum mubeen
Mimi si cho chote ila ni Mwonyaji wa dhaahiri shaahiri.
🎤 Rekodi yako:
26:116
🔁 0/5
قَالُواْ لَئِن لَّمۡ تَنتَهِ يَٰنُوحُ لَتَكُونَنَّ مِنَ ٱلۡمَرۡجُومِينَ ١١٦
Qaaloo la`il lam tantahi yaa Noohu latakoonanna minal marjoomeen
Wakasema: Ikiwa huachi, ewe Nuhu, bila ya shaka utapigwa mawe.
🎤 Rekodi yako:
26:117
🔁 0/5
قَالَ رَبِّ إِنَّ قَوۡمِي كَذَّبُونِ ١١٧
Qaala Rabbi inna qawmee kazzaboon
Akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wamenikanusha.
🎤 Rekodi yako:
26:118
🔁 0/5
فَٱفۡتَحۡ بَيۡنِي وَبَيۡنَهُمۡ فَتۡحًا وَنَجِّنِي وَمَن مَّعِيَ مِنَ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ ١١٨
Faftab bainee wa bai nahum fat hanw wa najjinee wa mam ma`iya minal mu`mineen
Basi hukumu baina yangu na wao kwa hukumu yako, na uniokoe mimi na walio pamoja nami, Waumini.
🎤 Rekodi yako:
26:119
🔁 0/5
فَأَنجَيۡنَٰهُ وَمَن مَّعَهُۥ فِي ٱلۡفُلۡكِ ٱلۡمَشۡحُونِ ١١٩
Fa anjainaahu wa mamma`ahoo fil fulkil mashhoon
Kwa hivyo tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye katika marikebu iliyo sheheni.
🎤 Rekodi yako:
26:120
🔁 0/5
ثُمَّ أَغۡرَقۡنَا بَعۡدُ ٱلۡبَاقِينَ ١٢٠
Summa aghraqnaa ba`dul baaqeen
Kisha tukawazamisha baadaye walio bakia.
🎤 Rekodi yako:
26:121
🔁 0/5
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةًۖ وَمَا كَانَ أَكۡثَرُهُم مُّؤۡمِنِينَ ١٢١
Inna fee zaalika la Aayaah; wa maa kaana aksaruhum mu`mineen
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini si wengi wao walio kuwa Waumini.
🎤 Rekodi yako:
26:122
🔁 0/5
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ ١٢٢
Wa inna Rabbaka la huwal `Azeezur Raheem
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
🎤 Rekodi yako:
26:123
🔁 0/5
كَذَّبَتۡ عَادٌ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ١٢٣
Kazzabat `Aadunil mursaleen
Kina A'd waliwakanusha Mitume.
🎤 Rekodi yako:
26:124
🔁 0/5
إِذۡ قَالَ لَهُمۡ أَخُوهُمۡ هُودٌ أَلَا تَتَّقُونَ ١٢٤
Iz qaala lahum akhoohum Hoodun alaa tattaqoon
Alipo waambia ndugu yao, Hud: Je! Hamchimngu?
🎤 Rekodi yako:
26:125
🔁 0/5
إِنِّي لَكُمۡ رَسُولٌ أَمِينٌ ١٢٥
Innee lakum Rasoolun ameen
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
🎤 Rekodi yako:
26:126
🔁 0/5
فَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ ١٢٦
Fattaqullaaha wa atee`oon
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
🎤 Rekodi yako:
26:127
🔁 0/5
وَمَآ أَسۡـَٔلُكُمۡ عَلَيۡهِ مِنۡ أَجۡرٍۖ إِنۡ أَجۡرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ١٢٧
Wa maa as`alukum `alaihi min ajrin in ajriya illaa `alaa Rabbil `aalameen
Wala sikutakeni juu yake ujira, kwani ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
26:128
🔁 0/5
أَتَبۡنُونَ بِكُلِّ رِيعٍ ءَايَةً تَعۡبَثُونَ ١٢٨
Atabnoona bikulli ree`in aayatan ta`basoon
Je! Mnajenga juu ya kila mnyanyuko kumbusho la kufanyia upuuzi?
🎤 Rekodi yako:
26:129
🔁 0/5
وَتَتَّخِذُونَ مَصَانِعَ لَعَلَّكُمۡ تَخۡلُدُونَ ١٢٩
Wa tattakhizoona masaani`a la`allakum takhludoon
Na mnajenga majengo ya fakhari kama kwamba mtaishi milele!
🎤 Rekodi yako:
26:130
🔁 0/5
وَإِذَا بَطَشۡتُم بَطَشۡتُمۡ جَبَّارِينَ ١٣٠
Wa izaa batashtum batashtum jabbaareen
Na mnapo tumia nguvu mnatumia nguvu kwa ujabari.
🎤 Rekodi yako:
26:131
🔁 0/5
فَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ ١٣١
Fattaqul laaha wa atee`oon
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.
🎤 Rekodi yako:
26:132
🔁 0/5
وَٱتَّقُواْ ٱلَّذِيٓ أَمَدَّكُم بِمَا تَعۡلَمُونَ ١٣٢
Wattaqul lazeee amad dakum bimaa ta`lamoon
Na mcheni aliye kupeni haya mnayo yajua.
🎤 Rekodi yako:
26:133
🔁 0/5
أَمَدَّكُم بِأَنۡعَٰمٍ وَبَنِينَ ١٣٣
Amaddakum bi an`aa minw wa baneen
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
🎤 Rekodi yako:
26:134
🔁 0/5
وَجَنَّٰتٍ وَعُيُونٍ ١٣٤
Wa jannaatinw wa `uyoon
Na mabustani na chemchem.
🎤 Rekodi yako:
26:135
🔁 0/5
إِنِّيٓ أَخَافُ عَلَيۡكُمۡ عَذَابَ يَوۡمٍ عَظِيمٍ ١٣٥
Innee akhaafu `alaikum `azaaba Yawmin `azeem
Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Kubwa.
🎤 Rekodi yako:
26:136
🔁 0/5
قَالُواْ سَوَآءٌ عَلَيۡنَآ أَوَعَظۡتَ أَمۡ لَمۡ تَكُن مِّنَ ٱلۡوَٰعِظِينَ ١٣٦
Qaaloo sawaaa`un `alainaaa awa `azta am lam takum minal waa`izeen
Wakasema: Ni mamoja kwetu, ukitupa mawaidha au hukuwa miongoni mwa watoao mawaidha.
🎤 Rekodi yako:
26:137
🔁 0/5
إِنۡ هَٰذَآ إِلَّا خُلُقُ ٱلۡأَوَّلِينَ ١٣٧
In haazaaa illaa khuluqul awwaleen
Haya si chochote ila ni mtindo wa watu wa tokea zamani.
🎤 Rekodi yako:
26:138
🔁 0/5
وَمَا نَحۡنُ بِمُعَذَّبِينَ ١٣٨
Wa maa nahnu bimu `azzabeen
Wala sisi hatutaadhibiwa.
🎤 Rekodi yako:
26:139
🔁 0/5
فَكَذَّبُوهُ فَأَهۡلَكۡنَٰهُمۡۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةًۖ وَمَا كَانَ أَكۡثَرُهُم مُّؤۡمِنِينَ ١٣٩
Fakazzaboohu fa ahlaknaahum; inna fee zaalika la aayah; wa maa kaana aksaruhum mu`mineen
Wakamkanusha; nasi tukawaangamiza. Hakika bila ya shaka katika haya ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
🎤 Rekodi yako:
26:140
🔁 0/5
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ ١٤٠
Wa inna Rabbaka la huwal `Azeezur Raheem
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
🎤 Rekodi yako:
26:141
🔁 0/5
كَذَّبَتۡ ثَمُودُ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ١٤١
Kazzabat Samoodul mursaleen
Kina Thamud waliwakanusha Mitume.
🎤 Rekodi yako:
26:142
🔁 0/5
إِذۡ قَالَ لَهُمۡ أَخُوهُمۡ صَٰلِحٌ أَلَا تَتَّقُونَ ١٤٢
Iz qaala lahum akhoohum Saalihun alaa tattaqoon
Alipo waambia ndugu yao Saleh: Je! Hamumchimngu?
🎤 Rekodi yako:
26:143
🔁 0/5
إِنِّي لَكُمۡ رَسُولٌ أَمِينٌ ١٤٣
Innee lakum Rasoolun ameen
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
🎤 Rekodi yako:
26:144
🔁 0/5
فَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ ١٤٤
Fattaqul laaha wa atee`oon
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.
🎤 Rekodi yako:
26:145
🔁 0/5
وَمَآ أَسۡـَٔلُكُمۡ عَلَيۡهِ مِنۡ أَجۡرٍۖ إِنۡ أَجۡرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ١٤٥
Wa maaa as`alukum `alaihi min ajrin in ajriya illaa `alaa Rabbil `aalameen
Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
26:146
🔁 0/5
أَتُتۡرَكُونَ فِي مَا هَٰهُنَآ ءَامِنِينَ ١٤٦
Atutrakoona fee maa haahunnaaa aamineen
Je! Mtaachwa salama usalimina katika haya yaliyopo hapa?
🎤 Rekodi yako:
26:147
🔁 0/5
فِي جَنَّٰتٍ وَعُيُونٍ ١٤٧
Fee jannaatinw wa `uyoon
Katika mabustani, na chemchem?
🎤 Rekodi yako:
26:148
🔁 0/5
وَزُرُوعٍ وَنَخۡلٍ طَلۡعُهَا هَضِيمٌ ١٤٨
Wa zuroo inw wa nakhlin tal `uhaa hadeem
Na konde na mitende yenye makole yaliyo wiva.
🎤 Rekodi yako:
26:149
🔁 0/5
وَتَنۡحِتُونَ مِنَ ٱلۡجِبَالِ بُيُوتًا فَٰرِهِينَ ١٤٩
Wa tanhitoona minal jibaali buyootan faariheen
Na mnachonga milimani majumba kwa ustadi.
🎤 Rekodi yako:
26:150
🔁 0/5
فَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ ١٥٠
Fattaqul laaha wa atee`oon
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
🎤 Rekodi yako:
26:151
🔁 0/5
وَلَا تُطِيعُوٓاْ أَمۡرَ ٱلۡمُسۡرِفِينَ ١٥١
Wa laa tutee`ooo amral musrifeen
Wala msit'ii amri za walio pindukia mipaka,
🎤 Rekodi yako:
26:152
🔁 0/5
ٱلَّذِينَ يُفۡسِدُونَ فِي ٱلۡأَرۡضِ وَلَا يُصۡلِحُونَ ١٥٢
Allazeena yufsidoona fil ardi wa laa yuslihoon
Ambao wanafanya ufisadi katika nchi, wala hawatengenezi.
🎤 Rekodi yako:
26:153
🔁 0/5
قَالُوٓاْ إِنَّمَآ أَنتَ مِنَ ٱلۡمُسَحَّرِينَ ١٥٣
Qaalooo innamaa anta minal musahhareen
Wakasema: Hakika wewe ni miongoni mwa walio rogwa.
🎤 Rekodi yako:
26:154
🔁 0/5
مَآ أَنتَ إِلَّا بَشَرٌ مِّثۡلُنَا فَأۡتِ بِـَٔايَةٍ إِن كُنتَ مِنَ ٱلصَّٰدِقِينَ ١٥٤
Maaa anta illaa basharum mislunaa faati bi Aayatin in kunta minas saadiqeen
Wewe si chochote ila ni mtu kama sisi. Basi lete Ishara ukiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli.
🎤 Rekodi yako:
26:155
🔁 0/5
قَالَ هَٰذِهِۦ نَاقَةٌ لَّهَا شِرۡبٌ وَلَكُمۡ شِرۡبُ يَوۡمٍ مَّعۡلُومٍ ١٥٥
Qaala haazihee naaqatul lahaa shirbunw w alakum shirbu yawmim ma`loom
Akasema: Huyu ngamia jike; awe na zamu yake ya kunywa, na nyinyi muwe na zamu yenu ya kunywa katika siku maalumu.
🎤 Rekodi yako:
26:156
🔁 0/5
وَلَا تَمَسُّوهَا بِسُوٓءٍ فَيَأۡخُذَكُمۡ عَذَابُ يَوۡمٍ عَظِيمٍ ١٥٦
Wa laa tamassoohaa bisooo`in fa yaakhuzakum `azaabu Yawmin `Azeem
Wala msimguse kwa uwovu, isije ikakushikeni adhabu ya Siku Kubwa.
🎤 Rekodi yako:
26:157
🔁 0/5
فَعَقَرُوهَا فَأَصۡبَحُواْ نَٰدِمِينَ ١٥٧
Fa`aqaroohaa fa asbahoo naadimeen
Lakini wakamuuwa, na wakawa wenye kujuta.
🎤 Rekodi yako:
26:158
🔁 0/5
فَأَخَذَهُمُ ٱلۡعَذَابُۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةًۖ وَمَا كَانَ أَكۡثَرُهُم مُّؤۡمِنِينَ ١٥٨
Fa akhazahumul `azaab; inna fee zaalika la Aayah; wa maa kaana aksaruhum m`mineen
Basi ikawapata adhabu. Hakika katika hayo ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
🎤 Rekodi yako:
26:159
🔁 0/5
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ ١٥٩
Wa inna Rabbaka la Huwal `Azeezur Raheem
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
🎤 Rekodi yako:
26:160
🔁 0/5
كَذَّبَتۡ قَوۡمُ لُوطٍ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ١٦٠
kazzabat qawmu Lootinil mursaleen
Watu wa Lut'i waliwakanusha Mitume.
🎤 Rekodi yako:
26:161
🔁 0/5
إِذۡ قَالَ لَهُمۡ أَخُوهُمۡ لُوطٌ أَلَا تَتَّقُونَ ١٦١
Iz qaala lahum akhoohum Lootun alaa tattaqoon
Alipo waambia ndugu yao, Lut'i: Je! Hamumchimngu?
🎤 Rekodi yako:
26:162
🔁 0/5
إِنِّي لَكُمۡ رَسُولٌ أَمِينٌ ١٦٢
Innee lakum rasoolun ameen
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu kwenu.
🎤 Rekodi yako:
26:163
🔁 0/5
فَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ ١٦٣
Fattaqul laaha wa atee`oon
Basi mcheni Mwenyezi Mungu na nit'iini mimi.
🎤 Rekodi yako:
26:164
🔁 0/5
وَمَآ أَسۡـَٔلُكُمۡ عَلَيۡهِ مِنۡ أَجۡرٍۖ إِنۡ أَجۡرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ١٦٤
Wa maaa as`alukum `alaihi min ajrin in ajriya illaa `alaa Rabbil `aalameen
Wala mimi sikutakini ujira juu yake; ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
26:165
🔁 0/5
أَتَأۡتُونَ ٱلذُّكۡرَانَ مِنَ ٱلۡعَٰلَمِينَ ١٦٥
Ataatoonaz zukraana minal `aalameen
Je! Katika viumbe vyote mnawaingilia wanaume?
🎤 Rekodi yako:
26:166
🔁 0/5
وَتَذَرُونَ مَا خَلَقَ لَكُمۡ رَبُّكُم مِّنۡ أَزۡوَٰجِكُمۚ بَلۡ أَنتُمۡ قَوۡمٌ عَادُونَ ١٦٦
Wa tazaroona maa khalaqa lakum Rabbukum min azwaajikum; bal antum qawmun `aadoon
Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu mnao ruka mipaka!
🎤 Rekodi yako:
26:167
🔁 0/5
قَالُواْ لَئِن لَّمۡ تَنتَهِ يَٰلُوطُ لَتَكُونَنَّ مِنَ ٱلۡمُخۡرَجِينَ ١٦٧
Qaloo la`il lam tantahi yaa Lootu latakoonanna minal mukhrajeen
Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!
🎤 Rekodi yako:
26:168
🔁 0/5
قَالَ إِنِّي لِعَمَلِكُم مِّنَ ٱلۡقَالِينَ ١٦٨
Qaala innee li`amalikum minal qaaleen
Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.
🎤 Rekodi yako:
26:169
🔁 0/5
رَبِّ نَجِّنِي وَأَهۡلِي مِمَّا يَعۡمَلُونَ ١٦٩
Rabbi najjjinee wa ahlee mimmmaa ya`maloon
Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.
🎤 Rekodi yako:
26:170
🔁 0/5
فَنَجَّيۡنَٰهُ وَأَهۡلَهُۥٓ أَجۡمَعِينَ ١٧٠
Fanajjainaahu wa ahlahooo ajma`een
Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,
🎤 Rekodi yako:
26:171
🔁 0/5
إِلَّا عَجُوزًا فِي ٱلۡغَٰبِرِينَ ١٧١
Illaa `ajoozan filghaabireen
Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.
🎤 Rekodi yako:
26:172
🔁 0/5
ثُمَّ دَمَّرۡنَا ٱلۡأٓخَرِينَ ١٧٢
Summa dammarnal aa khareen
Kisha tukawaangamiza wale wengine.
🎤 Rekodi yako:
26:173
🔁 0/5
وَأَمۡطَرۡنَا عَلَيۡهِم مَّطَرًاۖ فَسَآءَ مَطَرُ ٱلۡمُنذَرِينَ ١٧٣
Wa amtarnaa `alaihim mataran fasaaa`a matarul munzareen
Na tukawanyeshea mvua, basi ni ovu mno mvua ya waliyo onywa.
🎤 Rekodi yako:
26:174
🔁 0/5
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةًۖ وَمَا كَانَ أَكۡثَرُهُم مُّؤۡمِنِينَ ١٧٤
Inna fee zaalika la Aayah; wa maa kaana aksaruhum mu`mineen
Hakika katika hayo ipo Ishara. Na hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
🎤 Rekodi yako:
26:175
🔁 0/5
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ ١٧٥
Wa inna Rabbaka la Huwal `Azeezur Raheem
Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
🎤 Rekodi yako:
26:176
🔁 0/5
كَذَّبَ أَصۡحَٰبُ لۡـَٔيۡكَةِ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ١٧٦
Kazzaba As haabul Aykatil mursaleen
Watu wa Machakani waliwakanusha Mitume.
🎤 Rekodi yako:
26:177
🔁 0/5
إِذۡ قَالَ لَهُمۡ شُعَيۡبٌ أَلَا تَتَّقُونَ ١٧٧
Iz qaala lahum Shu`aybun alaa tattaqoon
Shuaibu alipo waambia: Je! Hamfanyi mkamchamngu?
🎤 Rekodi yako:
26:178
🔁 0/5
إِنِّي لَكُمۡ رَسُولٌ أَمِينٌ ١٧٨
Innee lakum Rasoolun ameen
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
🎤 Rekodi yako:
26:179
🔁 0/5
فَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ ١٧٩
Fattaqul laaha wa atee`oon
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
🎤 Rekodi yako:
26:180
🔁 0/5
وَمَآ أَسۡـَٔلُكُمۡ عَلَيۡهِ مِنۡ أَجۡرٍۖ إِنۡ أَجۡرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ١٨٠
Wa maaa as`alukum `alaihi min ajrin in ajriya illaa `alaa Rabbil `aalameen
Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
26:181
🔁 0/5
۞ أَوۡفُواْ ٱلۡكَيۡلَ وَلَا تَكُونُواْ مِنَ ٱلۡمُخۡسِرِينَ ١٨١
Awful kaila wa laa takoonoo minal mukhsireen
Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja.
🎤 Rekodi yako:
26:182
🔁 0/5
وَزِنُواْ بِٱلۡقِسۡطَاسِ ٱلۡمُسۡتَقِيمِ ١٨٢
Wa zinoo bilqistaasil mustaqeem
Na pimeni kwa haki iliyo nyooka;
🎤 Rekodi yako:
26:183
🔁 0/5
وَلَا تَبۡخَسُواْ ٱلنَّاسَ أَشۡيَآءَهُمۡ وَلَا تَعۡثَوۡاْ فِي ٱلۡأَرۡضِ مُفۡسِدِينَ ١٨٣
Wa laa tabkhasun naasa ashyaaa `ahum wa laa ta`saw fil ardi mufsideen
Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.
🎤 Rekodi yako:
26:184
🔁 0/5
وَٱتَّقُواْ ٱلَّذِي خَلَقَكُمۡ وَٱلۡجِبِلَّةَ ٱلۡأَوَّلِينَ ١٨٤
Wattaqul lazee khalaqakum waljibillatal awwaleen
Na mcheni aliye kuumbeni nyinyi na vizazi vilivyo tangulia.
🎤 Rekodi yako:
26:185
🔁 0/5
قَالُوٓاْ إِنَّمَآ أَنتَ مِنَ ٱلۡمُسَحَّرِينَ ١٨٥
Qaalooo innamaa anta minal musahhareen
Wakasema: Hakika wewe ni katika walio rogwa.
🎤 Rekodi yako:
26:186
🔁 0/5
وَمَآ أَنتَ إِلَّا بَشَرٌ مِّثۡلُنَا وَإِن نَّظُنُّكَ لَمِنَ ٱلۡكَٰذِبِينَ ١٨٦
Wa maaa anta illaa basharum mislunaa wa innazunnuka laminal kaazibeen
Na wewe si chochote ila ni mtu tu kama sisi, na kwa yakini tunakuona wewe ni katika waongo.
🎤 Rekodi yako:
26:187
🔁 0/5
فَأَسۡقِطۡ عَلَيۡنَا كِسَفًا مِّنَ ٱلسَّمَآءِ إِن كُنتَ مِنَ ٱلصَّٰدِقِينَ ١٨٧
Fa asqit `alainaa kisafam minas samaaa`i in kunta minas saadiqeen
Hebu tuangushie vipande kutoka mbinguni ikiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli.
🎤 Rekodi yako:
26:188
🔁 0/5
قَالَ رَبِّيٓ أَعۡلَمُ بِمَا تَعۡمَلُونَ ١٨٨
Qaala Rabbeee a`lamu bimaa ta`maloon
Akasema: Mola wangu Mlezi anajua zaidi mnayo yatenda.
🎤 Rekodi yako:
26:189
🔁 0/5
فَكَذَّبُوهُ فَأَخَذَهُمۡ عَذَابُ يَوۡمِ ٱلظُّلَّةِۚ إِنَّهُۥ كَانَ عَذَابَ يَوۡمٍ عَظِيمٍ ١٨٩
Fakazzaboohu fa akhazahum `azaabu Yawmiz zullah; innahoo kaana `azaaba Yawmin `Azeem
Basi walimkanusha, na ikawashika adhabu ya siku ya kivuli. Hakika hiyo ilikuwa adhabu ya siku kubwa.
🎤 Rekodi yako:
26:190
🔁 0/5
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةًۖ وَمَا كَانَ أَكۡثَرُهُم مُّؤۡمِنِينَ ١٩٠
Inna fee zaalika la Aayah; wa maa kaana aksaruhum mu`mineen
Hakika katika hayo ipo Ishara, lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
🎤 Rekodi yako:
26:191
🔁 0/5
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ ١٩١
Wa inna Rabbaka la huwal `Azeezur Raheem
Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
🎤 Rekodi yako:
26:192
🔁 0/5
وَإِنَّهُۥ لَتَنزِيلُ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ١٩٢
Wa innahoo latanzeelu Rabbil `aalameen
Na bila ya shaka hii ni Uteremsho wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
26:193
🔁 0/5
نَزَلَ بِهِ ٱلرُّوحُ ٱلۡأَمِينُ ١٩٣
Nazala bihir Roohul Ameen
Ameuteremsha Roho muaminifu,
🎤 Rekodi yako:
26:194
🔁 0/5
عَلَىٰ قَلۡبِكَ لِتَكُونَ مِنَ ٱلۡمُنذِرِينَ ١٩٤
Alaa qalbika litakoona minal munzireen
Juu ya moyo wako, ili uwe katika Waonyaji,
🎤 Rekodi yako:
26:195
🔁 0/5
بِلِسَانٍ عَرَبِيٍّ مُّبِينٍ ١٩٥
Bilisaanin `Arabiyyim mubeen
Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.
🎤 Rekodi yako:
26:196
🔁 0/5
وَإِنَّهُۥ لَفِي زُبُرِ ٱلۡأَوَّلِينَ ١٩٦
Wa innahoo lafee Zuburil awwaleen
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.
🎤 Rekodi yako:
26:197
🔁 0/5
أَوَلَمۡ يَكُن لَّهُمۡ ءَايَةً أَن يَعۡلَمَهُۥ عُلَمَٰٓؤُاْ بَنِيٓ إِسۡرَٰٓءِيلَ ١٩٧
Awalam yakul lahum Aayatan ai ya`lamahoo `ulamaaa`u Baneee Israaa`eel
Je! Haikuwa kwao ni Ishara kwamba wanayajua haya wanazuoni wa Wana wa Israili?
🎤 Rekodi yako:
26:198
🔁 0/5
وَلَوۡ نَزَّلۡنَٰهُ عَلَىٰ بَعۡضِ ٱلۡأَعۡجَمِينَ ١٩٨
Wa law nazzalnaahu `alaa ba`dil a`jameen
Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,
🎤 Rekodi yako:
26:199
🔁 0/5
فَقَرَأَهُۥ عَلَيۡهِم مَّا كَانُواْ بِهِۦ مُؤۡمِنِينَ ١٩٩
Faqara ahoo `alaihim maa kaanoo bihee mu`mineen
Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.
🎤 Rekodi yako:
26:200
🔁 0/5
كَذَٰلِكَ سَلَكۡنَٰهُ فِي قُلُوبِ ٱلۡمُجۡرِمِينَ ٢٠٠
Kazaalika salaknaahu fee quloobil mujrimeen
Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu.
🎤 Rekodi yako:
26:201
🔁 0/5
لَا يُؤۡمِنُونَ بِهِۦ حَتَّىٰ يَرَوُاْ ٱلۡعَذَابَ ٱلۡأَلِيمَ ٢٠١
Laa yu`minoona bihee hattaa yarawul `azaabal aleem
Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu.
🎤 Rekodi yako:
26:202
🔁 0/5
فَيَأۡتِيَهُم بَغۡتَةً وَهُمۡ لَا يَشۡعُرُونَ ٢٠٢
Fayaatiyahum baghtatanw wa hum laa yash`uroon
Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.
🎤 Rekodi yako:
26:203
🔁 0/5
فَيَقُولُواْ هَلۡ نَحۡنُ مُنظَرُونَ ٢٠٣
Fa yaqooloo hal nahnu munzaroon
Na watasema: Je, tutapewa muhula?
🎤 Rekodi yako:
26:204
🔁 0/5
أَفَبِعَذَابِنَا يَسۡتَعۡجِلُونَ ٢٠٤
Aafabi `azaabinaa yasta`jiloon
Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?
🎤 Rekodi yako:
26:205
🔁 0/5
أَفَرَءَيۡتَ إِن مَّتَّعۡنَٰهُمۡ سِنِينَ ٢٠٥
Aara`aita im matta`naahum sineen
Waonaje kama tukiwastarehesha kwa miaka,
🎤 Rekodi yako:
26:206
🔁 0/5
ثُمَّ جَآءَهُم مَّا كَانُواْ يُوعَدُونَ ٢٠٦
Summa jaaa`ahum maa kaanoo yoo`adoon
Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,
🎤 Rekodi yako:
26:207
🔁 0/5
مَآ أَغۡنَىٰ عَنۡهُم مَّا كَانُواْ يُمَتَّعُونَ ٢٠٧
Maaa aghnaaa `anhum maa kaanoo yumaatoo`oon
Yatawafaa nini yale waliyo stareheshewa?
🎤 Rekodi yako:
26:208
🔁 0/5
وَمَآ أَهۡلَكۡنَا مِن قَرۡيَةٍ إِلَّا لَهَا مُنذِرُونَ ٢٠٨
Wa maaa ahlaknaa min qaryatin illaa lahaa munziroon
Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -
🎤 Rekodi yako:
26:209
🔁 0/5
ذِكۡرَىٰ وَمَا كُنَّا ظَٰلِمِينَ ٢٠٩
Zikraa wa maa kunnaa zaalimeen
Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.
🎤 Rekodi yako:
26:210
🔁 0/5
وَمَا تَنَزَّلَتۡ بِهِ ٱلشَّيَٰطِينُ ٢١٠
Wa maa tanazzalat bihish Shayaateen
Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,
🎤 Rekodi yako:
26:211
🔁 0/5
وَمَا يَنۢبَغِي لَهُمۡ وَمَا يَسۡتَطِيعُونَ ٢١١
Wa maa yambaghee lahum wa maa yastatee`oon
Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.
🎤 Rekodi yako:
26:212
🔁 0/5
إِنَّهُمۡ عَنِ ٱلسَّمۡعِ لَمَعۡزُولُونَ ٢١٢
Innahum `anis sam`i lama`zooloon
Hakika hao wametengwa na kusikia.
🎤 Rekodi yako:
26:213
🔁 0/5
فَلَا تَدۡعُ مَعَ ٱللَّهِ إِلَٰهًا ءَاخَرَ فَتَكُونَ مِنَ ٱلۡمُعَذَّبِينَ ٢١٣
Falaa tad`u ma`al laahi ilaahan aakhara fatakoona minal mu`azzabeen
Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni mwa watakao adhibiwa.
🎤 Rekodi yako:
26:214
🔁 0/5
وَأَنذِرۡ عَشِيرَتَكَ ٱلۡأَقۡرَبِينَ ٢١٤
Wa anzir `asheeratakal aqrabeen
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
🎤 Rekodi yako:
26:215
🔁 0/5
وَٱخۡفِضۡ جَنَاحَكَ لِمَنِ ٱتَّبَعَكَ مِنَ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ ٢١٥
Wakhfid janaahaka limanit taba `aka minal mu`mineen
Na watwae kwa upole wanao kufuata miongoni mwa Waumini.
🎤 Rekodi yako:
26:216
🔁 0/5
فَإِنۡ عَصَوۡكَ فَقُلۡ إِنِّي بَرِيٓءٌ مِّمَّا تَعۡمَلُونَ ٢١٦
Fa in asawka faqul innee bareee`um mimmmaa ta`maloon
Na ikiwa watakuasi basi sema: Mimi najitenga mbali na hayo mnayo yatenda.
🎤 Rekodi yako:
26:217
🔁 0/5
وَتَوَكَّلۡ عَلَى ٱلۡعَزِيزِ ٱلرَّحِيمِ ٢١٧
Wa tawakkal alal `Azeezir Raheem
Na umtegemee Mtukufu Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
🎤 Rekodi yako:
26:218
🔁 0/5
ٱلَّذِي يَرَىٰكَ حِينَ تَقُومُ ٢١٨
Allazee yaraaka heena taqoom
Ambaye anakuona unapo simama,
🎤 Rekodi yako:
26:219
🔁 0/5
وَتَقَلُّبَكَ فِي ٱلسَّٰجِدِينَ ٢١٩
Wa taqallubaka fis saajideen
Na mageuko yako kati ya wanao sujudu.
🎤 Rekodi yako:
26:220
🔁 0/5
إِنَّهُۥ هُوَ ٱلسَّمِيعُ ٱلۡعَلِيمُ ٢٢٠
Innahoo Huwas Samee`ul `Aleem
Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.
🎤 Rekodi yako:
26:221
🔁 0/5
هَلۡ أُنَبِّئُكُمۡ عَلَىٰ مَن تَنَزَّلُ ٱلشَّيَٰطِينُ ٢٢١
Hal unabbi`ukum `alaa man tanazzalush Shayaateen
Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani?
🎤 Rekodi yako:
26:222
🔁 0/5
تَنَزَّلُ عَلَىٰ كُلِّ أَفَّاكٍ أَثِيمٍ ٢٢٢
Tanazzalu `alaa kulli affaakin aseem
Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.
🎤 Rekodi yako:
26:223
🔁 0/5
يُلۡقُونَ ٱلسَّمۡعَ وَأَكۡثَرُهُمۡ كَٰذِبُونَ ٢٢٣
Yulqoonas sam`a wa aksaruhum aaziboon
Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo.
🎤 Rekodi yako:
26:224
🔁 0/5
وَٱلشُّعَرَآءُ يَتَّبِعُهُمُ ٱلۡغَاوُۥنَ ٢٢٤
Washshu `araaa`u yattabi `uhumul ghaawoon
Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
🎤 Rekodi yako:
26:225
🔁 0/5
أَلَمۡ تَرَ أَنَّهُمۡ فِي كُلِّ وَادٍ يَهِيمُونَ ٢٢٥
Alam tara annahum fee kulli waadiny yaheemoon
Je! Huwaoni kwamba wao wanatangatanga katika kila bonde?
🎤 Rekodi yako:
26:226
🔁 0/5
وَأَنَّهُمۡ يَقُولُونَ مَا لَا يَفۡعَلُونَ ٢٢٦
Wa annahum yaqooloona ma laa yaf`aloon
Na kwamba wao husema wasiyo yatenda?
🎤 Rekodi yako:
26:227
🔁 0/5
إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّٰلِحَٰتِ وَذَكَرُواْ ٱللَّهَ كَثِيرًا وَٱنتَصَرُواْ مِنۢ بَعۡدِ مَا ظُلِمُواْۗ وَسَيَعۡلَمُ ٱلَّذِينَ ظَلَمُوٓاْ أَيَّ مُنقَلَبٍ يَنقَلِبُونَ ٢٢٧
Illal lazeena aamanoo w a`amilus saalihaati wa zakarul laaha kaseeranw wantasaroo mim ba`di maa zulimoo; wa saya`lamul lazeena zalamooo aiya munqalbiny yanqaliboon
Isipo kuwa wale walio amini, na wakatenda mema, na wakamkumbuka Mwenyezi Mungu kwa wingi, na wakajitetea wanapo dhulumiwa. Na wanao dhulumu watakuja jua mgeuko gani watakao geuka.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







