🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (40 Aya)
0/40
78:1
🔁 0/5
عَمَّ يَتَسَآءَلُونَ ١
Amma Yatasaa-aloon
WANAULIZANA nini?
🎤 Rekodi yako:
78:2
🔁 0/5
عَنِ ٱلنَّبَإِ ٱلۡعَظِيمِ ٢
Anin-nabaa-il `azeem
Ile khabari kuu,
🎤 Rekodi yako:
78:3
🔁 0/5
ٱلَّذِي هُمۡ فِيهِ مُخۡتَلِفُونَ ٣
Allazi hum feehi mukh talifoon
Ambayo kwayo wanakhitalifiana.
🎤 Rekodi yako:
78:4
🔁 0/5
كـَلَّا سَيَعۡلَمُونَ ٤
Kallaa sa y`alamoon
La! Karibu watakuja jua.
🎤 Rekodi yako:
78:5
🔁 0/5
ثُمَّ كـَلَّا سَيَعۡلَمُونَ ٥
Thumma kallaa sa y`alamoon
Tena la! Karibu watakuja jua.
🎤 Rekodi yako:
78:6
🔁 0/5
أَلَمۡ نَجۡعَلِ ٱلۡأَرۡضَ مِهَٰدًا ٦
Alam naj`alil arda mihaa da
Kwani hatukuifanya ardhi kama tandiko?
🎤 Rekodi yako:
78:7
🔁 0/5
وَٱلۡجِبَالَ أَوۡتَادًا ٧
Wal jibaala au taada
Na milima kama vigingi?
🎤 Rekodi yako:
78:8
🔁 0/5
وَخَلَقۡنَٰكُمۡ أَزۡوَٰجًا ٨
Wa khalaq naakum azwaaja
Na tukakuumbeni kwa jozi?
🎤 Rekodi yako:
78:9
🔁 0/5
وَجَعَلۡنَا نَوۡمَكُمۡ سُبَاتًا ٩
Waja`alnan naumakum subata
Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko?
🎤 Rekodi yako:
78:10
🔁 0/5
وَجَعَلۡنَا ٱلَّيۡلَ لِبَاسًا ١٠
Waja`alnal laila libasa
Na tukaufanya usiku ni nguo?
🎤 Rekodi yako:
78:11
🔁 0/5
وَجَعَلۡنَا ٱلنَّهَارَ مَعَاشًا ١١
Waja`alnan nahara ma `aasha
Na tukaufanya mchana ni wa kuchumia maisha?
🎤 Rekodi yako:
78:12
🔁 0/5
وَبَنَيۡنَا فَوۡقَكُمۡ سَبۡعًا شِدَادًا ١٢
Wa banaina fauqakum sab `an shi daada
Na tukajenga juu yenu saba zenye nguvu?
🎤 Rekodi yako:
78:13
🔁 0/5
وَجَعَلۡنَا سِرَاجًا وَهَّاجًا ١٣
Waja`alna siraajaw wah haaja
Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;
🎤 Rekodi yako:
78:14
🔁 0/5
وَأَنزَلۡنَا مِنَ ٱلۡمُعۡصِرَٰتِ مَآءً ثَجَّاجًا ١٤
Wa anzalna minal m`usiraati maa-an saj-jaaja
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
🎤 Rekodi yako:
78:15
🔁 0/5
لِّنُخۡرِجَ بِهِۦ حَبًّا وَنَبَاتًا ١٥
Linukh rija bihee habbaw wana baata
Ili tutoe kwayo nafaka na mimea,
🎤 Rekodi yako:
78:16
🔁 0/5
وَجَنَّٰتٍ أَلۡفَافًا ١٦
Wa jan naatin alfafa
Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.
🎤 Rekodi yako:
78:17
🔁 0/5
إِنَّ يَوۡمَ ٱلۡفَصۡلِ كَانَ مِيقَٰتًا ١٧
Inna yaumal-fasli kana miqaata
Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,
🎤 Rekodi yako:
78:18
🔁 0/5
يَوۡمَ يُنفَخُ فِي ٱلصُّورِ فَتَأۡتُونَ أَفۡوَاجًا ١٨
Yauma yun fakhu fis-soori fataa toona afwaaja
Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,
🎤 Rekodi yako:
78:19
🔁 0/5
وَفُتِحَتِ ٱلسَّمَآءُ فَكَانَتۡ أَبۡوَٰبًا ١٩
Wa futiha tis samaa-u fakaanat abwaaba
Na mbingu zitafunguliwa, ziwe milango,
🎤 Rekodi yako:
78:20
🔁 0/5
وَسُيِّرَتِ ٱلۡجِبَالُ فَكَانَتۡ سَرَابًا ٢٠
Wa suyyi raatil jibaalu fa kaanat saraaba
Na milima itaondolewa na itakuwa kama sarabi.
🎤 Rekodi yako:
78:21
🔁 0/5
إِنَّ جَهَنَّمَ كَانَتۡ مِرۡصَادًا ٢١
Inna jahan nama kaanat mirsaada
Hakika Jahannamu inangojea!
🎤 Rekodi yako:
78:22
🔁 0/5
لِّلطَّٰغِينَ مَـَٔابًا ٢٢
Lit taa gheena ma aaba
Kwa walio asi ndio makaazi yao,
🎤 Rekodi yako:
78:23
🔁 0/5
لَّٰبِثِينَ فِيهَآ أَحۡقَابًا ٢٣
Laa bitheena feehaa ahqaaba
Wakae humo karne baada ya karne,
🎤 Rekodi yako:
78:24
🔁 0/5
لَّا يَذُوقُونَ فِيهَا بَرۡدًا وَلَا شَرَابًا ٢٤
Laa ya zooqoona feeha bar daw walaa sharaaba
Hawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji,
🎤 Rekodi yako:
78:25
🔁 0/5
إِلَّا حَمِيمًا وَغَسَّاقًا ٢٥
Illa hamee maw-wa ghas saaqa
Ila maji yamoto sana na usaha,
🎤 Rekodi yako:
78:26
🔁 0/5
جَزَآءً وِفَاقًا ٢٦
Jazaa-aw wi faaqa
Ndio jaza muwafaka.
🎤 Rekodi yako:
78:27
🔁 0/5
إِنَّهُمۡ كَانُواْ لَا يَرۡجُونَ حِسَابًا ٢٧
Innahum kaanu laa yarjoona hisaaba
Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.
🎤 Rekodi yako:
78:28
🔁 0/5
وَكَذَّبُواْ بِـَٔايَٰتِنَا كِذَّابًا ٢٨
Wa kazzabu bi aayaa tina kizzaba
Na wakikanusha Aya zetu kwa nguvu.
🎤 Rekodi yako:
78:29
🔁 0/5
وَكُلَّ شَيۡءٍ أَحۡصَيۡنَٰهُ كِتَٰبًا ٢٩
Wa kulla shai-in ahsai naahu kitaa ba
Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.
🎤 Rekodi yako:
78:30
🔁 0/5
فَذُوقُواْ فَلَن نَّزِيدَكُمۡ إِلَّا عَذَابًا ٣٠
Fa zooqoo falan-nazee dakum ill-laa azaaba
Basi onjeni! Nasi hatutakuzidishieni ila adhabu!
🎤 Rekodi yako:
78:31
🔁 0/5
إِنَّ لِلۡمُتَّقِينَ مَفَازًا ٣١
Inna lil mutta qeena mafaaza
Hakika wachamngu wanastahiki kufuzu,
🎤 Rekodi yako:
78:32
🔁 0/5
حَدَآئِقَ وَأَعۡنَٰبًا ٣٢
Hadaa-iqa wa a`anaa ba
Mabustani na mizabibu,
🎤 Rekodi yako:
78:33
🔁 0/5
وَكَوَاعِبَ أَتۡرَابًا ٣٣
Wa kaawa `iba at raaba
Na wake walio lingana nao,
🎤 Rekodi yako:
78:34
🔁 0/5
وَكَأۡسًا دِهَاقًا ٣٤
Wa ka`san di haaqa
Na bilauri zilizo jaa,
🎤 Rekodi yako:
78:35
🔁 0/5
لَّا يَسۡمَعُونَ فِيهَا لَغۡوًا وَلَا كِذَّٰبًا ٣٥
Laa yasma`oona fiha lagh waw walaa kizzaba
Hawatasikia humo upuuzi wala uwongo -
🎤 Rekodi yako:
78:36
🔁 0/5
جَزَآءً مِّن رَّبِّكَ عَطَآءً حِسَابًا ٣٦
Jazaa-am mir-rabbika ataa-an hisaaba
Malipo kutoka kwa Mola wako Mlezi, kipawa cha kutosha.
🎤 Rekodi yako:
78:37
🔁 0/5
رَّبِّ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِ وَمَا بَيۡنَهُمَا ٱلرَّحۡمَٰنِۖ لَا يَمۡلِكُونَ مِنۡهُ خِطَابًا ٣٧
Rabbis samaa waati wal ardi wa maa baina humar rahmaani laa yam likoona minhu khi taaba
Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilio baina yao, Arrahman, Mwingi wa rehema; hawamiliki usemi mbele yake!
🎤 Rekodi yako:
78:38
🔁 0/5
يَوۡمَ يَقُومُ ٱلرُّوحُ وَٱلۡمَلَٰٓئِكَةُ صَفًّاۖ لَّا يَتَكَلَّمُونَ إِلَّا مَنۡ أَذِنَ لَهُ ٱلرَّحۡمَٰنُ وَقَالَ صَوَابًا ٣٨
Yauma yaqoo mur roohu wal malaa-ikatu saf-fal laa yata kalla moona illa man azina lahur rahmaanu wa qaala sawaaba
Siku atakapo simama Roho na Malaika kwa safu. Hawatasema ila Mwingi wa rehema aliye mruhusu, na atasema yaliyo sawa tu.
🎤 Rekodi yako:
78:39
🔁 0/5
ذَٰلِكَ ٱلۡيَوۡمُ ٱلۡحَقُّۖ فَمَن شَآءَ ٱتَّخَذَ إِلَىٰ رَبِّهِۦ مَـَٔابًا ٣٩
Zaalikal yaumul haqqu faman shaa-at ta khaaza ill-laa rabbihi ma-aaba
Hiyo ndiyo Siku ya haki. Basi anaye taka na ashike njia arejee kwa Mola wake Mlezi.
🎤 Rekodi yako:
78:40
🔁 0/5
إِنَّآ أَنذَرۡنَٰكُمۡ عَذَابًا قَرِيبًا يَوۡمَ يَنظُرُ ٱلۡمَرۡءُ مَا قَدَّمَتۡ يَدَاهُ وَيَقُولُ ٱلۡكَافِرُ يَٰلَيۡتَنِي كُنتُ تُرَٰبَۢا ٤٠
In naa anzar naakum azaaban qareebaiy-yauma yan zurul marr-u maa qaddamat yadaahu wa ya qoolul-kaafiru yaa lai tanee kuntu turaaba
Hakika tumekuhadharisheni adhabu iliyo karibu kufika; Siku ambayo mtu atakapo ona yaliyo tangulizwa na mikono yake; na kafiri atasema: Laiti ningeli kuwa udongo!
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







