🔥 0 siku mfululizo
0/22
85:1
🔁 0/5
وَٱلسَّمَآءِ ذَاتِ ٱلۡبُرُوجِ ١
Wassamaaa`i zaatil burooj
Naapa kwa mbingu yenye Buruji!
🎤 Rekodi yako:
85:2
🔁 0/5
وَٱلۡيَوۡمِ ٱلۡمَوۡعُودِ ٢
Wal yawmil maw`ood
Na kwa siku iliyo ahidiwa!
🎤 Rekodi yako:
85:3
🔁 0/5
وَشَاهِدٍ وَمَشۡهُودٍ ٣
Wa shaahidinw wa mashhood
Na kwa shahidi na kinacho shuhudiwa!
🎤 Rekodi yako:
85:4
🔁 0/5
قُتِلَ أَصۡحَٰبُ ٱلۡأُخۡدُودِ ٤
Qutila as haabul ukhdood
Wameangamizwa watu wa makhandaki
🎤 Rekodi yako:
85:5
🔁 0/5
ٱلنَّارِ ذَاتِ ٱلۡوَقُودِ ٥
Annaari zaatil waqood
Yenye moto wenye kuni nyingi,
🎤 Rekodi yako:
85:6
🔁 0/5
إِذۡ هُمۡ عَلَيۡهَا قُعُودٌ ٦
Iz hum `alaihaa qu`ood
Walipo kuwa wamekaa hapo,
🎤 Rekodi yako:
85:7
🔁 0/5
وَهُمۡ عَلَىٰ مَا يَفۡعَلُونَ بِٱلۡمُؤۡمِنِينَ شُهُودٌ ٧
Wa hum `alaa maa yaf`aloona bilmu `mineena shuhood
Na wao ni mashahidi wa yale waliyo kuwa wakiwafanyia Waumini.
🎤 Rekodi yako:
85:8
🔁 0/5
وَمَا نَقَمُواْ مِنۡهُمۡ إِلَّآ أَن يُؤۡمِنُواْ بِٱللَّهِ ٱلۡعَزِيزِ ٱلۡحَمِيدِ ٨
Wa maa naqamoo minhum illaaa aiyu`minoo billaahil `azeezil Hameed
Nao hawakuona baya lolote kwao ila kuwa wakimuamini Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Msifiwa,
🎤 Rekodi yako:
85:9
🔁 0/5
ٱلَّذِي لَهُۥ مُلۡكُ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِۚ وَٱللَّهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيۡءٍ شَهِيدٌ ٩
Allazee lahoo mulkus samaawaati wal ard; wallaahu `alaa kulli shai `in Shaheed
Ambaye anao ufalme wa mbingu na ardhi; na Mwenyezi Mungu ni shaahidi wa kila kitu.
🎤 Rekodi yako:
85:10
🔁 0/5
إِنَّ ٱلَّذِينَ فَتَنُواْ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ وَٱلۡمُؤۡمِنَٰتِ ثُمَّ لَمۡ يَتُوبُواْ فَلَهُمۡ عَذَابُ جَهَنَّمَ وَلَهُمۡ عَذَابُ ٱلۡحَرِيقِ ١٠
Innal lazeena fatanul mu`mineena wal mu`minaati summa lam yatooboo falahum `azaabu Jahannama wa lahum `azaabul hareeq
Hakika walio wafitini Waumini wanaume na Waumini wanawake, kisha hawakutubu, basi watapata adhabu ya Jahannamu na watapata adhabu ya kuungua.
🎤 Rekodi yako:
85:11
🔁 0/5
إِنَّ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّٰلِحَٰتِ لَهُمۡ جَنَّٰتٌ تَجۡرِي مِن تَحۡتِهَا ٱلۡأَنۡهَٰرُۚ ذَٰلِكَ ٱلۡفَوۡزُ ٱلۡكَبِيرُ ١١
Innal lazeena aamanoo wa `amilus saalihaati lahum Jannaatun tajree min tahtihal anhaar; zaalikal fawzul kabeer
Hakika walio amini na wakatenda mema watapata Bustani zenye mito ipitayo kati yake. Huko ndiko kufuzu kukubwa.
🎤 Rekodi yako:
85:12
🔁 0/5
إِنَّ بَطۡشَ رَبِّكَ لَشَدِيدٌ ١٢
Inna batsha Rabbika lashadeed
Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.
🎤 Rekodi yako:
85:13
🔁 0/5
إِنَّهُۥ هُوَ يُبۡدِئُ وَيُعِيدُ ١٣
Innahoo Huwa yubdi`u wa yu`eed
Yeye ndiye anaye anzisha na ndiye anaye rejeza tena,
🎤 Rekodi yako:
85:14
🔁 0/5
وَهُوَ ٱلۡغَفُورُ ٱلۡوَدُودُ ١٤
Wa Huwal Ghafoorul Wadood
Naye ni Mwenye kusamehe, Mwenye mapenzi,
🎤 Rekodi yako:
85:15
🔁 0/5
ذُو ٱلۡعَرۡشِ ٱلۡمَجِيدُ ١٥
Zul `Arshil Majeed
Mwenye Kiti cha Enzi, Mtukufu,
🎤 Rekodi yako:
85:16
🔁 0/5
فَعَّالٌ لِّمَا يُرِيدُ ١٦
Fa` `aalul limaa yureed
Atendaye ayatakayo.
🎤 Rekodi yako:
85:17
🔁 0/5
هَلۡ أَتَىٰكَ حَدِيثُ ٱلۡجُنُودِ ١٧
Hal ataaka hadeesul junood
Je! Zimekuwasilia khabari za majeshi?
🎤 Rekodi yako:
85:18
🔁 0/5
فِرۡعَوۡنَ وَثَمُودَ ١٨
Fir`awna wa Samood
Ya Firauni na Thamudi?
🎤 Rekodi yako:
85:19
🔁 0/5
بَلِ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ فِي تَكۡذِيبٍ ١٩
Balil lazeena kafaroo fee takzeeb
Lakini walio kufuru wamo katika kukadhibisha.
🎤 Rekodi yako:
85:20
🔁 0/5
وَٱللَّهُ مِن وَرَآئِهِم مُّحِيطُۢ ٢٠
Wallaahu minw waraaa`ihim muheet
Na Mwenyezi Mungu nyuma yao amewazunguka.
🎤 Rekodi yako:
85:21
🔁 0/5
بَلۡ هُوَ قُرۡءَانٌ مَّجِيدٌ ٢١
Bal huwa Quraanum Majeed
Bali hii ni Qur'ani tukufu
🎤 Rekodi yako:
85:22
🔁 0/5
فِي لَوۡحٍ مَّحۡفُوظِۭ ٢٢
Fee Lawhim Mahfooz
Katika Ubao Ulio Hifadhiwa.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







