Surah Raad aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Raad aya 1 in arabic text(The Thunder).
  
   

﴿المر ۚ تِلْكَ آيَاتُ الْكِتَابِ ۗ وَالَّذِي أُنزِلَ إِلَيْكَ مِن رَّبِّكَ الْحَقُّ وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَ النَّاسِ لَا يُؤْمِنُونَ
[ الرعد: 1]

Alif Lam Mym Ra. (A. L. M. R.) Hizi ni Ishara za Kitabu. Na uliyo teremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi ni Haki. Lakini wengi wa watu hawaamini.

Surah Ar-Rad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Alif, Lam, Meem, Ra. These are the verses of the Book; and what has been revealed to you from your Lord is the truth, but most of the people do not believe.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Alif Lam Mym Ra. (A.L.M.R.) Hizi ni Ishara za Kitabu. Na uliyo teremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi ni Haki. Lakini wengi wa watu hawaamini.


-Alif Mym Ra- hizi ni harufi za kutamkwa zimeanzia baadhi ya Sura za Qurani. Nazo zinaashiria kuwa huu ni muujiza juu ya kuwa ni harufi wanazo zitumia Waarabu katika maneno yao ya kawaida! Na harufi hizi zilikuwa zikitamkwa huwavutia Waarabu waisikilize Qurani! Kwani wale mapagani (washirikina) waliambizana wasiisikilize hii Qurani. Ikawa Waumini wakianzia harufi hizi huvutia masikio ya washirikina wakawa wanasikiliza. Hakika hizo Aya au Ishara tukufu ndio hii Qurani, Kitabu chenye shani kubwa, uliyo teremshiwa wewe Nabii kwa haki na ukweli kutokana na Mwenyezi Mungu, aliye kuumba, na akakuteuwa. Lakini wengi wa washirikina walio yakanya yaliyo kuja ya Haki si watu wa kuikubali Haki. Bali wao wanaipinga kwa inda.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Raad


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Raad with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Raad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Raad Complete with high quality
    Surah Raad Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Raad Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Raad Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Raad Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Raad Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Raad Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Raad Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Raad Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Raad Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Raad Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Raad Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Raad Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Raad Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Raad Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Raad Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers