Surah Mumtahina aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mumtahina aya 5 in arabic text(The Examined One).
  
   

﴿رَبَّنَا لَا تَجْعَلْنَا فِتْنَةً لِّلَّذِينَ كَفَرُوا وَاغْفِرْ لَنَا رَبَّنَا ۖ إِنَّكَ أَنتَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ
[ الممتحنة: 5]

Mola wetu Mlezi! Usitufanyie mtihani kwa walio kufuru. Na tusamehe, Mola wetu Mlezi. Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

Surah Al-Mumtahanah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Our Lord, make us not [objects of] torment for the disbelievers and forgive us, our Lord. Indeed, it is You who is the Exalted in Might, the Wise."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Mola wetu Mlezi! Usitufanyie mtihani kwa walio kufuru. Na tusamehe, Mola wetu Mlezi. Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.


Mola wetu Mlezi! Usitujaalie tukawa katika hali ya kuwa katika fitina za walio kufuru. Na tusamehe madhambi yetu, ewe Mola wetu Mlezi! Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu usiye shindika, Mwenye hikima katika kutasarafu kwake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 5 from Mumtahina


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wala wasikuhuzunishe wale wanao kimbilia ukafirini. Hakika hao hawamdhuru kitu Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu anataka
  2. Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!
  3. Alif Lam Ra. (A. L. R). Hizi ni Aya za Kitabu na Qur'ani inayo bainisha.
  4. Basi ilipo fika amri yetu tuliigeuza nchi juu chini, na tukawateremshia mvua ya changarawe za
  5. Lakini mwenye kutubia baada ya dhulma yake, na akatengenea, basi Mwenyezi Mungu atapokea toba yake.
  6. Sikuwaambia lolote ila uliyo niamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola
  7. Rehema ambayo Mwenyezi Mungu anawafungulia watu hapana wa kuizuia. Na anayo izuia hapana wa kuipeleka
  8. Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na
  9. Wataingia humo Siku ya Malipo.
  10. Na ndio kama hivyo ndivyo inavyo kuwa Mola wako Mlezi anapo ikamata miji inapo kuwa

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mumtahina with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mumtahina mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mumtahina Complete with high quality
Surah Mumtahina Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mumtahina Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mumtahina Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mumtahina Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mumtahina Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mumtahina Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mumtahina Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Mumtahina Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mumtahina Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mumtahina Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mumtahina Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mumtahina Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mumtahina Al Hosary
Al Hosary
Surah Mumtahina Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mumtahina Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 14, 2026

Please remember us in your sincere prayers