Surah Naml aya 53 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَنجَيْنَا الَّذِينَ آمَنُوا وَكَانُوا يَتَّقُونَ﴾
[ النمل: 53]
Na tukawaokoa wale walio amini na walio kuwa wanamchamngu.
Surah An-Naml in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We saved those who believed and used to fear Allah.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukawaokoa wale walio amini na walio kuwa wanamchamngu.
Na Sisi tukakiokoa kikundi kilicho muamini Saleh kutokana na hilaki hii, na wakawa wanao gopa kuziacha amri zake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kwa yakini tumekwisha ziangamiza kaumu za kabla yenu walipo dhulumu, na waliwajia Mitume wao
- Basi wasamehe, na uwambie maneno ya salama. Watakuja jua.
- Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.
- Basi khofu ilipo mwondoka Ibrahim, na ikawa ile bishara imemfikia, alianza kujadiliana nasi juu ya
- Hakika hao mnao waomba asiye kuwa Mwenyezi Mungu ni waja mfano wenu nyinyi. Hebu waombeni,
- Sema: Ingeli kuwa duniani wapo Malaika wanatembea kwa utulivu wao, basi bila ya shaka tungeli
- Hakika haya ni malipo yenu; na juhudi zenu zimekubaliwa.
- Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.
- Wakasema: Usiogope. Sisi tunakubashiria kijana mwenye ujuzi.
- Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naml with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naml mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naml Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



