Surah Shuara aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿طسم﴾
[ الشعراء: 1]
T'aa Siin Miim. (T'. S. M.)
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Ta, Seen, Meem.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
taa Siin Miim. (T.S.M.) .
Harufi hizi na mfano wa hizi ndizo zikakusanyika kuifanya Qurani kuwa ni muujiza ulio washinda watu kuiga mfano wake, ijapo kuwa hizo harufi ndizo wanazo zitamka. Basi mwenye kuitilia shaka hii Qurani kuwa imetoka kwa Mwenyezi Mungu au la, basi na alete mfano wake. Na hatoweza.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Vya fedha safi kama kiyoo, wamevipima kwa vipimo.
- Na ardhi tumeitandaza na tukaiwekea milima, na tukaiotesha mimea mizuri ya kila namna.
- Isipo kuwa mwenye kusikiliza kwa kuibia, naye hufuatwa na kijinga cha moto kinacho onekana.
- Ufalme wote siku hiyo utakuwa wa Mwenyezi Mungu. Atahukumu baina yao. Basi walio amini na
- Na anaye subiri, na akasamehe, hakika hayo ni katika mambo ya kuazimiwa.
- Na wakikanusha Aya zetu kwa nguvu.
- Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
- Kisha kwa yakini tutawatoa katika kila kundi wale miongoni mwao walio zidi kumuasi Arrahmani, Mwingi
- Lakini makundi kwa makundi yao yalikhitalifiana wao kwa wao. Ole wao walio dhulumu kwa adhabu
- Hakika haya ndiyo maelezo ya kweli. Na hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu tu, na hakika
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



