Surah Ahqaf aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ahqaf aya 11 in arabic text(The Sand-Dunes).
  
   

﴿وَقَالَ الَّذِينَ كَفَرُوا لِلَّذِينَ آمَنُوا لَوْ كَانَ خَيْرًا مَّا سَبَقُونَا إِلَيْهِ ۚ وَإِذْ لَمْ يَهْتَدُوا بِهِ فَسَيَقُولُونَ هَٰذَا إِفْكٌ قَدِيمٌ
[ الأحقاف: 11]

Na walio kufuru waliwaambia walio amini: Lau kuwa hii ni kheri, wasingeli tutangulia. Na walipo kosa kuongoka wakasema: Huu ni uzushi wa zamani.

Surah Al-Ahqaaf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And those who disbelieve say of those who believe, "If it had [truly] been good, they would not have preceded us to it." And when they are not guided by it, they will say, "This is an ancient falsehood."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na walio kufuru waliwaambia walio amini: Lau kuwa hii ni kheri, wasingeli tutangulia. Na walipo kosa kuongoka wakasema: Huu ni uzushi wa zamani.


Na walio kufuru walisema kuwakhusu walio amini, kwa kejeli na majivuno juu yao: Ingeli kuwa aliyo kuja nayo Muhammad ni ya kheri, basi wasingeli tutangulia hawa katika kuyaamini. Kwani sisi ndio twenye ubwana, na akili bora! Na ilivyo kuwa hawakuyafuata basi wakaangukia kuyatoa kombo, wakisema: Huu ni uwongo wa zamani unatokana na hadithi za watu wa kale!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 11 from Ahqaf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwa wanao apa kuwa watajitenga na wake zao, wangojee miezi mine. Wakirejea basi Mwenyezi Mungu
  2. Enyi watu wangu! Ingieni katika nchi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni. Wala msirudi nyuma, msije
  3. Na Nuh'u akasema: Mola wangu Mlezi! Usimwache juu ya ardhi mkaazi wake yeyote katika makafiri!
  4. Na miongoni mwao wapo walio muahidi Mwenyezi Mungu kwa kusema: Akitupa katika fadhila yake hapana
  5. Mwenyezi Mungu amekwisha sikia kauli ya walio sema: Mwenyezi Mungu ni masikini, na sisi ni
  6. Lakini akisha waokoa, mara wanafanya jeuri tena katika nchi bila ya haki. Enyi watu! Jeuri
  7. Na kilipo wajia Kitabu kitokacho kwa Mwenyezi Mungu kinacho thibitisha waliyo nayo - na wao
  8. Mataifa mangapi tumeyaangamiza kabla yao, na wakapiga kelele, lakini wakati wa kuokoka ulikwisha pita.
  9. Na akawa mwema kwa wazazi wake, wala hakuwa jabari mua'si.
  10. Na miji iliyo pinduliwa, ni Yeye aliye ipindua.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ahqaf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ahqaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahqaf Complete with high quality
Surah Ahqaf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ahqaf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ahqaf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ahqaf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ahqaf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ahqaf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ahqaf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ahqaf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ahqaf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ahqaf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ahqaf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ahqaf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ahqaf Al Hosary
Al Hosary
Surah Ahqaf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ahqaf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, July 14, 2025

Please remember us in your sincere prayers