Surah Naml aya 71 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هَٰذَا الْوَعْدُ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ﴾
[ النمل: 71]
Na wanasema: Ahadi hii itatokea lini, ikiwa mnasema kweli?
Surah An-Naml in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they say, "When is [the fulfillment of] this promise, if you should be truthful?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wanasema: Ahadi hii itatokea lini, ikiwa mnasema kweli?
Na makafiri wanafanya ukomo wa juhudi yao kukanusha, na wanaihimiza adhabu kwa kusema: Lini, basi, itakuwa hiyo adhabu ambayo mnatutishia kuwa itakuja, ikiwa nyinyi mnasema kweli kuwa adhabu itawashukia wanao kanusha?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na pale Shet'ani alipo wapambia vitendo vyao, na akawaambia: Hapana watu wa kukushindeni hii leo,
- Na hakika Ilyas bila ya shaka alikuwa miongoni mwa Mitume.
- Na Manaat, mwingine wa tatu?
- Basi huyo atahisabiwa hisabu nyepesi,
- Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani.
- Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao
- Na hakika Lut'i bila ya shaka ni miongoni mwa Mitume.
- Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio
- Na wabashirie walio amini na wakatenda mema kwamba watapata mabustani yapitayo mito kati yake; kila
- Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naml with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naml mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naml Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب