Surah Shuara aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿تِلْكَ آيَاتُ الْكِتَابِ الْمُبِينِ﴾
[ الشعراء: 2]
Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
These are the verses of the clear Book.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
Maneno haya niliyo kufunulia ni Aya za Kitabu chenye kuweka wazi hukumu zote ziliomo ndani yake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hujui kwamba Mwenyezi Mungu ana ufalme wa mbingu na ardhi? Nanyi hamna mlinzi wala msaidizi
- Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
- Wala wasidhanie wale walio kufuru kwamba wao wametangulia mbele. La, wao hawatashinda.
- Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
- Je! Yule mwenye kustahiki hukumu ya adhabu, je, wewe unaweza kumwokoa aliyomo katika Moto?
- Hao malipo yao ni msamaha kwa Mola wao Mlezi, na Bustani zipitazo mito kati yake.
- Na wengine wafungwao kwa minyororo.
- Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.
- Na lau kuwa si neema ya Mola wangu Mlezi bila ya shaka ningeli kuwa miongoni
- Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers