Surah Munafiqun aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Munafiqun aya 1 in arabic text(The Hypocrites).
  
   

﴿إِذَا جَاءَكَ الْمُنَافِقُونَ قَالُوا نَشْهَدُ إِنَّكَ لَرَسُولُ اللَّهِ ۗ وَاللَّهُ يَعْلَمُ إِنَّكَ لَرَسُولُهُ وَاللَّهُ يَشْهَدُ إِنَّ الْمُنَافِقِينَ لَكَاذِبُونَ
[ المنافقون: 1]

Wanapo kujia wanaafiki husema: Tunashuhudia ya kuwa wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anajua kuwa wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu anashuhudia ya kuwa hakika wanaafiki ni waongo.

Surah Al-Munafiqun in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


When the hypocrites come to you, [O Muhammad], they say, "We testify that you are the Messenger of Allah." And Allah knows that you are His Messenger, and Allah testifies that the hypocrites are liars.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wanapo kujia wanaafiki husema: Tunashuhudia ya kuwa wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anajua kuwa wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu anashuhudia ya kuwa hakika wanaafiki ni waongo.


Ewe Muhammad! Wanapo kujia wanaafiki, wanasema kwa ndimi zao: Tunashuhudia kuwa hakika wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anajua kwamba wewe ni Mtume wake; na Mwenyezi Mungu anashuhudia kwamba wanaafiki hapana shaka ni waongo katika kujidai kwao wanaamini, kwani hawasadiki katika nyoyo zao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Munafiqun


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni?
  2. Na walio kufuru vitendo vyao ni kama sarabi (mazigazi) uwandani. Mwenye kiu huyadhania ni maji.
  3. Na kila umma una muda wake. Utakapo fika muda wao basi hawatakawia hata saa moja,
  4. Akasema: Ee Mola wangu Mlezi! Hakika mimi nimewaita watu wangu usiku na mchana,
  5. Huo ndio mwisho wao wa ujuzi. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi mwenye
  6. Bali yamewadhihirikia waliyo kuwa wakiyaficha zamani. Na kama wangeli rudishwa bila ya shaka wange yarejea
  7. Na wale watakao kanusha Ishara zetu na wakazifanyia kiburi, hao ni watu wa Motoni; humo
  8. (Aambiwe): Kwa hakika ulikuwa umeghafilika na haya; basi leo tumekuondolea pazia lako, na kwa hivyo
  9. Na jengo lao hilo walilo lijenga litakuwa sababu ya kutia wasiwasi nyoyoni mwao mpaka nyoyo
  10. Hao ndio ambao imehakikikishwa hukumu juu yao kama mataifa yaliyo kwisha pita kabla yao miongoni

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Munafiqun with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Munafiqun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Munafiqun Complete with high quality
Surah Munafiqun Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Munafiqun Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Munafiqun Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Munafiqun Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Munafiqun Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Munafiqun Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Munafiqun Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Munafiqun Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Munafiqun Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Munafiqun Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Munafiqun Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Munafiqun Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Munafiqun Al Hosary
Al Hosary
Surah Munafiqun Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Munafiqun Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, August 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers