Surah Munafiqun aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Munafiqun aya 2 in arabic text(The Hypocrites).
  
   

﴿اتَّخَذُوا أَيْمَانَهُمْ جُنَّةً فَصَدُّوا عَن سَبِيلِ اللَّهِ ۚ إِنَّهُمْ سَاءَ مَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
[ المنافقون: 2]

Wamevifanya viapo vyao ni kinga, na wao wakajizuia kuifuata Njia ya Mwenyezi Mungu. Hakika ni mabaya kabisa waliyo kuwa wakiyafanya.

Surah Al-Munafiqun in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They have taken their oaths as a cover, so they averted [people] from the way of Allah. Indeed, it was evil that they were doing.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wamevifanya viapo vyao ni kinga, na wao wakajizuia kuifuata Njia ya Mwenyezi Mungu. Hakika ni mabaya kabisa waliyo kuwa wakiyafanya.


Wamezifanya yamini zao za uwongo ni kinga, au ngao za kujikingia ili wasichukuliwe kuwa ni makafiri. Basi wakajizuia wenyewe wasiishike Njia ya Mwenyezi Mungu Iliyo Nyooka. Hakika ni mabaya mno hayo wanayo yatenda ya unaafiki na kujitia imani ya uwongo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 2 from Munafiqun


Ayats from Quran in Swahili

  1. Je! Haijawabainikia kwamba kaumu ngapi tuliziangamiza kabla yao, nao wanapita katika maskani zao hizo? Hakika
  2. Sema: Lau kuwa wangeli kuwa pamoja naye miungu mingine kama wasemavyo, basi wangeli tafuta njia
  3. Je! Hawawaoni ndege walivyo wat'iifu katika anga la mbingu? Hapana mwenye kuwashika isipo kuwa Mwenyezi
  4. Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha.
  5. Kwa hakika wale wasio iamini Akhera tumewapambia vitendo vyao, kwa hivyo wanatangatanga ovyo.
  6. Na katika Ishara zake ni kuwa mbingu na ardhi zimesimama kwa amri yake. Kisha atakapo
  7. Lakini walio bobea katika ilimu miongoni mwao, na Waumini, wanayaamini uliyo teremshiwa wewe, na yaliyo
  8. Hakika vilima vya Safaa na Marwa ni katika alama za Mwenyezi Mungu. Basi anaye hiji
  9. Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao. Wala hawamwombei yeyote ila yule anaye mridhia
  10. Na Musa akawateuwa watu sabiini katika kaumu yake kwa miadi yetu. Na ulipo fika mtetemeko

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Munafiqun with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Munafiqun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Munafiqun Complete with high quality
Surah Munafiqun Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Munafiqun Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Munafiqun Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Munafiqun Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Munafiqun Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Munafiqun Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Munafiqun Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Munafiqun Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Munafiqun Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Munafiqun Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Munafiqun Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Munafiqun Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Munafiqun Al Hosary
Al Hosary
Surah Munafiqun Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Munafiqun Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, April 28, 2025

Please remember us in your sincere prayers