Surah Hud aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِلَّا الَّذِينَ صَبَرُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ أُولَٰئِكَ لَهُم مَّغْفِرَةٌ وَأَجْرٌ كَبِيرٌ﴾
[ هود: 11]
Ila wale walio subiri wakatenda mema. Hao watapata msamaha na ujira mkubwa.
Surah Hud in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Except for those who are patient and do righteous deeds; those will have forgiveness and great reward.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ila wale walio subiri wakatenda mema. Hao watapata msamaha na ujira mkubwa.
Na aibu hii hawaachi kuwa nayo ila wale wanao subiri wakati wa dhiki, na wakatenda mema wakati wa faraji na shida. Hawa watasamehewa dhambi zao, na watapata ujira mkubwa kwa vitendo vyao vyema.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wakasema: Ee baba yetu! Tuombee msamaha kwa dhambi zetu. Hapana shaka sisi tulikuwa na makosa.
- Waliyauliza hayo watu wa kabla yenu, kisha wakawa wenye kuyakataa.
- Sema: Sioni katika yale niliyo funuliwa mimi kitu kilicho harimishwa kwa mlaji kukila isipo kuwa
- Na kwa walio mkufuru Mola wao Mlezi ipo adhabu ya Jahannamu. Na ni marejeo maovu
- Au ni kama mvua kubwa itokayo mbinguni, ina giza na radi na umeme; wakawa wakitia
- Na enyi wakosefu! Jitengeni leo!
- Ole wako, ole wako!
- Basi wapuuze, nawe ngonja; hakika wao wanangoja.
- Basi naapa kwa maanguko ya nyota,
- Na milima ikaondolewa,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hud with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hud mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hud Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



