Surah Hud aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hud aya 11 in arabic text(Hud).
  
   
ayat 11 from Surah Hud

﴿إِلَّا الَّذِينَ صَبَرُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ أُولَٰئِكَ لَهُم مَّغْفِرَةٌ وَأَجْرٌ كَبِيرٌ﴾
[ هود: 11]

Ila wale walio subiri wakatenda mema. Hao watapata msamaha na ujira mkubwa.

Surah Hud in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Except for those who are patient and do righteous deeds; those will have forgiveness and great reward.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ila wale walio subiri wakatenda mema. Hao watapata msamaha na ujira mkubwa.


Na aibu hii hawaachi kuwa nayo ila wale wanao subiri wakati wa dhiki, na wakatenda mema wakati wa faraji na shida. Hawa watasamehewa dhambi zao, na watapata ujira mkubwa kwa vitendo vyao vyema.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 11 from Hud


Ayats from Quran in Swahili

  1. Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.
  2. Na tuliwafanya ni waongozi waitao kwenye Moto. Na Siku ya Kiyama hawatanusuriwa.
  3. Je! Hakumbuki mwanaadamu ya kwamba tulimuumba kabla, na hali hakuwa chochote?
  4. Na tulimpa Luqman hikima, tukamwambia: Mshukuru Mwenyezi Mungu. Na mwenye kushukuru basi hakika anashukuru kwa
  5. Naye ndiye Mwenye nguvu juu ya waja wake, na ndiye Mwenye hikima na Mwenye khabari
  6. Bustani za milele zipitazo mito kati yake, wadumu humo. Na hayo ni malipo ya mwenye
  7. Huwaoni wale wanao dai kwamba wameamini yale yaliyo teremshwa kwako na yaliyo teremshwa kabla yako?
  8. Wakasema: Kumbe wewe ndiye Yusuf? Akasema: Mimi ndiye Yusuf, na huyu ni ndugu yangu. Mwenyezi
  9. Au watu wa mijini wameaminisha ya kuwa adhabu yetu haitawafika mchana, nao wanacheza?
  10. Na hao walio pewa Kitabu, hata ukiwaletea hoja za kila namna, hawatafuata Kibla chako; wala

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hud with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hud mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hud Complete with high quality
Surah Hud Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hud Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hud Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hud Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hud Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hud Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hud Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hud Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hud Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hud Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hud Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hud Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hud Al Hosary
Al Hosary
Surah Hud Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hud Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, March 31, 2025

Please remember us in your sincere prayers