Surah Taghabun aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Taghabun aya 1 in arabic text(The Cheating).
  
   

﴿يُسَبِّحُ لِلَّهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۖ لَهُ الْمُلْكُ وَلَهُ الْحَمْدُ ۖ وَهُوَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ
[ التغابن: 1]

Kinamtakasa Mwenyezi Mungu kila kilichomo katika mbingu na katika ardhi. Ufalme ni wake, na sifa njema ni zake. Na Yeye ni Mwenye uweza juu ya kila kitu.

Surah At-Taghabun in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Whatever is in the heavens and whatever is on the earth is exalting Allah. To Him belongs dominion, and to Him belongs [all] praise, and He is over all things competent.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kinamtakasa Mwenyezi Mungu kila kilichomo katika mbingu na katika ardhi. Ufalme ni wake, na sifa njema ni zake. Na Yeye ni Mwenye uweza juu ya kila kitu.


Vitu vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi vinamtakasa Mwenyezi Mungu na kila kisicho kuwa laiki na utukufu wake. Yeye ndiye peke yake Mwenye ufalme ulio timia, na Mwenye sifa njema, na ndiye Mwenye uweza ulio timia juu ya kila kitu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Taghabun


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hawazibishi Ishara za Mwenyezi Mungu ila walio kufuru; basi kusikughuri wewe kutanga tanga kwao katika
  2. Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!
  3. Na wale wanao vunja ahadi ya Mwenyezi Mungu baada ya kuzifunga, na wanakata aliyo amrisha
  4. Na pamoja nao wake zao wenye kutuliza macho, hirimu zao.
  5. Na vipi nivikhofu hivyo mnavyo vishirikisha, hali nyinyi hamkhofu kuwa nyinyi mmemshirikisha Mwenyezi Mungu na
  6. Hakika Mlinzi wangu ni Mwenyezi Mungu aliye teremsha Kitabu. Naye ndiye awalindae walio wema.
  7. Wala hukuwa kando ya mlima tulipo nadi. Lakini ni rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi
  8. Kwa hakika Mwenyezi Mungu anajua kila kitu wanacho kiomba badala yake Yeye. Na Yeye ndiye
  9. Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao
  10. Mola wetu Mlezi! Hakika mimi nimewaweka baadhi ya dhuriya zangu katika bonde lisilo kuwa na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Taghabun with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Taghabun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Taghabun Complete with high quality
Surah Taghabun Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Taghabun Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Taghabun Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Taghabun Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Taghabun Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Taghabun Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Taghabun Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Taghabun Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Taghabun Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Taghabun Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Taghabun Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Taghabun Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Taghabun Al Hosary
Al Hosary
Surah Taghabun Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Taghabun Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, June 3, 2025

Please remember us in your sincere prayers