Surah Ibrahim aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ibrahim aya 11 in arabic text(Abraham).
  
   

﴿قَالَتْ لَهُمْ رُسُلُهُمْ إِن نَّحْنُ إِلَّا بَشَرٌ مِّثْلُكُمْ وَلَٰكِنَّ اللَّهَ يَمُنُّ عَلَىٰ مَن يَشَاءُ مِنْ عِبَادِهِ ۖ وَمَا كَانَ لَنَا أَن نَّأْتِيَكُم بِسُلْطَانٍ إِلَّا بِإِذْنِ اللَّهِ ۚ وَعَلَى اللَّهِ فَلْيَتَوَكَّلِ الْمُؤْمِنُونَ
[ إبراهيم: 11]

Mitume wao wakawaambia: Sisi kweli si chochote ila ni wanaadamu kama nyinyi. Lakini Mwenyezi Mungu humfanyia hisani amtakaye katika waja wake. Wala sisi hatuwezi kuleta uthibitisho ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na juu ya Mwenyezi Mungu ndio wategemee Waumini.

Surah Ibrahim in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Their messengers said to them, "We are only men like you, but Allah confers favor upon whom He wills of His servants. It has never been for us to bring you evidence except by permission of Allah. And upon Allah let the believers rely.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Mitume wao wakawaambia: Sisi kweli si chochote ila ni wanaadamu kama nyinyi. Lakini Mwenyezi Mungu humfanyia hisani amtakaye katika waja wake. Wala sisi hatuwezi kuleta uthibitisho ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na juu ya Mwenyezi Mungu ndio wategemee Waumini.


Mitume wao wakawaambia: Sisi si chochote ila ni watu kama nyinyi, kama mlivyo sema. Walakini Mwenyezi Mungu huwateua awatakaye miongoni mwa waja wake akawapa Unabii na Utume. Wala hatuna sisi uwezo wa kukuleteeni hoja mnayo taka ila Mwenyezi Mungu apendavyo. Na ni juu ya Mwenyezi Mungu tu peke yake ndio wategemee Waumini, na wamtegemee kwa kustahamilia inda zenu na upinzani wenu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 11 from Ibrahim


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwa hakika Mwenyezi Mungu amewapa radhi Waumini walipo fungamana nawe chini ya mti, na alijua
  2. Na Sisi hatuiakhirishi ila kwa muda unao hisabiwa.
  3. Basi tuliwapatiliza, tuka- wazamisha baharini kwa sababu walizikanusha Ishara zetu, na wakaghafilika nazo.
  4. Au wanasema: Amekizua? Bali hichi ni Kweli iliyo toka kwa Mola wako Mlezi ili uwaonye
  5. Isipo kuwa wale walio kuwa wanyonge miongoni mwa wanaume na wanawake na watoto wasio na
  6. Na Yeye ndiye aliye kuumbieni kusikia na kuona na nyoyo za kufahamu. Ni kuchache mno
  7. Lau kuwa hawa ni miungu, wasingeli ingia. Na wote watadumu humo.
  8. Na ikiwa kanzu yake imechanwa nyuma, basi mwanamke amesema uwongo, naye Yusuf ni katika wakweli.
  9. Sema: Mimi naogopa adhabu ya Siku kubwa hiyo ikiwa nitamuasi Mola wangu Mlezi.
  10. Au nani yule anaye kuongoeni katika giza la bara na bahari, na akazipeleka pepo kuleta

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ibrahim with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ibrahim mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ibrahim Complete with high quality
Surah Ibrahim Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ibrahim Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ibrahim Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ibrahim Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ibrahim Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ibrahim Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ibrahim Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Ibrahim Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ibrahim Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ibrahim Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ibrahim Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ibrahim Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ibrahim Al Hosary
Al Hosary
Surah Ibrahim Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ibrahim Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 16, 2024

Please remember us in your sincere prayers