Surah Anam aya 116 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anam aya 116 in arabic text(The Cattle).
  
   
ayat 116 from Surah Al-Anam

﴿وَإِن تُطِعْ أَكْثَرَ مَن فِي الْأَرْضِ يُضِلُّوكَ عَن سَبِيلِ اللَّهِ ۚ إِن يَتَّبِعُونَ إِلَّا الظَّنَّ وَإِنْ هُمْ إِلَّا يَخْرُصُونَ
[ الأنعام: 116]

Na ukiwat'ii wengi katika hawa waliomo duniani watakupoteza na Njia ya Mwenyezi Mungu. Hawa hawafuati ila dhana tu, na hawakuwa ila ni wenye kusema uwongo tu.

Surah Al-Anam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And if you obey most of those upon the earth, they will mislead you from the way of Allah. They follow not except assumption, and they are not but falsifying.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na ukiwatii wengi katika hawa waliomo duniani watakupoteza na Njia ya Mwenyezi Mungu. Hawa hawafuati ila dhana tu, na hawakuwa ila ni wenye kusema uwongo tu.


Na ikiwa Subhanahu ndiye mwenye hukumu ya uadilifu inayo rejewa kwenye Vitabu vyake katika kutafuta Haki na kuijua, basi ewe Nabii, usiwe wewe na walio pamoja nawe, mkamfuata yeyote anaye achana na kauli ya Haki, hata ikiwa hao ni wengi wa idadi. Kwani ukiwafuata aghlabu ya watu ambao hawategemei Sharia iliyo teremshwa na Mwenyezi Mungu, watakuweka mbali na Njia ya Haki iliyo nyooka. Na hiyo ndiyo Njia ya Mwenyezi Mungu Mtukufu. Na watu hao hawendi ila nyuma ya dhana na mawazo tu, na wala hawasemi ila kwa kukisia tu; hawategemei hoja na ushahidi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 116 from Anam


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Anam with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Anam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anam Complete with high quality
    Surah Anam Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Anam Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Anam Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Anam Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Anam Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Anam Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Anam Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Anam Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Anam Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Anam Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Anam Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Anam Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Anam Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Anam Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Anam Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Wednesday, June 25, 2025

    Please remember us in your sincere prayers