Surah Araf aya 127 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Araf aya 127 in arabic text(The Heights).
  
   
ayat 127 from Surah Al-Araf

﴿وَقَالَ الْمَلَأُ مِن قَوْمِ فِرْعَوْنَ أَتَذَرُ مُوسَىٰ وَقَوْمَهُ لِيُفْسِدُوا فِي الْأَرْضِ وَيَذَرَكَ وَآلِهَتَكَ ۚ قَالَ سَنُقَتِّلُ أَبْنَاءَهُمْ وَنَسْتَحْيِي نِسَاءَهُمْ وَإِنَّا فَوْقَهُمْ قَاهِرُونَ
[ الأعراف: 127]

Wakasema waheshimiwa wa kaumu ya Firauni: Unamuacha Musa na watu wake walete uharibifu katika nchi na wakuache wewe na miungu yako? Akasema: Tutawauwa wavulana wao, na tutawaacha hai wanawake wao. Na bila ya shaka sisi ni wenye nguvu juu yao.

Surah Al-Araf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And the eminent among the people of Pharaoh said," Will you leave Moses and his people to cause corruption in the land and abandon you and your gods?" [Pharaoh] said, "We will kill their sons and keep their women alive; and indeed, we are subjugators over them."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wakasema waheshimiwa wa kaumu ya Firauni: Unamuacha Musa na watu wake walete uharibifu katika nchi na wakuache wewe na miungu yako? Akasema: Tutawauwa wavulana wao, na tutawaacha hai wanawake wao. Na bila ya shaka sisi ni wenye nguvu juu yao.


Baada ya Firauni na watu wake kuona waliyo yaona, katika vile kudhihiri mambo ya Musa na nguvu za ushindi wake, na wachawi wakamuamini, walisema wakuu wa kaumu yake: Unamuacha Musa na watu wake wawe huru katika amani, ili mwisho wao wawafisidi kaumu yako dhidi yako katika nchi ya Misri kwa kuwatia katika dini yao, na wakuache wewe na miungu yako bila ya wao kujali? Hapo watu wa Misri watakuona wewe na hiyo miungu kuwa mmeshindwa. Firauni akasema kuwajibu: Tutawawauwa watoto wao wa kiume wa watu hawa, kila anaye zaliwa; na tutawabakisha wa kike wawe hai, ili wasiwe na nguvu, kama tulivyo fanya zamani. Na sisi tuko juu yao kwa kuwashinda na kwa utawala, na kuwafanyia kahari.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 127 from Araf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi uelekeze uso wako kwenye Dini Iliyo Nyooka kabla ya kufika Siku hiyo isiyo zuilika,
  2. Hakika wale walio amini na wakatenda mema na wakashika Sala na wakatoa Zaka, wao watapata
  3. Na kila mmoja tumemwekea warithi katika waliyo yaacha wazazi wawili na jamaa. Na mlio fungamana
  4. Kwani hawakuona ya kwamba Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi ni Mwenye kuweza kuumba
  5. Na miji hii ipo kwenye njia inayo pitiwa.
  6. Jueni kuwa hakika vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi ni vya Mwenyezi Mungu. Jueni
  7. Hakika walio amini na wakatenda mema, hao ndio bora wa viumbe.
  8. Hakika wale wanao upotoa ukweli uliomo katika Ishara zetu hawatufichikii Sisi. Je! Atakaye tupwa Motoni
  9. Enyi mlio amini! Kumbukeni neema za Mwenyezi Mungu zilizo juu yenu, walipo taka watu kukunyooshieni
  10. (Musa) akasema: Mola Mlezi wangu! Nisamehe mimi na ndugu yangu, na ututie katika rehema yako.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Surah Araf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Araf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Araf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Araf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Araf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Araf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Araf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Araf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Araf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Araf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Araf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Araf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Araf Al Hosary
Al Hosary
Surah Araf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Araf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, June 25, 2025

Please remember us in your sincere prayers