Surah Infitar aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Infitar aya 19 in arabic text(The Cleaving Asunder).
  
   

﴿يَوْمَ لَا تَمْلِكُ نَفْسٌ لِّنَفْسٍ شَيْئًا ۖ وَالْأَمْرُ يَوْمَئِذٍ لِّلَّهِ
[ الانفطار: 19]

Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo ni ya Mwenyezi Mungu tu.

Surah Al-Infitar in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


It is the Day when a soul will not possess for another soul [power to do] a thing; and the command, that Day, is [entirely] with Allah.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo ni ya Mwenyezi Mungu tu.


Siku ambayo nafsi haitakuwa na mamlaka yoyote juu ya nafsi ya kuifaa au kuidhuru; na amri yote siku hiyo itakuwa ni ya Mwenyezi Mungu peke yake!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 19 from Infitar


Ayats from Quran in Swahili

  1. Akaambiwa: Ingia Peponi! Akasema: Laiti kuwa watu wangu wangeli jua
  2. Na ni katika rehema zake amekufanyieni usiku na mchana mpate kupumzika humo na mtafute fadhila
  3. Yasikufurahishe mali yao wala wana wao. Hakika Mwenyezi Mungu anataka kuwaadhibu kwayo hapa duniani, na
  4. Wala hawatoi cha kutoa kidogo wala kikubwa, wala hawalivuki bonde, ila huandikiwa, ili Mwenyezi Mungu
  5. Yawe haya ni kifumbua macho na ukumbusho kwa kila mja mwenye kuelekea.
  6. Na siku ambayo mwenye kudhulumu atajiuma mikono yake, na huku anasema: Laiti ningeli shika njia
  7. Akasema: Yeye anasema: Kuwa huyo ni ng'ombe asiye tiwa kazini kulima ardhi wala kumwagia maji
  8. Akasema (Iblisi): Naapa kwa utukufu wako, bila ya shaka nitawapoteza wote,
  9. Na kwa hakika wao walidhani, kama mlivyo dhani nyinyi, ya kuwa Mwenyezi Mungu hatamleta Mtume.
  10. Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Infitar with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Infitar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Infitar Complete with high quality
Surah Infitar Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Infitar Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Infitar Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Infitar Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Infitar Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Infitar Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Infitar Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Infitar Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Infitar Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Infitar Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Infitar Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Infitar Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Infitar Al Hosary
Al Hosary
Surah Infitar Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Infitar Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, December 29, 2025

Please remember us in your sincere prayers