Surah Luqman aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Luqman aya 14 in arabic text(Luqman).
  
   
ayat 14 from Surah Luqman

﴿وَوَصَّيْنَا الْإِنسَانَ بِوَالِدَيْهِ حَمَلَتْهُ أُمُّهُ وَهْنًا عَلَىٰ وَهْنٍ وَفِصَالُهُ فِي عَامَيْنِ أَنِ اشْكُرْ لِي وَلِوَالِدَيْكَ إِلَيَّ الْمَصِيرُ﴾
[ لقمان: 14]

Na tumemuusia mtu kwa wazazi wake wawili. Mama yake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu ya udhaifu, na kumwachisha ziwa baada ya miaka miwili. (Tumemuusia): Nishukuru Mimi na wazazi wako. Ni kwangu Mimi ndiyo marudio.

Surah Luqman in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We have enjoined upon man [care] for his parents. His mother carried him, [increasing her] in weakness upon weakness, and his weaning is in two years. Be grateful to Me and to your parents; to Me is the [final] destination.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na tumemuusia mtu kwa wazazi wake wawili. Mama yake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu ya udhaifu, na kumwachisha ziwa baada ya miaka miwili. (Tumemuusia): Nishukuru Mimi na wazazi wako. Ni kwangu Mimi ndiyo marudio.


Na tumemuamrisha mtu awafanyie wema wazazi wake, na mama yake ampe fungu kubwa zaidi. Kwani yeye alimbeba katika mimba kwa udhaifu unao zidi kila siku kidogo kidogo. Na tena kamnyonyesha muda wa miaka miwili ndipo alipo muachisha ziwa. Na tumemuusia: Mshukuru Mwenyezi Mungu na wazazi wako. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo kwa ajili ya hisabu na malipo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 14 from Luqman


Ayats from Quran in Swahili

  1. Tumeweka makongwa shingoni mwao, yakawafika videvuni. Kwa hivyo vichwa vyao viko juu tu.
  2. Piganeni nao, Mwenyezi Mungu awaadhibu kwa mikono yenu, na awahizi na akunusuruni muwashinde, na avipoze
  3. Je! Mnaiona mbegu ya uzazi mnayo idondokeza?
  4. Je! Imekuwa ajabu kwa watu kwamba tumemfunulia mmoja wao kuwa: Waonye watu, na wabashirie wale
  5. Je, mnastaajabu kukujieni mawaidha yanayotoka kwa Mola Mlezi wenu kwa njia ya mtu aliye ni
  6. Tulifanya agano na Wana wa Israili, na tukawatumia Mitume. Kila alipo wajia Mtume kwa wasio
  7. Hawajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anayajua wanayo yaficha na wanayo yatangaza?
  8. Walio takabari watawaambia wanyonge: Kwani sisi ndio tulio kuzuieni na uwongofu baada ya kukujieni? Bali
  9. Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu hii. Hakika tutaamini.
  10. Hapana ila uhai wetu wa duniani tu, tunakufa na kuishi basi. Wala sisi hatutafufuliwa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Luqman with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Luqman mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Luqman Complete with high quality
Surah Luqman Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Luqman Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Luqman Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Luqman Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Luqman Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Luqman Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Luqman Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Luqman Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Luqman Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Luqman Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Luqman Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Luqman Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Luqman Al Hosary
Al Hosary
Surah Luqman Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Luqman Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, April 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers