Surah shura aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah shura aya 14 in arabic text(The Consultation).
  
   

﴿وَمَا تَفَرَّقُوا إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۚ وَلَوْلَا كَلِمَةٌ سَبَقَتْ مِن رَّبِّكَ إِلَىٰ أَجَلٍ مُّسَمًّى لَّقُضِيَ بَيْنَهُمْ ۚ وَإِنَّ الَّذِينَ أُورِثُوا الْكِتَابَ مِن بَعْدِهِمْ لَفِي شَكٍّ مِّنْهُ مُرِيبٍ
[ الشورى: 14]

Na hawakufarikiana ila baada ya kuwajia ilimu kwa sababu ya husuda iliyo kuwa baina yao. Na lau kuwa haikwisha tangulia kauli kutoka kwa Mola wako Mlezi ya kuakhirisha mpaka muda maalumu, basi bila ya shaka palingeli hukumiwa baina yao. Na hakika walio rithishwa Kitabu baada yao wanakitilia shaka inayo wahangaisha.

Surah Ash_shuraa in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And they did not become divided until after knowledge had come to them - out of jealous animosity between themselves. And if not for a word that preceded from your Lord [postponing the penalty] until a specified time, it would have been concluded between them. And indeed, those who were granted inheritance of the Scripture after them are, concerning it, in disquieting doubt.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na hawakufarikiana ila baada ya kuwajia ilimu kwa sababu ya husuda iliyo kuwa baina yao. Na lau kuwa haikwisha tangulia kauli kutoka kwa Mola wako Mlezi ya kuakhirisha mpaka muda maalumu, basi bila ya shaka palingeli hukumiwa baina yao. Na hakika walio rithishwa Kitabu baada yao wanakitilia shaka inayo wahangaisha.


Wala hawakukhitalifiana katika Dini wafuasi wa Mitume walio tangulia ila baada ya kuwafikia ujuzi wa kweli, na hayo ni kwa kutokana na uadui na uhasidi ulio baina yao. Na lau kuwa si ahadi iliyo kwisha tangulia kutoka kwa Mwenyezi Mungu ya kuakhirisha adhabu mpaka Siku ya Kiyama, basi bila ya shaka walingeli teketezwa. Na kwa hakika wale walio rithishwa Kitabu kutokana na walio kabla yao, na wakawahi zama zako, wana shaka na Kitabu chao, tena shaka ya kuwatatanisha. Ndio maana hawaitikii wito wako. (Lau kuwa Mayahudi wameamini kweli yaliyomo katika Taurati, wangeli muamini Nabii Isa na Nabii Muhammad. Na lau kuwa Wakristo wameamini kweli yaliomo katika Taurati na Injili basi hapana la kuwazuia wasimuamini Nabii Muhammad, na kumuamini Mwenyezi Mungu Mmoja, wala hana Utatu. Lakini hawana imani ya yakini, na kwa hivyo wameunda mawazo yaliyo nje ya Taurati na nje ya Injili.)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 14 from shura


Ayats from Quran in Swahili


Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah shura with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah shura mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter shura Complete with high quality
Surah shura Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah shura Bandar Balila
Bandar Balila
Surah shura Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah shura Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah shura Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah shura Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah shura Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah shura Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah shura Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah shura Fares Abbad
Fares Abbad
Surah shura Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah shura Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah shura Al Hosary
Al Hosary
Surah shura Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah shura Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب