Surah Nisa aya 140 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nisa aya 140 in arabic text(The Women).
  
   
ayat 140 from Surah An-Nisa

﴿وَقَدْ نَزَّلَ عَلَيْكُمْ فِي الْكِتَابِ أَنْ إِذَا سَمِعْتُمْ آيَاتِ اللَّهِ يُكْفَرُ بِهَا وَيُسْتَهْزَأُ بِهَا فَلَا تَقْعُدُوا مَعَهُمْ حَتَّىٰ يَخُوضُوا فِي حَدِيثٍ غَيْرِهِ ۚ إِنَّكُمْ إِذًا مِّثْلُهُمْ ۗ إِنَّ اللَّهَ جَامِعُ الْمُنَافِقِينَ وَالْكَافِرِينَ فِي جَهَنَّمَ جَمِيعًا
[ النساء: 140]

Naye amekwisha kuteremshieni katika Kitabu hiki ya kwamba mnapo sikia Aya za Mwenyezi Mungu zinakanushwa na zinafanyiwa kejeli, basi msikae pamoja nao, mpaka waingie katika mazungumzo mengine. Hivyo mtakuwa nanyi mfano wao hao. Hakika Mwenyezi Mungu atawakusanya wanaafiki na makafiri wote pamoja katika Jahannamu,

Surah An-Nisa in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And it has already come down to you in the Book that when you hear the verses of Allah [recited], they are denied [by them] and ridiculed; so do not sit with them until they enter into another conversation. Indeed, you would then be like them. Indeed Allah will gather the hypocrites and disbelievers in Hell all together -


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Naye amekwisha kuteremshieni katika Kitabu hiki ya kwamba mnapo sikia Aya za Mwenyezi Mungu zinakanushwa na zinafanyiwa kejeli, basi msikae pamoja nao, mpaka waingie katika mazungumzo mengine. Hivyo mtakuwa nanyi mfano wao hao. Hakika Mwenyezi Mungu atawakusanya wanaafiki na makafiri wote pamoja katika Jahannamu.


Mwenyezi Mungu amekwisha kuteremshieni katika Qurani Tukufu kwamba kila mkisikia Aya za Kitabu nyinyi mnaamini, na makafiri wanapinga na wanakejeli. Na ikiwa hivyo ndiyo hali ya makafiri na wanaafiki, na mkasikia kejeli zao, basi msikae nao, mpaka waingie katika mazungumzo mengine waache dhihaki zao. Na nyinyi ikiwa hamtofanya hivyo, mkawa mnasikiliza kejeli zao, basi mtakuwa nanyi kama wao katika kuifanyia maskhara Qurani. Mwisho wa makafiri na wanaafiki ni muovu mno, kwani Mwenyezi Mungu atawakusanya wote hao katika Moto wa Siku ya Kiyama.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 140 from Nisa


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Nisa with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Nisa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nisa Complete with high quality
    Surah Nisa Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Nisa Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Nisa Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Nisa Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Nisa Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Nisa Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Nisa Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Nisa Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Nisa Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Nisa Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Nisa Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Nisa Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Nisa Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Nisa Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Nisa Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers