Surah Nisa aya 142 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nisa aya 142 in arabic text(The Women).
  
   
ayat 142 from Surah An-Nisa

﴿إِنَّ الْمُنَافِقِينَ يُخَادِعُونَ اللَّهَ وَهُوَ خَادِعُهُمْ وَإِذَا قَامُوا إِلَى الصَّلَاةِ قَامُوا كُسَالَىٰ يُرَاءُونَ النَّاسَ وَلَا يَذْكُرُونَ اللَّهَ إِلَّا قَلِيلًا﴾
[ النساء: 142]

Hakika wanaafiki wanamkhadaa Mwenyezi Mungu, na hali ni Yeye ndiye mwenye kuwakhadaa wao. Na wanapo inuka kusali huinuka kwa unyong'onyo, wanajionyesha kwa watu tu, wala hawamdhukuru Mwenyezi Mungu ila kidogo tu.

Surah An-Nisa in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Indeed, the hypocrites [think to] deceive Allah, but He is deceiving them. And when they stand for prayer, they stand lazily, showing [themselves to] the people and not remembering Allah except a little,


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hakika wanaafiki wanamkhadaa Mwenyezi Mungu, na hali ni Yeye ndiye mwenye kuwakhadaa wao. Na wanapo inuka kuswali huinuka kwa unyongonyo, wanajionyesha kwa watu tu, wala hawamdhukuru Mwenyezi Mungu ila kidogo tu.


Hakika wanaafiki, kwa ule unaafiki wao, wanadhani kuwa wanamkhadaa Mwenyezi Mungu Mtukufu na wanamficha hakika ya nafsi zao. Na Mwenyezi Mungu Subhanahu ni Yeye ndiye anaye wakhadaa wao. Basi Yeye huwapururia kuwapa muhula, na anawawacha mpaka wabobee katika maovu yao, kisha ndio awahisabu kwa waliyo yatenda. Na hawa wanaafiki wana dhaahiri ya kuonekana, na ya ndani ya nafsi zao. Yale ya kuonekana ni vile kuwa wakiinuka kwenda kuswali huinuka kwa uvivu, kwa unyongonyo. Na Swala yao ni riya tu, kuonyesha, si ya kweli. Na ya ndani ni kuwa hawakumbuki kumtaja Mwenyezi Mungu ila kwa nadra, kwa tukizi. Na lau kuwa wanamkumbuka vilivyo wangeli uacha unaafiki

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 142 from Nisa


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Nisa with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Nisa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nisa Complete with high quality
    Surah Nisa Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Nisa Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Nisa Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Nisa Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Nisa Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Nisa Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Nisa Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Nisa Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Nisa Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Nisa Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Nisa Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Nisa Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Nisa Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Nisa Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Nisa Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Monday, June 23, 2025

    Please remember us in your sincere prayers