Surah Muddathir aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ يَطْمَعُ أَنْ أَزِيدَ﴾
[ المدثر: 15]
Kisha anatumai nimzidishie!
Surah Al-Muddaththir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then he desires that I should add more.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kisha anatumai nimzidishie!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Mimi sina mamlaka ya kukudhuruni wala kukuongozeni.
- Na enyi watu wangu! Hakika mimi nakukhofieni Siku ya mayowe.
- Na matunda wayapendayo,
- Wala msifanye ulegevu kuwafukuzia kaumu ya maadui. Ikiwa mnaumia, basi nao pia wanaumia kama mnavyo
- Haikufunuliwa kwangu isipo kuwa ya kwamba hakika mimi ni mwonyaji dhaahiri.
- Ambao humkumbuka Mwenyezi Mungu wakiwa wima na wakikaa kitako na wakilala, na hufikiri kuumbwa mbingu
- Na kwa yakini tulimpa Musa ishara tisa zilizo wazi. Waulize Wana wa Israili alipo wafikia,
- Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
- Wanakuuliza hiyo Saa (ya mwisho) itakuwa lini? Sema: Kuijua kwake kuko kwa Mola Mlezi wangu.
- Na alisema: Hakika nyinyi mmeyashika masanamu badala ya Mwenyezi Mungu kwa mapenzi yaliyo baina yenu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muddathir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muddathir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muddathir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers