Surah Insan aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَجَزَاهُم بِمَا صَبَرُوا جَنَّةً وَحَرِيرًا﴾
[ الإنسان: 12]
Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And will reward them for what they patiently endured [with] a garden [in Paradise] and silk [garments].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.
Na akawajazi kwa ile subira yao Pepo imeenea furaha, na nguo zake ni hariri laini.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Mwenyezi Mungu tu namuabudu kwa kumsafishia Yeye tu Dini yangu.
- Nini faida ya kukumbuka kwao? Na alikwisha wafikia Mtume mwenye kubainisha.
- Ndio wewe unampuuza?
- Na sema: Mola wangu Mlezi! Niteremshe mteremsho wenye baraka, na Wewe ni Mbora wa wateremshaji.
- Na hakika amekhasiri aliye iviza.
- T'aa Siin Miim. (T'. S. M.)
- Kwani hawatembei katika ardhi wakaona jinsi ulivyo kuwa mwisho wa walio kuwa kabla yao? Hao
- Enyi mlio amini! Msiwafanye adui zangu na adui zenu kuwa marafiki mkiwapa mapenzi, na hali
- Je! Huoni jinsi Mola wako Mlezi anavyo kitandaza kivuli. Na angeli taka angeli kifanya kikatulia
- Naye ndiye anaye iteremsha mvua baada ya wao kwisha kata tamaa, na hueneza rehema yake.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers