Surah Insan aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَجَزَاهُم بِمَا صَبَرُوا جَنَّةً وَحَرِيرًا﴾
[ الإنسان: 12]
Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And will reward them for what they patiently endured [with] a garden [in Paradise] and silk [garments].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.
Na akawajazi kwa ile subira yao Pepo imeenea furaha, na nguo zake ni hariri laini.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hawatakumbuka isipo kuwa Mwenyezi Mungu atake. Uchamngu ni kwake Yeye, na msamaha ni wake
- Wala sikwambiini kuwa nina khazina za Mwenyezi Mungu; wala kuwa mimi najua mambo ya ghaibu;
- Mwenyezi Mungu anajua mimba abebayo kila mwanamke, na kinacho punguka na kuzidi matumboni. Na kila
- Waseme: Tulikuwa zamani pamoja na ahali zetu tukiogopa;
- Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
- Basi kwa haya waite! Nawe simama sawa sawa kama ulivyo amrishwa, wala usiyafuate matamanio yao.
- Na nyinyi wakati huo mnatazama!
- Hizi ni katika khabari za ghaibu tulizo kufunulia. Na hukuwa pamoja nao walipo azimia shauri
- Na wanapo fanya mambo machafu husema: Tumewakuta nayo baba zetu, na Mwenyezi Mungu ametuamrisha hayo.
- Lakini alipo wajia na Ishara zetu wakaingia kuzicheka.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers