Surah Anbiya aya 41 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anbiya aya 41 in arabic text(The Prophets).
  
   

﴿وَلَقَدِ اسْتُهْزِئَ بِرُسُلٍ مِّن قَبْلِكَ فَحَاقَ بِالَّذِينَ سَخِرُوا مِنْهُم مَّا كَانُوا بِهِ يَسْتَهْزِئُونَ﴾
[ الأنبياء: 41]

Na Mitume walio kabla yako walikwisha dhihakiwa. Kwa hivyo wale walio wafanyia maskhara yaliwafika yale waliyo kuwa wakiyafanyia dhihaka.

Surah Al-Anbiya in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And already were messengers ridiculed before you, but those who mocked them were enveloped by what they used to ridicule.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na Mitume walio kabla yako walikwisha dhihakiwa. Kwa hivyo wale walio wafanyia maskhara yaliwafika yale waliyo kuwa wakiyafanyia dhihaka.


Na Mitume wa kabla yako yaliwapata vile vile ya kufanyiwa kejeli na makafiri katika kaumu zao. Ikawateremkia hao walio wakataa Mitume na kuwafanyia maskhara adhabu hiyo hiyo ambayo wao waliifanyia maskhara na kejeli.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 41 from Anbiya


Ayats from Quran in Swahili

  1. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na
  2. Na kila umma tumewafanyia mahala pa kuchinjia mihanga ya ibada ili walitaje jina la Mwenyezi
  3. Na pale Ibrahim alipo mwambia baba yake, Azar: Unayafanya masanamu kuwa ni miungu? Hakika mimi
  4. Akasema: Mgeuzieni kiti chake cha enzi hiki, tuone ataongoka, au atakuwa miongoni mwa wasio ongoka.
  5. Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na
  6. Giza totoro litazifunika,
  7. Waambie Waumini wanaume wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao. Hili ni takaso bora kwao.
  8. Bila ya shaka kauli imekwisha thibiti juu ya wengi katika wao, kwa hivyo hawaamini.
  9. Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu.
  10. Wala mimi si wa kuwafukuza Waumini.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Surah Anbiya Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Anbiya Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Anbiya Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Anbiya Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Anbiya Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Anbiya Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Anbiya Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Anbiya Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Anbiya Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Anbiya Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Anbiya Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Anbiya Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Anbiya Al Hosary
Al Hosary
Surah Anbiya Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Anbiya Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 16, 2025

Please remember us in your sincere prayers