Surah Anbiya aya 41 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anbiya aya 41 in arabic text(The Prophets).
  
   

﴿وَلَقَدِ اسْتُهْزِئَ بِرُسُلٍ مِّن قَبْلِكَ فَحَاقَ بِالَّذِينَ سَخِرُوا مِنْهُم مَّا كَانُوا بِهِ يَسْتَهْزِئُونَ﴾
[ الأنبياء: 41]

Na Mitume walio kabla yako walikwisha dhihakiwa. Kwa hivyo wale walio wafanyia maskhara yaliwafika yale waliyo kuwa wakiyafanyia dhihaka.

Surah Al-Anbiya in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And already were messengers ridiculed before you, but those who mocked them were enveloped by what they used to ridicule.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na Mitume walio kabla yako walikwisha dhihakiwa. Kwa hivyo wale walio wafanyia maskhara yaliwafika yale waliyo kuwa wakiyafanyia dhihaka.


Na Mitume wa kabla yako yaliwapata vile vile ya kufanyiwa kejeli na makafiri katika kaumu zao. Ikawateremkia hao walio wakataa Mitume na kuwafanyia maskhara adhabu hiyo hiyo ambayo wao waliifanyia maskhara na kejeli.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 41 from Anbiya


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na ama A'di waliangamizwa kwa upepo mkali usio zuilika.
  2. Kwake Yeye tu ndio marejeo yenu nyote. Hii ni ahadi ya Mwenyezi Mungu iliyo ya
  3. Ambao wamekanusha Kitabu na yale tuliyo watuma Mitume wetu. Basi watakuja jua.
  4. Atakusameheni dhambi zenu, na atakutieni katika Mabustani yapitiwayo na mito kati yake, na maskani nzuri
  5. Na ikiwa haki ni yao, wanamjia kwa kut'ii.
  6. Enyi Watu! Amekwisha kujieni Mtume huyu na haki itokayo kwa Mola wenu Mlezi. Basi aminini,
  7. Na katika ardhi vimo vipande vilivyo karibiana, na zipo bustani za mizabibu, na mimea mingine,
  8. Na kila mtu tumemfungia a'mali yake shingoni mwake. Na Siku ya Kiyama tutamtolea kitabu atakacho
  9. Lakini Yeye Mwenyezi Mungu ndiye Mola wangu Mlezi. Wala simshirikishi na yeyote.
  10. Basi wawili hao wakatoka, hata walipo panda jahazi (yule mtu) akaitoboa. (Musa) akasema: Unaitoboa uwazamishe

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Surah Anbiya Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Anbiya Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Anbiya Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Anbiya Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Anbiya Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Anbiya Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Anbiya Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Anbiya Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Anbiya Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Anbiya Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Anbiya Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Anbiya Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Anbiya Al Hosary
Al Hosary
Surah Anbiya Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Anbiya Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, August 15, 2024

Please remember us in your sincere prayers