Surah Takwir aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَا أُقْسِمُ بِالْخُنَّسِ﴾
[ التكوير: 15]
Naapa kwa nyota zinapo rejea nyuma,
Surah At-Takwir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So I swear by the retreating stars -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Naapa kwa nyota zinapo rejea nyuma,
Naapa kiapo cha mkazo kwa nyota ambazo zinanywea zinapo chomoza, na hapo mwanga wake huwa khafifu,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tena je! Ikisha tokea mtaiamini? Je! Ndio sasa tena? Na nyinyi mlikuwa mkiihimiza.
- Au izidishe - na soma Qur'ani kwa utaratibu na utungo.
- Vijana hao walipo kimbilia kwenye pango walisema: Mola wetu Mlezi! Tupe rehema itokayo kwako, na
- Na ambaye ndiye ananilisha na kuninywesha.
- Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukamweka pamoja naye nduguye, Harun, kuwa waziri.
- Na najikinga kwako, Mola wangu Mlezi, wasinikaribie.
- Mwenyezi Mungu atasema: Hii ndiyo Siku ambayo wasemao kweli utawafaa ukweli wao. Wao watapata Bustani
- Na unapo soma Qur'ani tunaweka baina yako na wale wasio iamini Akhera pazia linalo wafunika.
- Basi ukawafikia uovu wa waliyo yatenda, na waliyo kuwa wakiyakejeli yakawazunguka.
- Jee huwaoni wale wanao dai kuwa ati wametakasika? Bali Mwenyezi Mungu humtakasa amtakaye. Na hawatadhulumiwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Takwir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Takwir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Takwir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



