Surah Takwir aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الْجَوَارِ الْكُنَّسِ﴾
[ التكوير: 16]
Zinazo kwenda, kisha zikajificha,
Surah At-Takwir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Those that run [their courses] and disappear -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Zinazo kwenda, kisha zikajificha,
Zenye kwenda na hujificha wakati wa kuchwa kwake, kama paa wanapo jificha kwenye mapango yao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mna nini? Mnahukumu vipi?
- Hali ya wasio iamini Akhera ni ovu; na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye sifa tukufu. Naye
- Wakasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hatuna ujuzi isipokuwa kwa uliyo tufunza Wewe. Hakika Wewe ndiye Mjuzi
- Na katika watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, wala uwongofu,
- Sema: Basi Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye hoja ya kukata. Na kama angeli penda angeli kuhidini
- Na ambao Sala zao wanazihifadhi -
- Lau kuwa tumeiteremsha hii Qur'ani juu ya mlima, basi bila ya shaka ungeli uona ukinyenyekea,
- Anaye t'iiwa, tena muaminifu.
- Sisi tukasema: Ewe moto! Kuwa baridi na salama kwa Ibrahim!
- Ni sawa sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Takwir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Takwir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Takwir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers