Surah Assaaffat aya 153 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَصْطَفَى الْبَنَاتِ عَلَى الْبَنِينَ﴾
[ الصافات: 153]
Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Has He chosen daughters over sons?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?.
Ati Yeye amejichagulia mwenyewe mabinti ambao kwa madai yenu ndio mnawachukia kuliko watoto wa kiume ambao mnawapenda, na hali Yeye ndiye Mwenye kuwaumba wote, watoto wa kike na wa kiume?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa nguvu za Firauni hakika sisi
- Ambaye amekufanyieni ardhi kuwa tandiko, na akakupitishieni humo njia, na akakuteremshieni kutoka mbinguni maji. Na
- Na niache Mimi na hao wanao kanusha, walio neemeka; na wape muhula kidogo!
- Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
- Na tumeiumbia Jahannamu majini wengi na watu. Wana nyoyo, lakini hawafahamu kwazo. Na wana macho,
- Shungi la uwongo, lenye makosa!
- Ingiza mkono wako kwenye mfuko wako, utatoka mweupe pasipo na ubaya. Na jiambatishe mkono wako
- Na hakika tulimpa Musa Kitabu ili wapate kuongoka.
- Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, na
- Alif Lam Mim.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers