Surah Qalam aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qalam aya 9 in arabic text(The Pen).
  
   

﴿وَدُّوا لَوْ تُدْهِنُ فَيُدْهِنُونَ﴾
[ القلم: 9]

Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.

Surah Al-Qalam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They wish that you would soften [in your position], so they would soften [toward you].


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.


Wanatamani lau ungeli kuwa laini kwao katika baadhi ya mambo, ili na wao wawe laini kwako, kwa tamaa upate kurudishiana nao. (Neno lililo tumiwa hapo -Tud- hinu fayud-hinuun-, maana yake khasa -Upake mafuta na wao wapake mafuta-. Kiswahili husema: Kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa. Yaani kumpa sifa za uwongo, kumfanyia unaafiki. Kwa Kiarabu ni -Mudaahana-. Kupakana mafuta)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 9 from Qalam


Ayats from Quran in Swahili

  1. Yakateketezwa matunda yake, akabaki akipindua pindua viganja vyake, kwa vile alivyo yagharimia, na miti imebwagika
  2. Ili ahakikishe Haki na auvunje upotovu na wangachukia wakosefu.
  3. Kwa hakika katika haya yapo mazingatio kwa wanao ogopa.
  4. Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
  5. Basi ukawafikia uovu wa waliyo yatenda, na waliyo kuwa wakiyakejeli yakawazunguka.
  6. Na tulimfunulia Musa: Toka usiku na waja wangu, na uwapigie njia kavu baharini. Usikhofu kukamatwa,
  7. Au wanasema: Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari.
  8. Bali wanastaajabu kwamba amewafikia mwonyaji kutoka miongoni mwao, na wakasema makafiri: Hili ni jambo la
  9. Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,
  10. Na sema: Mola wangu Mlezi! Niteremshe mteremsho wenye baraka, na Wewe ni Mbora wa wateremshaji.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Surah Qalam Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qalam Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qalam Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qalam Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qalam Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qalam Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qalam Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Qalam Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qalam Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qalam Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qalam Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qalam Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qalam Al Hosary
Al Hosary
Surah Qalam Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qalam Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, September 13, 2025

Please remember us in your sincere prayers