Surah Qalam aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qalam aya 9 in arabic text(The Pen).
  
   

﴿وَدُّوا لَوْ تُدْهِنُ فَيُدْهِنُونَ﴾
[ القلم: 9]

Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.

Surah Al-Qalam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They wish that you would soften [in your position], so they would soften [toward you].


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.


Wanatamani lau ungeli kuwa laini kwao katika baadhi ya mambo, ili na wao wawe laini kwako, kwa tamaa upate kurudishiana nao. (Neno lililo tumiwa hapo -Tud- hinu fayud-hinuun-, maana yake khasa -Upake mafuta na wao wapake mafuta-. Kiswahili husema: Kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa. Yaani kumpa sifa za uwongo, kumfanyia unaafiki. Kwa Kiarabu ni -Mudaahana-. Kupakana mafuta)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 9 from Qalam


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wala wewe huwaongoi vipofu na upotovu wao. Huwasikilizishi ila wanao ziamini Aya zetu. Hao ndio
  2. Na ambaye amewafyonya wazazi wake na akawaambia: Ati ndio mnanitisha kuwa nitafufuliwa, na hali vizazi
  3. Walipo kwisha pita alimwambia kijana wake: Tupe chakula chetu cha mchana. Kwa hakika tumepata machofu
  4. Mola wangu Mlezi! Nijaalie niwe mwenye kushika Sala, na katika dhuriya zangu pia. Ewe Mola
  5. Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza
  6. Na kauli itawaangukia juu yao kwa vile walivyo dhulumu. Basi hao hawatasema lolote.
  7. Na wakawapotea wale walio kuwa wakiwaomba hapo kwanza, na wakawa na yakini kuwa hawana pa
  8. Kabla yao walikadhibisha kaumu ya Nuhu na makundi mengine baada yao. Na kila taifa lilikuwa
  9. Hawazibishi Ishara za Mwenyezi Mungu ila walio kufuru; basi kusikughuri wewe kutanga tanga kwao katika
  10. Mwenye kumwogopa Mwingi wa Rehema hali kuwa hamwoni, na akaja kwa moyo ulio elekea-

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Surah Qalam Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qalam Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qalam Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qalam Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qalam Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qalam Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qalam Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Qalam Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qalam Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qalam Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qalam Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qalam Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qalam Al Hosary
Al Hosary
Surah Qalam Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qalam Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, April 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers