Surah Qalam aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَدُّوا لَوْ تُدْهِنُ فَيُدْهِنُونَ﴾
[ القلم: 9]
Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They wish that you would soften [in your position], so they would soften [toward you].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.
Wanatamani lau ungeli kuwa laini kwao katika baadhi ya mambo, ili na wao wawe laini kwako, kwa tamaa upate kurudishiana nao. (Neno lililo tumiwa hapo -Tud- hinu fayud-hinuun-, maana yake khasa -Upake mafuta na wao wapake mafuta-. Kiswahili husema: Kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa. Yaani kumpa sifa za uwongo, kumfanyia unaafiki. Kwa Kiarabu ni -Mudaahana-. Kupakana mafuta)
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika wale walio rudi nyuma miongoni mwenu siku yalipo pambana majeshi mawili, Shet'ani ndiye aliye
- Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye
- Na walistaajabu kuwajia mwonyaji anaye tokana nao wenyewe, na makafiri wakasema: Huyu ni mchawi, mwongo.
- Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
- Je! Afanyae ibada nyakati za usiku kwa kusujudu na kusimama akitahadhari na Akhera, na akitaraji
- Haya si chochote ila ni mtindo wa watu wa tokea zamani.
- Na misiba inayo kusibuni ni kwa sababu ya vitendo vya mikono yenu. Naye anasamehe mengi.
- La, hasha! Hakika Sisi tumewaumba kutokana na wanacho kijua.
- Je! Hawatembei katika ardhi wakaona ulivyo kuwa mwisho wa walio kuwa kabla yao? Nao walikuwa
- Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers