Surah Assaaffat aya 152 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَدَ اللَّهُ وَإِنَّهُمْ لَكَاذِبُونَ﴾
[ الصافات: 152]
Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
" Allah has begotten," and indeed, they are liars.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!.
Ewe mwenye kusikia! Yazingatie maneno yao. Hakika wao kwa uwongo wao wanasema: Mwenyezi Mungu amezaa! Na hali Yeye ametakasika na upungufu kama huo wa kuwa mzazi au kuzaliwa. Na hakika bila ya shaka hao ni waongo kwa usemi huo, kwa ushahidi wa dalili nyingi za Upweke wake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ya kwamba mniabudu Mimi? Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka.
- Arrah'man, Mwingi wa Rehema
- Hakika Mwenyezi Mungu haoni haya kutoa mfano hata wa mbu na ulio wa zaidi yake.
- Na kumbusha, kwani ukumbusho huwafaa Waumini.
- Na inapo mgusa kheri huizuilia.
- Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu hii. Hakika tutaamini.
- Akasema (kijana): Waona! Pale tulipo pumzika penye jabali basi mimi nilimsahau yule samaki. Na hapana
- Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!
- Hakika Sisi tumeifanya Qur'ani kwa Kiarabu ili mfahamu.
- Nao wamefuatishiwa laana hapa duniani na Siku ya Kiyama. Ni mabaya yalioje watakayo pewa!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



