Surah Anbiya aya 86 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَدْخَلْنَاهُمْ فِي رَحْمَتِنَا ۖ إِنَّهُم مِّنَ الصَّالِحِينَ﴾
[ الأنبياء: 86]
Na tukawaingiza katika rehema yetu. Hakika wao walikuwa katika watu wema.
Surah Al-Anbiya in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We admitted them into Our mercy. Indeed, they were of the righteous.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukawaingiza katika rehema yetu. Hakika wao walikuwa katika watu wema.
Na tukawajaalia miongoni mwa watu wa kupata rehema yetu. Hakika hao ni katika waja wetu wema.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika tumekiteremsha katika usiku ulio barikiwa. Hakika Sisi ni Waonyaji.
- Hakika katika haya zipo Ishara. Lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.
- Na likumbuke jina la Mola wako Mlezi asubuhi na jioni;
- Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
- Matunda yake yakaribu.
- Hakika Sisi tumekuteremshia Qur'ani kidogo kidogo.
- Nenda na barua yangu hii na uwafikishie, kisha waache na utazame watarejesha nini.
- Ndio hivyo! Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kudhoofisha vitimbi vya makafiri.
- Kwa yakini nitamuadhibu kwa adhabu kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya kutosha.
- Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers