Surah Insan aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Insan aya 8 in arabic text(The Human).
  
   

﴿وَيُطْعِمُونَ الطَّعَامَ عَلَىٰ حُبِّهِ مِسْكِينًا وَيَتِيمًا وَأَسِيرًا﴾
[ الإنسان: 8]

Na huwalisha chakula, juu ya kukipenda kwake, masikini, na yatima, na wafungwa.

Surah Al-Insan in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And they give food in spite of love for it to the needy, the orphan, and the captive,


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na huwalisha chakula, juu ya kukipenda kwake, masikini, na yatima, na wafungwa.


Na huwalisha chakula mafakiri wasio weza kazi, na watoto walio fiwa na wazee wao, na wafungwa wasio miliki kitu, ijapo kuwa wao wenyewe hao watoaji wanakipenda hicho wanacho kitoa, na wanakihitajia.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 8 from Insan


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na kwa ajili yao yatakuwapo marungu ya chuma.
  2. Mwenye kutaka utukufu basi utukufu wote uko kwa Mwenyezi Mungu. Kwake Yeye hupanda neno zuri,
  3. Hakuwa yeye (Isa) ila ni Mtumwa tuliye mneemesha na tukamfanya ni mfano kwa Wana wa
  4. Au mmeaminisha ya kuwa hatakurudisheni humo mara nyengine na kukupelekeeni kimbunga cha upepo akakuzamisheni kwa
  5. Na tukamuandikia katika mbao kila kitu, mawaidha na maelezo ya mambo yote. (Tukamwambia): Basi yashike
  6. Hichi kitabu chetu kinasema juu yenu kwa haki. Hakika Sisi tulikuwa tukiyaandika mliyo kuwa mkiyatenda.
  7. Naye atazungumza na watu katika utoto wake na katika utuuzima wake, na atakuwa katika watu
  8. Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukafuatisha baada yake Mitume wengine. Na tukampa Isa, mwana
  9. Wakasema: Ewe baba yetu! Una nini hata hutuamini kwa Yusuf? Na hakika sisi ni wenye
  10. Kwa nini mlipo sikia khabari hii, wanaume Waumini na wanawake Waumini hawakuwadhania wenzao mema, na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Surah Insan Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Insan Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Insan Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Insan Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Insan Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Insan Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Insan Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Insan Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Insan Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Insan Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Insan Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Insan Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Insan Al Hosary
Al Hosary
Surah Insan Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Insan Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 17, 2026

Please remember us in your sincere prayers