Surah Al Isra aya 82 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Isra aya 82 in arabic text(The Night Journey).
  
   

﴿وَنُنَزِّلُ مِنَ الْقُرْآنِ مَا هُوَ شِفَاءٌ وَرَحْمَةٌ لِّلْمُؤْمِنِينَ ۙ وَلَا يَزِيدُ الظَّالِمِينَ إِلَّا خَسَارًا﴾
[ الإسراء: 82]

Na tunateremsha katika Qur'ani yaliyo ni matibabu na rehema kwa Waumini. Wala hayawazidishii madhaalimu ila khasara.

Surah Al-Isra in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We send down of the Qur'an that which is healing and mercy for the believers, but it does not increase the wrongdoers except in loss.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na tunateremsha katika Qurani yaliyo ni matibabu na rehema kwa Waumini. Wala hayawazidishii madhaalimu ila khasara.


Na vipi Haki isiwe na nguvu na hali Sisi tunateremsha katika Qurani dawa ya kuponyesha maradhi ya shaka katika vifua vya watu, na sababu za kuwapatia rehema wanao iamini! Na madhaalimu hawana linao wazidia ila khasara tu kwa kuikataa kwao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 82 from Al Isra


Ayats from Quran in Swahili

  1. Sema: Sijui kama yapo karibu hayo mnayo ahidiwa, au Mola wangu Mlezi atayawekea muda mrefu.
  2. Na watu wa kushotoni; je ni yepi ya wa kushotoni?
  3. Na sema: Alhamdulillah, Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye hana mwana, wala hana mshirika
  4. Na Mwenyezi Mungu amewapigia mfano walio amini - mkewe Firauni, alipo sema: Mola wangu Mlezi!
  5. Na walisema walio kufuru: Hatutaiamini Qur'ani hii, wala yaliyo kuwa kabla yake. Na ungeli waona
  6. Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu.
  7. Akasema: Nitakimbilia mlimani unilinde na maji. (Nuhu) akasema: Leo hapana wa kulindwa na amri ya
  8. Basi labda utaacha baadhi ya yale yaliyo funuliwa kwako, na kifua kitaona dhiki kwa hayo,
  9. Na hapana shaka wataibeba mizigo yao na mizigo mingine pamoja na mizigo yao. Na kwa
  10. Naye akamwambia dada yake Musa: Mfuatie. Basi naye akawa anamuangalia kwa mbali bila ya wao

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Surah Al Isra Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Isra Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Isra Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Isra Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Isra Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Isra Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Isra Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Isra Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Isra Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Isra Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Isra Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Isra Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Isra Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Isra Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Isra Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, July 17, 2025

Please remember us in your sincere prayers