Surah Shuara aya 84 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاجْعَل لِّي لِسَانَ صِدْقٍ فِي الْآخِرِينَ﴾
[ الشعراء: 84]
Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And grant me a reputation of honor among later generations.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye.
Na nijaalie nipate sifa nzuri na kumbusho jema kwa kaumu zitazo kuja baada yangu, mabaki yake yasalie mpaka Siku ya Kiyama.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ni uteremsho unao toka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
- Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
- Yeye ndiye Muumba wa mbingu na ardhi pasina ruwaza; na anapo taka jambo basi huliambia
- Na tukautia nguvu ufalme wake, na tukampa hikima, na kukata hukumu.
- Ewe uliye jigubika!
- Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,
- Lau wangeli jua wale walio kufuru wakati ambao hawatauzuia Moto kwenye nyuso zao wala migongo
- Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama
- Wala sijui pengine huu ni mtihani tu kwenu na starehe mpaka muda kidogo.
- Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



