Surah Al Hashr aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Hashr aya 24 in arabic text(The Mustering).
  
   

﴿هُوَ اللَّهُ الْخَالِقُ الْبَارِئُ الْمُصَوِّرُ ۖ لَهُ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَىٰ ۚ يُسَبِّحُ لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۖ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ
[ الحشر: 24]

Yeye ndiye Mwenyezi Mungu, Muumbaji, Mtengenezaji, Mtia sura, Mwenye majina mazuri kabisa. Kila kilioko katika mbingu na ardhi kinamtakasa, naye ni Mwenye kushinda, Mwenye hikima.

Surah Al-Hashr in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


He is Allah, the Creator, the Inventor, the Fashioner; to Him belong the best names. Whatever is in the heavens and earth is exalting Him. And He is the Exalted in Might, the Wise.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Yeye ndiye Mwenyezi Mungu, Muumbaji, Mtengenezaji, Mtia sura, Mwenye majina mazuri kabisa. Kila kilioko katika mbingu na ardhi kinamtakasa, naye ni Mwenye kushinda, Mwenye hikima.


Yeye ndiye Mwenyezi Mungu, Mwenye kuviumba vitu vyote tangu mwanzo bila ya ruwaza ya kuigia iliyo tangulia, Mwenye kuvipa sura kama vilivyo kwa mujibu wa atakavyo Yeye. Yeye ndiye Mwenye Majina Mazuri, Mwenye kutakaswa na kila kisicho kuwa laiki yake na kila kilichoko katika mbingu na ardhi. Na Yeye ndiye Mwenye kushinda, asiye shindwa na kitu. Mwenye hikima katika kupanga kwake na sharia zake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 24 from Al Hashr


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na anapo kuondosheeni madhara mara kundi moja miongoni mwenu linamshirikisha Mola wao Mlezi,
  2. Naye ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi kwa Haki. Na anaposema: Kuwa! Basi huwa. Kauli
  3. Na inapo teremshwa Sura wapo miongoni mwao wasemao: Ni nani miongoni mwenu Sura hii imemzidishia
  4. Hakika Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo yatanguliza, na wanayo yaacha nyuma. Na kila kitu
  5. Enyi Watu! Amekwisha kujieni Mtume huyu na haki itokayo kwa Mola wenu Mlezi. Basi aminini,
  6. Kwa hakika tumevifanya vilioko juu ya ardhi kuwa ni pambo lake ili tuwafanyie mtihani, ni
  7. Wale wanao fadhilisha maisha ya dunia kuliko Akhera, na wanawazuilia watu wasifuate Njia ya Mwenyezi
  8. Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
  9. Na waozeni wajane miongoni mwenu na wema katika watumwa wenu na wajakazi wenu. Wakiwa mafakiri
  10. Na hiyo ndiyo neema ya kunisumbulia, na wewe umewatia utumwani Wana wa Israili?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Hashr with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Hashr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Hashr Complete with high quality
Surah Al Hashr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Hashr Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Hashr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Hashr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Hashr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Hashr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Hashr Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Al Hashr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Hashr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Hashr Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Hashr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Hashr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Hashr Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Hashr Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Hashr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, May 13, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب