Surah Saba aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Saba aya 28 in arabic text(Sheba).
  
   
ayat 28 from Surah Saba

﴿وَمَا أَرْسَلْنَاكَ إِلَّا كَافَّةً لِّلنَّاسِ بَشِيرًا وَنَذِيرًا وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَ النَّاسِ لَا يَعْلَمُونَ﴾
[ سبأ: 28]

Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri, na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui.

Surah Saba in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We have not sent you except comprehensively to mankind as a bringer of good tidings and a warner. But most of the people do not know.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri, na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui.


Na Sisi hatukukutuma ewe Muhammad, ila kwa watu wote. Uwe ni mwenye kuwabashiria Waumini kuwa watapata kheri, na mwenye kuwaonya makafiri kuwa watapata shari. Lakini aghlabu ya watu hawaujui ukweli wako, wala kuwa Utume wako ni wa kwa watu wote. (Haya ni kwa sababu hapana Mtume aliye kuja kwa watu wote ila huyu Nabii Muhammad s.a.w. Nabii Musa alikuja kwa Wana wa Israili kuwatoa Misri. Nabii Isa, Yesu Kristo, pia kaja kwa Wana wa Israili tu, kama isemavyo Qurani 3.49, na Injili ya Mathayo 10.5-6 Yesu alipo sema: -Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.- Na 15.24 alipo sema: -Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.- Na Injili ya Yohana 17.9)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 28 from Saba


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwani hawaoni kwamba Mwenyezi Mungu humkunjulia riziki amtakaye na humdhikisha amtakaye? Hakika katika hayo zipo
  2. Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika! Anapo lihukumia jambo basi huliambia
  3. Na katika Mabedui hao wapo wanao fikiri kuwa wanayo yatoa ni gharama ya bure, na
  4. Basi wao kwa hakika siku hiyo watashirikiana katika adhabu pamoja.
  5. Mjuzi wa siri na dhaahiri, na ametukuka juu ya hayo wanayo mshirikisha nayo.
  6. Au wewe unawaomba ujira, na kwa hivyo ndio wanaelemewa na uzito wa gharama?
  7. Na kumbukeni mlipo kuwa wachache, mkionekana wanyonge katika nchi, mnaogopa watu wasikunyakueni, naye akakupeni pahala
  8. Na hapana kilicho wazuia watu kuamini ulipo wajia uwongofu na wakaomba maghfira kwa Mola wao
  9. Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!
  10. Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Saba with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Saba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Saba Complete with high quality
Surah Saba Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Saba Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Saba Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Saba Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Saba Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Saba Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Saba Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Saba Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Saba Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Saba Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Saba Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Saba Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Saba Al Hosary
Al Hosary
Surah Saba Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Saba Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, August 22, 2025

Please remember us in your sincere prayers