Surah Fatir aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Fatir aya 42 in arabic text(The Originator).
  
   
ayat 42 from Surah Fatir

﴿وَأَقْسَمُوا بِاللَّهِ جَهْدَ أَيْمَانِهِمْ لَئِن جَاءَهُمْ نَذِيرٌ لَّيَكُونُنَّ أَهْدَىٰ مِنْ إِحْدَى الْأُمَمِ ۖ فَلَمَّا جَاءَهُمْ نَذِيرٌ مَّا زَادَهُمْ إِلَّا نُفُورًا
[ فاطر: 42]

Na waliapa kwa Mwenyezi Mungu ukomo wa kuapa kwao, kwamba akiwajia mwonyaji bila ya shaka watakuwa waongofu zaidi kuliko taifa jingine lolote. Lakini alipo wajia mwonyaji hakuwazidishia ila kuikimbia hiyo Haki,

Surah Fatir in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And they swore by Allah their strongest oaths that if a warner came to them, they would be more guided than [any] one of the [previous] nations. But when a warner came to them, it did not increase them except in aversion.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na waliapa kwa Mwenyezi Mungu ukomo wa kuapa kwao, kwamba akiwajia mwonyaji bila ya shaka watakuwa waongofu zaidi kuliko taifa jingine lolote. Lakini alipo wajia mwonyaji hakuwazidishia ila kuikimbia hiyo Haki,


Na makafiri waliapa kwa jina la Mwenyezi Mungu mwisho wa juhudi yao kutilia nguvu kiapo chao, ya kwamba bila ya shaka akiwajia Mtume kuwaonya basi wao hapana shaka watakuwa miongoni mwa mataifa walio ongoka zaidi kuliko hao wenginewe walio wakadhibisha Mitume wao. Lakini alipo wajia Mtume kutokana na wao wenyewe, akiwaonya, hakuwazidishia kwa kuwaonya kwake na kuwanasihi, isipo kuwa kuikimbia Haki.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 42 from Fatir


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na walikadhibisha walio kuwa kabla yao. Na hawakufikilia hata sehemu moja katika kumi ya tulivyo
  2. Na kila nafsi italipwa kwa yale iliyo yafanya, na Yeye anayajua sana wanayo yatenda.
  3. Siku watakapotoka makaburini kwa upesi kama kwamba wanakimbilia mfundo,
  4. Ili Mwenyezi Mungu ailipe kila nafsi kwa yale iliyo yachuma. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi
  5. Na katika wanyama amekujaalieni wenye kubeba mizigo na kutoa matandiko. Kuleni katika alivyo kuruzukuni Mwenyezi
  6. Enyi mlio amini! Msinyanyue sauti zenu kuliko sauti ya Nabii, wala msiseme naye kwa kelele
  7. Basi wakamwokota watu wa Firauni, aje kuwa adui kwao na huzuni. Hakika Firauni na Hamana
  8. Na shikamaneni kwa Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala msifarikiane. Na kumbukeni neema ya
  9. Hiyo ndiyo karamu yao Siku ya Malipo.
  10. Leo, basi, tutakuokoa kwa mwili wako, ili uwe Ishara kwa ajili ya walio nyuma yako.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Fatir with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Fatir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fatir Complete with high quality
Surah Fatir Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Fatir Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Fatir Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Fatir Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Fatir Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Fatir Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Fatir Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Fatir Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Fatir Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Fatir Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Fatir Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Fatir Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Fatir Al Hosary
Al Hosary
Surah Fatir Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Fatir Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, May 14, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب