Surah Yunus aya 27 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yunus aya 27 in arabic text(Jonah).
  
   
ayat 27 from Surah Yunus

﴿وَالَّذِينَ كَسَبُوا السَّيِّئَاتِ جَزَاءُ سَيِّئَةٍ بِمِثْلِهَا وَتَرْهَقُهُمْ ذِلَّةٌ ۖ مَّا لَهُم مِّنَ اللَّهِ مِنْ عَاصِمٍ ۖ كَأَنَّمَا أُغْشِيَتْ وُجُوهُهُمْ قِطَعًا مِّنَ اللَّيْلِ مُظْلِمًا ۚ أُولَٰئِكَ أَصْحَابُ النَّارِ ۖ هُمْ فِيهَا خَالِدُونَ
[ يونس: 27]

Na wale walio chuma maovu, malipo ya uovu ni mfano wake vile vile, na yatawafika madhila. Hawatakuwa na wa kuwalinda na Mwenyezi Mungu. Nyuso zao kama kwamba zimefunikwa na vipande vya usiku wa giza. Hao ndio watu wa Motoni, wao humo watadumu.

Surah Yunus in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


But they who have earned [blame for] evil doings - the recompense of an evil deed is its equivalent, and humiliation will cover them. They will have from Allah no protector. It will be as if their faces are covered with pieces of the night - so dark [are they]. Those are the companions of the Fire; they will abide therein eternally.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na wale walio chuma maovu, malipo ya uovu ni mfano wake vile vile, na yatawafika madhila. Hawatakuwa na wa kuwalinda na Mwenyezi Mungu. Nyuso zao kama kwamba zimefunikwa na vipande vya usiku wa giza. Hao ndio watu wa Motoni, wao humo watadumu.


Na wale ambao hawakuitikia Wito wa Mwenyezi Mungu, wakakufuru, wakatenda maasi, watalipwa kwa mujibu ya uovu walio utenda. Na hawana mlinzi wa kuwakinga na adhabu ya Mwenyezi Mungu. Na nyuso zao zitasawajika kwa ghamu na huzuni kama kwamba zimefunikwa na weusi wa kiza cha usiku! Na hao ndio watu wa Motoni, watasononeka humo milele.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 27 from Yunus


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hivi ni kwa sababu hakika Mwenyezi Mungu ndiye wa kweli, na hakika wanacho kiomba ni
  2. Na wakasema: Tukiufuata uwongofu huu pamoja nawe tutanyakuliwa kutoka nchi yetu. Je! Kwani Sisi hatukuwaweka
  3. Huo ni mgawanyo wa dhulma!
  4. Na baina yao na miji mingine tuliyo ibariki tuliweka miji iliyo dhaahiri, na tukaweka humo
  5. Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika
  6. Na kwa nini msile katika walio somewa jina la Mwenyezi Mungu, naye amekwisha kubainishieni alivyo
  7. Na Yeye ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Na Kiti chake cha
  8. Hao ndio watu wa Peponi, watadumu humo, kuwa ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
  9. Sisi tukasema: Ewe moto! Kuwa baridi na salama kwa Ibrahim!
  10. Ameteremsha maji kutoka mbinguni. Na mabonde yakamiminika maji kwa kadiri yake. Na mafuriko yakachukua mapovu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Surah Yunus Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yunus Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yunus Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yunus Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yunus Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yunus Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yunus Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Yunus Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yunus Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yunus Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yunus Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yunus Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yunus Al Hosary
Al Hosary
Surah Yunus Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yunus Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب