Surah Ankabut aya 27 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ankabut aya 27 in arabic text(The Spider).
  
   

﴿وَوَهَبْنَا لَهُ إِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَجَعَلْنَا فِي ذُرِّيَّتِهِ النُّبُوَّةَ وَالْكِتَابَ وَآتَيْنَاهُ أَجْرَهُ فِي الدُّنْيَا ۖ وَإِنَّهُ فِي الْآخِرَةِ لَمِنَ الصَّالِحِينَ
[ العنكبوت: 27]

Na tulimtunukia (Ibrahim) Is-haq na Yaa'qub. Na tukajaalia katika dhuriya zake Unabii na Kitabu, na tukampa ujira wake katika dunia; naye hakika katika Akhera bila ya shaka ni katika watu wema.

Surah Al-Ankabut in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We gave to Him Isaac and Jacob and placed in his descendants prophethood and scripture. And We gave him his reward in this world, and indeed, he is in the Hereafter among the righteous.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na tulimtunukia (Ibrahim) Is-haq na Yaaqub. Na tukajaalia katika dhuriya zake Unabii na Kitabu, na tukampa ujira wake katika dunia; naye hakika katika Akhera bila ya shaka ni katika watu wema.


English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 27 from Ankabut


Ayats from Quran in Swahili

  1. Mwenyezi Mungu amemlaani. Naye Shet'ani alisema: Kwa yakini nitawachukua sehemu maalumu katika waja wako.
  2. Na atendaye kosa au dhambi kisha akamsingizia asiye na kosa, basi amejitwika dhulma na dhambi
  3. Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya watoto wenu: Fungu la mwanamume ni kama fungu la wanawake
  4. Na waonye kwayo wanao ogopa kuwa watakusanywa kwa Mola wao Mlezi, hali kuwa hawana mlinzi
  5. Tukawaambia: Nendeni kwa watu walio kanusha Ishara zetu. Basi tukawateketeza kabisa.
  6. Watasema: Ni vya Mwenyezi Mungu. Sema: Basi je, hamwogopi?
  7. Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza
  8. Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
  9. Na wajumbe wetu walipo kuja kwa Lut' aliwahuzunukia na akawaonea dhiki. Akasema: Hii leo ni
  10. Alif Lam Ra. Hiki ni Kitabu ambacho Aya zake zimewekwa wazi, kisha zikapambanuliwa, kilicho toka

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ankabut with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ankabut mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ankabut Complete with high quality
Surah Ankabut Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ankabut Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ankabut Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ankabut Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ankabut Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ankabut Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ankabut Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ankabut Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ankabut Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ankabut Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ankabut Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ankabut Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ankabut Al Hosary
Al Hosary
Surah Ankabut Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ankabut Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, April 25, 2026

Please remember us in your sincere prayers