Surah Waqiah aya 91 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَسَلَامٌ لَّكَ مِنْ أَصْحَابِ الْيَمِينِ﴾
[ الواقعة: 91]
Basi ni Salamu kwako uliye miongoni mwa watu wa upande wa kulia.
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then [the angels will say], "Peace for you; [you are] from the companions of the right."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi ni Salamu kwako uliye miongoni mwa watu wa upande wa kulia.
Basi ataambiwa kwa maamkio na takrima: Unapewa salamu kutokana na watu wa kuliani.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Yenye moto wenye kuni nyingi,
- Siku hiyo ataambiwa aliyo yatanguliza na aliyo yaakhirisha.
- Hakika Mola wako Mlezi atawahukumu kwa hukumu yake, naye ni Mwenye nguvu Mjuzi.
- Na zabibu, na mimea ya majani,
- Badala ya Mwenyezi Mungu? Watasema: Wametupotea, bali tangu zamani hatukuwa tukiomba kitu! Hivyo ndivyo Mwenyezi
- Ila mkewe. Tunakadiria huyo atakuwa miongoni watao bakia nyuma.
- Atakusameheni dhambi zenu, na atakutieni katika Mabustani yapitiwayo na mito kati yake, na maskani nzuri
- Hivyo nyinyi mnawaingilia wanaume kwa matamanio badala ya wanawake? Hakika nyinyi ni watu mnao fanya
- Akasema: Utakuwa miongoni mwa walio pewa muhula.
- Na hakika haya ni ukumbusho kwako na kwa kaumu yako. Na mtakuja ulizwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



