Surah Nisa aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nisa aya 4 in arabic text(The Women).
  
   

﴿وَآتُوا النِّسَاءَ صَدُقَاتِهِنَّ نِحْلَةً ۚ فَإِن طِبْنَ لَكُمْ عَن شَيْءٍ مِّنْهُ نَفْسًا فَكُلُوهُ هَنِيئًا مَّرِيئًا
[ النساء: 4]

Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni kipawa. Lakini wakikutunukieni kitu katika mahari, kwa radhi yao, basi kileni kiwashuke kwa raha.

Surah An-Nisa in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And give the women [upon marriage] their [bridal] gifts graciously. But if they give up willingly to you anything of it, then take it in satisfaction and ease.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni kipawa. Lakini wakikutunukieni kitu katika mahari, kwa radhi yao, basi kileni kiwashuke kwa raha.


Wapeni wanawake mahari yao kuwa ni kipawa, tunza iliyo safi. Na nyinyi hamna haki yoyote katika hayo mahari. Ikiwa hao wanawake kwa radhi ya nafsi zao wenyewe wakakubali kusamehe sehemu yoyote ya mahari mliyo kwisha ahadiana, basi hapo mnayo ruhusa kuchukua na mkatumia kwa kheri na salama.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 4 from Nisa


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wakikukanusha basi wewe sema: Mola Mlezi wenu ni Mwenye rehema iliyo enea. Wala haizuiliki adhabu
  2. Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe
  3. Wakasema: Tuna kisirani nawe na wale walio pamoja nawe. Yeye akasema: Uaguzi wa ukorofi wenu
  4. Humo vimo viti vilivyo nyanyuliwa,
  5. Sema: Mwaonaje ikikujieni adhabu ya Mwenyezi Mungu, au ikakufikieni hiyo Saa - mtamwomba asiye kuwa
  6. Na Musa alisema: Enyi watu wangu! Ikiwa nyinyi mmemuamini Mwenyezi Mungu, basi mtegemeeni Yeye, ikiwa
  7. Hao ndio Mwenyezi Mungu alio walaani, na akawatia uziwi, na akawapofoa macho yao.
  8. Na pale Shet'ani alipo wapambia vitendo vyao, na akawaambia: Hapana watu wa kukushindeni hii leo,
  9. Enyi mlio amini! Kuweni wasimamizi madhubuti kwa ajili ya Mwenyezi Mungu mkitoa ushahidi kwa haki.
  10. Na ni Ishara kwao kwamba Sisi tuliwapakia dhuriya zao katika jahazi ilio sheheni.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Nisa with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Nisa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nisa Complete with high quality
Surah Nisa Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Nisa Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Nisa Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Nisa Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Nisa Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Nisa Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Nisa Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Nisa Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Nisa Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Nisa Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Nisa Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Nisa Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Nisa Al Hosary
Al Hosary
Surah Nisa Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Nisa Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 11, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب