Surah Nuh aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nuh aya 10 in arabic text(Noah).
  
   
ayat 10 from Surah Nuh

﴿فَقُلْتُ اسْتَغْفِرُوا رَبَّكُمْ إِنَّهُ كَانَ غَفَّارًا﴾
[ نوح: 10]

Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe.

Surah Nuh in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And said, 'Ask forgiveness of your Lord. Indeed, He is ever a Perpetual Forgiver.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe.


Nikawambia watu wangu: Takeni kwa Mola wenu Mlezi maghfira kwa kufru zenu na maasi yenu. Kwani Yeye bado ni Mwingi wa kusamehe madhambi ya mwenye kurejea kwake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 10 from Nuh


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na kila mmoja tumemwekea warithi katika waliyo yaacha wazazi wawili na jamaa. Na mlio fungamana
  2. Basi Ametakasika yule ambaye mkononi mwake umo Ufalme wa kila kitu; na kwake Yeye mtarejeshwa.
  3. Je! Hawakusafiri katika ardhi wakaona vipi ulikuwa mwisho wa walio kuwa kabla yao? Na hao
  4. Akasema: Miadi yenu ni siku ya Sikukuu; na watu wakusanywe kabla ya adhuhuri.
  5. Amekupigieni mfano kutokana na nafsi zenu. Je! Katika hao iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia
  6. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao
  7. Atasema: Wallahi! Ulikaribia kunipoteza.
  8. Hakika Firauni alitakabari katika nchi, na akawagawa wananchi makundi mbali mbali. Akalidhoofisha taifa moja miongoni
  9. Naye ndiye aliye muumba mwanaadamu kutokana na maji, akamjaalia kuwa na nasaba na ushemeji. Na
  10. Na je! Imekufikia khabari ya wagombanao walipo pindukia ukuta kuingia chumbani?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Nuh with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Nuh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nuh Complete with high quality
Surah Nuh Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Nuh Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Nuh Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Nuh Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Nuh Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Nuh Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Nuh Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Nuh Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Nuh Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Nuh Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Nuh Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Nuh Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Nuh Al Hosary
Al Hosary
Surah Nuh Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Nuh Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, October 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers