Surah Raad aya 30 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Raad aya 30 in arabic text(The Thunder).
  
   
ayat 30 from Surah Ar-Rad

﴿كَذَٰلِكَ أَرْسَلْنَاكَ فِي أُمَّةٍ قَدْ خَلَتْ مِن قَبْلِهَا أُمَمٌ لِّتَتْلُوَ عَلَيْهِمُ الَّذِي أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ وَهُمْ يَكْفُرُونَ بِالرَّحْمَٰنِ ۚ قُلْ هُوَ رَبِّي لَا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ عَلَيْهِ تَوَكَّلْتُ وَإِلَيْهِ مَتَابِ
[ الرعد: 30]

Ndio kama hivi tumekutuma kwa umma ambao wamekwsiha pita kabla yao umati nyengine, ili uwasomee tunayo kufunulia, na wao wanamkufuru Rahmani, Mwingi wa Rehema! Sema: Yeye ndiye Mola wangu Mlezi. Hapana mungu isipo kuwa Yeye. Juu yake nimetegemea, na kwake ndio marejeo yangu!

Surah Ar-Rad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Thus have We sent you to a community before which [other] communities have passed on so you might recite to them that which We revealed to you, while they disbelieve in the Most Merciful. Say, "He is my Lord; there is no deity except Him. Upon Him I rely, and to Him is my return."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ndio kama hivi tumekutuma kwa umma ambao wamekwsiha pita kabla yao umati nyengine, ili uwasomee tunayo kufunulia, na wao wanamkufuru Rahmani, Mwingi wa Rehema! Sema: Yeye ndiye Mola wangu Mlezi. Hapana mungu isipo kuwa Yeye. Juu yake nimetegemea, na kwake ndio marejeo yangu!


Kama tulivyo wapelekea kaumu zilizo kwisha pita Mitume wakawaeleza yaliyo ya Haki, na wakapotea walio potea, na wakaongoka walio ongoka, na tukawapa miujiza ya kuonyesha Utume wao, kadhaalika tumekutuma wewe kwa umma wa Kiarabu na wenginewe, na kabla yao zimekwisha pita kaumu nyengine. Na muujiza wako ni hii Qurani uwasomee, uwawekee wazi maana yake na utukufu wake. Na wao wanaikanya rehema ya Mwenyezi Mungu walio pewa kwa kuteremshiwa Qurani. Basi ewe Nabii! Waambie: Mwenyezi Mungu ndiye aliye niumba, na anaye nilinda, na anaye nirehemu. Hapana mungu wa kuabudiwa kwa Haki ila Yeye. Namtegemea Yeye tu, na kwake ndio marejeo yangu na yenu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 30 from Raad


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwa hakika hayo ni ukelele mmoja tu,
  2. Na atakaye fanya urafiki na Mwenyezi Mungu na Mtume wake na walio amini, basi hakika
  3. Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini.
  4. Basi mpe jamaa haki yake, na masikini, na msafiri. Hayo ni kheri kwa watakao radhi
  5. Enyi mlio amini! Msiwafanye makafiri kuwa ndio marafiki badala ya Waumini. Je, mnataka Mwenyezi Mungu
  6. Na walipo kupangia mpango walio kufuru wakufunge, au wakuuwe, au wakutoe. Wakapanga mipango yao, na
  7. Akasema: Bila ya shaka adhabu na ghadhabu zimekwisha kukuangukieni kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Mnabishana
  8. Kaumu Lut'i nao waliwakadhibisha Waonyaji.
  9. Wanakusimbulia kuwa wamesilimu! Sema: Msinisimbulie kwa kusilimu kwenu. Bali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kufanyieni hisani
  10. Hakika wasio amini Akhera bila ya shaka wao ndio wanawaita Malaika kwa majina ya kike.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Raad with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Raad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Raad Complete with high quality
Surah Raad Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Raad Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Raad Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Raad Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Raad Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Raad Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Raad Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Raad Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Raad Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Raad Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Raad Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Raad Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Raad Al Hosary
Al Hosary
Surah Raad Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Raad Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, May 19, 2025

Please remember us in your sincere prayers