Surah Adiyat aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّهُ لِحُبِّ الْخَيْرِ لَشَدِيدٌ﴾
[ العاديات: 8]
Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!
Surah Al-Adiyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed he is, in love of wealth, intense.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!
Na hakika yeye kwa uchoyo na kuyapenda mali alio nayo, ni bakhili, hatoi kama inavyo mwajibikia katika mali yake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!
- Na hao walikwisha wapoteza wengi, wala usiwazidishie walio dhulumu ila kupotea.
- Ameziumba mbingu na ardhi kwa Haki. Ametukuka na wanayo shirikisha.
- Na ngawira nyingi watakazo zichukua. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
- Basi wakiamini kama mnavyo amini nyinyi, itakuwa kweli wameongoka. Na wakikengeuka basi wao wamo katika
- Ili Mwenyezi Mungu akusamehe makosa yako yaliyo tangulia na yajayo, na akutimizie neema zake, na
- Kama shaba iliyo yayushwa, hutokota matumboni
- Wataelekeana wakiulizana.
- Hao ndio walio nunua uhai wa dunia kwa (uhai wa) Akhera; kwa hivyo hawatapunguziwa adhabu
- Sawa sawa kwao, ukiwatakia maghfira au hukuwatakia maghfira, Mwenyezi Mungu hatawaghufiria. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Adiyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Adiyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Adiyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers