Surah Raad aya 36 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Raad aya 36 in arabic text(The Thunder).
  
   
ayat 36 from Surah Ar-Rad

﴿وَالَّذِينَ آتَيْنَاهُمُ الْكِتَابَ يَفْرَحُونَ بِمَا أُنزِلَ إِلَيْكَ ۖ وَمِنَ الْأَحْزَابِ مَن يُنكِرُ بَعْضَهُ ۚ قُلْ إِنَّمَا أُمِرْتُ أَنْ أَعْبُدَ اللَّهَ وَلَا أُشْرِكَ بِهِ ۚ إِلَيْهِ أَدْعُو وَإِلَيْهِ مَآبِ
[ الرعد: 36]

Na tulio wapa Kitabu wanafurahia uliyo teremshiwa. Na katika makundi mengine wapo wanao yakataa baadhi ya haya. Sema: Nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, na wala nisimshirikishe. Kuendea kwake Yeye ndiyo ninaita, na kwake Yeye ndio marejeo yangu.

Surah Ar-Rad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And [the believers among] those to whom We have given the [previous] Scripture rejoice at what has been revealed to you, [O Muhammad], but among the [opposing] factions are those who deny part of it. Say, "I have only been commanded to worship Allah and not associate [anything] with Him. To Him I invite, and to Him is my return."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na tulio wapa Kitabu wanafurahia uliyo teremshiwa. Na katika makundi mengine wapo wanao yakataa baadhi ya haya. Sema: Nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, na wala nisimshirikishe. Kuendea kwake Yeye ndiyo ninaita, na kwake Yeye ndio marejeo yangu.


Na wale ambao walio pewa ujuzi wa Vitabu vilivyo teremshwa ni waajibu wao wakifurahie Kitabu hichi ulicho teremshiwa wewe. Kwani hichi ni maendeleo ya ule ule ujumbe wa Mwenyezi Mungu. Na wanayo ifanya dini kuwa ni sababu ya kufanya makundi mbali mbali wanayakataa baadhi ya uliyo teremshiwa kwa uadui na chuki tu. Basi ewe Nabii! Waambie: Hakika mimi sikuamrishwa ila nimuabudu Mwenyezi Mungu, na nisimshirikishe katika ibada yake na kitu chochote. Na kwendea kumuabudu Yeye peke yake ndio ninalingania, ninaita, na kwake Yeye peke yake ndio marejeo yangu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 36 from Raad


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hayo ndiyo makaazi ya Akhera, tumewafanyia wale wasio taka kujitukuza duniani wala ufisadi. Na mwisho
  2. Enyi mlio amini! Mkiwat'ii baadhi ya walio pewa Kitabu watakurudisheni kuwa makafiri baada ya Imani
  3. Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,
  4. (Firauni) akasema: Sisi hatukukulea wewe utotoni, na ukakaa kwetu katika umri wako miaka mingi?
  5. Na Thamud na kaumu Lut'i na watu wa Machakani. Hayo ndiyo makundi.
  6. Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkuu.
  7. Sema: Hivyo mnatutazamia litupate lolote isipo kuwa moja katika mema mawili? Na sisi tunakutazamieni kuwa
  8. Na wale wasio mwomba mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu, wala hawaui nafsi aliyo iharimisha
  9. Sema: Ikiwa baba zenu, na wenenu, na ndugu zenu, na wake zenu, na jamaa zenu,
  10. Na wanao hojiana juu ya Mwenyezi Mungu baada ya kukubaliwa, hoja za hawa ni baat'ili

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Raad with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Raad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Raad Complete with high quality
Surah Raad Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Raad Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Raad Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Raad Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Raad Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Raad Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Raad Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Raad Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Raad Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Raad Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Raad Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Raad Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Raad Al Hosary
Al Hosary
Surah Raad Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Raad Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, October 26, 2025

Please remember us in your sincere prayers