Surah Sad aya 64 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ ذَٰلِكَ لَحَقٌّ تَخَاصُمُ أَهْلِ النَّارِ﴾
[ ص: 64]
Hakika hayo bila ya shaka ndiyo makhasimiano ya watu wa Motoni.
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, that is truth - the quarreling of the people of the Fire.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika hayo bila ya shaka ndiyo makhasimiano ya watu wa Motoni.
Hakika hayo tuliyo yataja ya hadithi ya watu wa Motoni ni kweli ambayo haina budi kutokea, nayo ni ya kugombana kwa watu wa Motoni wao kwa wao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na zinazo beba mizigo,
- Na walipo sema wanaafiki, na wale wenye ugonjwa nyoyoni mwao: Watu hawa dini yao imewadanganya.
- Masihi hataona uvunjifu kuwa mtumwa wa Mwenyezi Mungu, wala Malaika walio karibishwa. Na watakao ona
- Basi mkifanya wema, mnajifanyia wema nafsi zenu. Na mkifanya ubaya, mnajifanyia wenyewe. Na ikifika ahadi
- Na Mahurulaini,
- Na ambao Sala zao wanazihifadhi -
- Wala usitoe kwa kutaraji kuzidishiwa.
- Isipo kuwa Iblisi. Yeye alikataa kuwa pamoja na walio sujudu.
- Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.
- Na wachache katika wa mwisho.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers