Surah Al Hashr aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Hashr aya 3 in arabic text(The Mustering).
  
   

﴿وَلَوْلَا أَن كَتَبَ اللَّهُ عَلَيْهِمُ الْجَلَاءَ لَعَذَّبَهُمْ فِي الدُّنْيَا ۖ وَلَهُمْ فِي الْآخِرَةِ عَذَابُ النَّارِ
[ الحشر: 3]

Na lau kuwa Mwenyezi Mungu asingeli waandikia kutoka, angeli waadhibu katika dunia. Na katika Akhera watapata adhabu ya Moto.

Surah Al-Hashr in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And if not that Allah had decreed for them evacuation, He would have punished them in [this] world, and for them in the Hereafter is the punishment of the Fire.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na lau kuwa Mwenyezi Mungu asingeli waandikia kutoka, angeli waadhibu katika dunia. Na katika Akhera watapata adhabu ya Moto.


Na lau kuwa Mwenyezi Mungu hakuwahukumia kuwatoa majumbani kwao kwa sura hii ya kuchusha, basi hapana shaka angeli waadhibu katika dunia kwa shida zaidi kuliko huko kuwatoa. Na Akhera, wao watapata adhabu ya Moto, mbali huku kutolewa majumbani kwao duniani.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 3 from Al Hashr


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na akawakagua ndege, na akasema: Imekuwaje, mbona simwoni Hud-hud, au amekuwa miongoni mwa walio ghibu?
  2. Na walisema: Mbona hakuteremshiwa Ishara kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Ishara ziko kwake Mwenyezi
  3. Hatukukuteremshia Qur'ani ili upate mashaka.
  4. Sema: Tembeeni katika ardhi na tazameni jinsi alivyo anzisha uumbaji; kisha Mwenyezi Mungu ndiye anaye
  5. Wakasema: Ewe Mheshimiwa! Huyu anaye baba mzee sana. Kwa hivyo mchukue mmoja wetu badala yake.
  6. Na alipo tangaza Mola wenu Mlezi: Mkishukuru nitakuzidishieni; na mkikufuru, basi adhabu yangu ni kali.
  7. Mwenyezi Mungu amewaahidi walio muamini na wakatenda mema kwamba watapata maghfira na malipo makubwa.
  8. Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia
  9. Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.
  10. Nasi hatukuwatuma kabla yako ila watu wanaume tulio wapa Wahyi (Ufunuo). Basi waulizeni wenye ukumbusho

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Hashr with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Hashr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Hashr Complete with high quality
Surah Al Hashr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Hashr Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Hashr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Hashr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Hashr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Hashr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Hashr Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Hashr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Hashr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Hashr Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Hashr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Hashr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Hashr Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Hashr Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Hashr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, February 4, 2026

Please remember us in your sincere prayers