Surah Maun aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَوَيْلٌ لِّلْمُصَلِّينَ﴾
[ الماعون: 4]
Basi, ole wao wanao sali,
Surah Al-Maun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So woe to those who pray
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi, ole wao wanao swali,
Maangamio yatawashukia wanao sali na wakasifika kwa sifa hizi, na wakaghafilika na Swala zao wasinafiike nazo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Subiri kwa hayo wayasemayo, na umkumbuke mja wetu Daudi, mwenye nguvu. Hakika yeye alikuwa mwingi
- Kuleni na mjifurahishe kidogo tu. Hakika nyinyi ni wakosefu!
- Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi.
- Na pindi wakikushikilia kunishirikisha na ambayo huna ilimu nayo, basi usiwat'ii. Lakini kaa nao kwa
- Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!
- Watakapo tupwa humo watausikia mngurumo wake na huku inafoka.
- Siabudu mnacho kiabudu;
- Isipo kuwa Mtume wake aliye mridhia. Naye huyo humwekea walinzi mbele yake na nyuma yake.
- Sema: Enyi mlio Mayahudi! Ikiwa nyinyi mnadai kuwa ni vipenzi vya Mwenyezi Mungu pasipo kuwa
- Ufalme wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu; anaumba apendavyo, anamtunukia amtakaye watoto wa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



