Surah Maun aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِينَ هُمْ عَن صَلَاتِهِمْ سَاهُونَ﴾
[ الماعون: 5]
Ambao wanapuuza Sala zao;
Surah Al-Maun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[But] who are heedless of their prayer -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ambao wanapuuza Sala zao;
Maangamio yatawashukia wanao swali na wakasifika kwa sifa hizi, na wakaghafilika na Swala zao wasinafiike nazo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Uteremsho wa Kitabu umetoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye nguvu, Mwenye kujua.
- Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya
- Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,
- Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
- Yeye ndiye aliye kuumbeni kwa udongo, kisha akakuhukumieni ajali, na muda maalumu uko kwake tu.
- Sema: Tarajieni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika kutarajia.
- Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
- Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
- Na tukimneemesha mwanaadamu hugeuka na kujitenga upande, na inapo mgusa shari, huwa na madua marefu
- Na wataongozwa kwenye maneno mazuri, na wataongozwa kwenye Njia ya Msifiwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers